-
UN: Israel kupora ardhi na kuwabagua Wapalestina, chachu ya ghasia na migogoro
Jun 08, 2022 06:23Timu ya ngazi ya juu ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa imesema hatua ya utawala haramu wa Israel ya kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina na kuwafanyia Wapalestina vitendo vya kibaguzi ndio sababu kuu ya kushuhudiwa mawimbi ya ghasia zisizokwisha katika ardhi hizo zilizoghusubiwa.
-
Katibu Mkuu wa UN: Tuna dunia moja pekee, tunapaswa kuilinda
Jun 05, 2022 03:46Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, amesema, sayari dunia ndio makazi pekee ya watu, akimaanisha kuwa hakutakuwa na pa kukimbilia ikiwa itachafuliwa na kusisitiza kwamba “ni muhimu kulinda afya ya anga yake, utajiri, na aina mbalimbali ya viumbe vilivyoko duniani bila kusahau ikolojia yake na rasilimali lukuki.”
-
Mtaalamu wa UN ataka kuharakishwa uchunguzi wa mauaji ya baada ya mapinduzi ya kijeshi Sudan
Jun 05, 2022 03:36Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu nchini Sudan ametaka kuharakishwa uchunguzi kuhusu mauaji ya waandamanaji pamoja na jinai zingine zilizofanywa katika nchi hiyo, huku idadi ya vifo vilivyotokea tangu yalipofanyika mapinduzi ya kijeshi mwaka uliopita ikikaribia watu 100.
-
Raia 500 wameuawa ndani ya miezi mitatu katika mapigano nchini Mali
May 31, 2022 06:43Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, raia zaidi ya 500 wameuawa nchini Mali katika mapigano kati ya jeshi na wanamgambo yaliyojiri kuanzia mwezi Januari hadi Machi mwaka huu.
-
Kamishna wa UN wa Haki za Binadamu aitaka China ipitie upya sera zake dhidi ya ugaidi
May 29, 2022 07:41Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameitaka China kupitia upya sera zake za kupambana na ugaidi ili kuhakikisha zinazingatia viwango vya kimataifa vya haki za binadamu.
-
Mbunge wa Libya: Mjumbe wa UN ni mtekelezaji wa siasa za Marekani
May 24, 2022 02:49Muhammad al A'bani, mbunge wa Bunge la Wawakilishi la Libya amesema Stephanie Williams, mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ni mtekelezaji wa mipango na siasa za Marekani katika eneo.
-
UN yataka Kenya, Somalia na Ethiopia zisaidiwe kukabili ukame
May 21, 2022 08:00Umoja wa Mataifa umetoa mwito wa dharura wa kupatikana fedha ili kusaidia mataifa ya Pembe ya Afrika ambayo kwa miezi yameshuhudia hali ya ukame inayotishia kuwa mbaya zaidi.
-
WMO: Joto linaendelea kuongezeka duniani kwa mwaka wa saba mfululizo
May 18, 2022 08:19Shirika la Umoja wa Mataifa la Utabiri wa Hali ya Hewa Duniani, WMO limetangaza kuwa, hali ya hewa inaendelea kuwa mbaya duniani licha ya wadau kujadiliana kila uchao na kuahidi kuchukua hatua madhubuti za kulinda dunia kutoathiriwa na mabadiliko ya tabia nchi ambayo kwa kiasi kikubwa yanaathiriwa na shughuli za kibinadamu.
-
Jamhuri ya Czech yachukua nafasi ya Russia katika Baraza la Haki za Binadamu la UN
May 11, 2022 03:14Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limeipa Jamhuri ya Czech nafasi ya Russia baada ya kufuta uanachama wa Moscow kwenye baraza hilo.
-
Sana'a: Umoja wa Mataifa ni mshirika wa mzingiro dhidi ya Yemen
Apr 25, 2022 22:40Maafisa wa Yemen wameuonyeshea tena kidole cha lawama Umoja wa Mataifa na kuitaja asasi hiyo ya kimataifa kuwa mshirika wa mzingiro dhidi ya nchi hiyo masikini ya Kiarabu.