Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN: Israel kupora ardhi na kuwabagua Wapalestina, chachu ya ghasia na migogoro

    UN: Israel kupora ardhi na kuwabagua Wapalestina, chachu ya ghasia na migogoro

    Jun 08, 2022 06:23

    Timu ya ngazi ya juu ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa imesema hatua ya utawala haramu wa Israel ya kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina na kuwafanyia Wapalestina vitendo vya kibaguzi ndio sababu kuu ya kushuhudiwa mawimbi ya ghasia zisizokwisha katika ardhi hizo zilizoghusubiwa.

  • Katibu Mkuu wa UN: Tuna dunia moja pekee, tunapaswa kuilinda

    Katibu Mkuu wa UN: Tuna dunia moja pekee, tunapaswa kuilinda

    Jun 05, 2022 03:46

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, amesema, sayari dunia ndio makazi pekee ya watu, akimaanisha kuwa hakutakuwa na pa kukimbilia ikiwa itachafuliwa na kusisitiza kwamba “ni muhimu kulinda afya ya anga yake, utajiri, na aina mbalimbali ya viumbe vilivyoko duniani bila kusahau ikolojia yake na rasilimali lukuki.”

  • Mtaalamu wa UN ataka kuharakishwa uchunguzi wa mauaji ya baada ya mapinduzi ya kijeshi Sudan

    Mtaalamu wa UN ataka kuharakishwa uchunguzi wa mauaji ya baada ya mapinduzi ya kijeshi Sudan

    Jun 05, 2022 03:36

    Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu nchini Sudan ametaka kuharakishwa uchunguzi kuhusu mauaji ya waandamanaji pamoja na jinai zingine zilizofanywa katika nchi hiyo, huku idadi ya vifo vilivyotokea tangu yalipofanyika mapinduzi ya kijeshi mwaka uliopita ikikaribia watu 100.

  • Raia 500 wameuawa ndani ya miezi mitatu katika mapigano nchini Mali

    Raia 500 wameuawa ndani ya miezi mitatu katika mapigano nchini Mali

    May 31, 2022 06:43

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, raia zaidi ya 500 wameuawa nchini Mali katika mapigano kati ya jeshi na wanamgambo yaliyojiri kuanzia mwezi Januari hadi Machi mwaka huu.

  • Kamishna wa UN wa Haki za Binadamu aitaka China ipitie upya sera zake dhidi ya ugaidi

    Kamishna wa UN wa Haki za Binadamu aitaka China ipitie upya sera zake dhidi ya ugaidi

    May 29, 2022 07:41

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameitaka China kupitia upya sera zake za kupambana na ugaidi ili kuhakikisha zinazingatia viwango vya kimataifa vya haki za binadamu. 

  • Mbunge wa Libya: Mjumbe wa UN ni mtekelezaji wa siasa za Marekani

    Mbunge wa Libya: Mjumbe wa UN ni mtekelezaji wa siasa za Marekani

    May 24, 2022 02:49

    Muhammad al A'bani, mbunge wa Bunge la Wawakilishi la Libya amesema Stephanie Williams, mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ni mtekelezaji wa mipango na siasa za Marekani katika eneo.

  • UN yataka Kenya, Somalia na Ethiopia zisaidiwe kukabili ukame

    UN yataka Kenya, Somalia na Ethiopia zisaidiwe kukabili ukame

    May 21, 2022 08:00

    Umoja wa Mataifa umetoa mwito wa dharura wa kupatikana fedha ili kusaidia mataifa ya Pembe ya Afrika ambayo kwa miezi yameshuhudia hali ya ukame inayotishia kuwa mbaya zaidi.

  • WMO: Joto linaendelea kuongezeka duniani kwa mwaka wa saba mfululizo

    WMO: Joto linaendelea kuongezeka duniani kwa mwaka wa saba mfululizo

    May 18, 2022 08:19

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Utabiri wa Hali ya Hewa Duniani, WMO limetangaza kuwa, hali ya hewa inaendelea kuwa mbaya duniani licha ya wadau kujadiliana kila uchao na kuahidi kuchukua hatua madhubuti za kulinda dunia kutoathiriwa na mabadiliko ya tabia nchi ambayo kwa kiasi kikubwa yanaathiriwa na shughuli za kibinadamu.

  • Jamhuri ya Czech yachukua nafasi ya Russia katika Baraza la Haki za Binadamu la UN

    Jamhuri ya Czech yachukua nafasi ya Russia katika Baraza la Haki za Binadamu la UN

    May 11, 2022 03:14

    Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limeipa Jamhuri ya Czech nafasi ya Russia baada ya kufuta uanachama wa Moscow kwenye baraza hilo.

  • Sana'a: Umoja wa Mataifa ni mshirika wa mzingiro dhidi ya Yemen

    Sana'a: Umoja wa Mataifa ni mshirika wa mzingiro dhidi ya Yemen

    Apr 25, 2022 22:40

    Maafisa wa Yemen wameuonyeshea tena kidole cha lawama Umoja wa Mataifa na kuitaja asasi hiyo ya kimataifa kuwa mshirika wa mzingiro dhidi ya nchi hiyo masikini ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS