-
Ombi la Ulaya kwa China, mshaurini Putin asitishe vita Ukraine
Dec 03, 2022 02:23Charles Michel, Rais wa Baraza la Ulaya, amekutana na kuzungumza na Rais Xi Jinping katika ziara yake rasmi nchini China. Katika mkutano huu, Michel alimwomba Xi kutumia ushawishi wa Beijing kwa Russia ili kusitisha vita nchini Ukraine.
-
Nchi za Ulaya za Mediterenia zimeshindwa kuzuia kutokea majanga ya baharini
Nov 30, 2022 03:07Mkuu wa ofisi ya Masuala ya Bahari katika shirika la World Nature Foundation amesema kuwa nchi za Ulaya za Mediterenia zimeshindwa kuzuia kutokea majanga ya baharini.
-
NATO: Ulaya inakabiliwa na 'wakati mgumu' kwa kuipa himaya Ukraine
Nov 28, 2022 06:53Katibu Mkuu wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) amekiri kuwa, kuiunga mkono Ukraine katika vita dhidi ya Russia kumezipelekea nchi za Ulaya kukumbwa na matatizo mengi ukiwemo mfumko wa bei.
-
Iran ni ya 10 duniani kwa kuzalisha magari madogo; yazipiku Uingereza na Ufaransa
Nov 24, 2022 07:35Shirikisho la watengeza magari barani Ulaya limeitangaza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa taifa la kumi duniani kwa kuzalisha na kutengeneza magari madogo.
-
Morocco yazuia wahajiri 56,000 kwenda Ulaya kupitia Mediterania
Nov 14, 2022 11:07Mamlaka za Morocco zimetangaza kuwa zimezima majaribio ya makumi ya maelfu ya wahamiaji haramu waliojaribu kuvuka bahari ya Mediterania kuelekea Ulaya.
-
IEF: Bei ya mafuta kupindukia dola 100 kwa pipa
Nov 03, 2022 02:29Jukwaa la Kimataifa la Nishati (IEF) limesema bei ya mafuta itapindukia dola 100 kwa pipa kutokana na utekelezaji wa vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia.
-
IOM: Idadi ya vifo vya wahajiri kuelekea Ulaya imeongezeka zaidi mwaka huu
Oct 26, 2022 07:37Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kwamba idadi ya vifo vya watu wanaotafuta hifadhi imeongezeka kwa kiasi kikubwa kwenye njia za nchi kavu na baharini kuelekea Ulaya ikilinganishwa na mwaka jana.
-
Taasisi na shakhsia kadhaa wa EU wataongezwa kwenye orodha ya vikwazo ya Iran
Oct 25, 2022 13:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amedokeza kuwa karibuni hivi majina ya taasisi na shakhsia kadhaa wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya yataongezwa kwenye orodha ya vikwazo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Maandamano ya Ulaya dhidi ya kuzorota hali ya kiuchumi
Oct 25, 2022 02:36Kufuatia kuenea mgogoro wa kiuchumi katika nchi mbalimbali za Ulaya, wananchi wengi wameandamana katika nchi kama vile Ujerumani, Ufaransa, Uingereza na Romania kulalamikia hali mbaya ya maisha.
-
Mashariki mwa Ulaya inakabiliwa na janga la ufukara wa nishati na hewa chafu
Oct 24, 2022 12:32Gazeti moja la Uingereza limeandika kuwa, wananchi wa maeneo ya mashariki mwa Ulaya wana utajiri mkubwa wa nishati ya bei nafuu lakini unasababisha uchafuzi mkubwa wa hali ya hewa. Utajiri huo ni kama ule wa makaa ya mawe ya rangi ya kahawia.