-
Kiongozi wa mapinduzi Guinea awapiga marufuku maafisa wa serikali kusafiri nje ya nchi
Sep 07, 2021 02:56Kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea nchini Guinea amewapiga marufuku maafisa wa serikali kusafiri kwenda nje ya nchi hadi itakapotolewa taarifa nyingine sambamba na kuondoa kafyu iliyokuwa imewekwa kwenye maeneo ya migodi ya madini.
-
Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika zalaani mapinduzi ya kijeshi nchini Guinea
Sep 05, 2021 23:14Umoja wa Afrika umelaani mapinduzi ya kijeshi nchini Guinea na kulitaka jeshi kumuachilia huru Rais Alpha Conde mara moja.
-
Baada ya miaka kadhaa, mara hii Rais wa Tanzania atashiriki mkutano wa Baraza Kuu la UN
Sep 04, 2021 03:30Kwa mara ya kwanza, Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kushiriki katika mkutano wa kila mwaka wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, ambao katika ngazi ya viongozi wakuu, unatarajiwa kuanza tarehe 21 mpaka 27 za mwezi huu wa Septemba 2021.
-
Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu tatizo kubwa wa chakula nchini Afghanistan
Sep 02, 2021 02:57Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusiana na uhaba mkubwa chakula nchini Afghanistan na kutoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka za kuisaidia nchi hiyo.
-
Guterres: UN iko tayari kushirikiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Aug 31, 2021 09:02Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amemtumia ujumbe Rais wa Iran na kusema kuwa, taasisi hiyo ya kimataifa iko tayari kushirikiana na Jamhuri ya Kiislamu.
-
UN: Jeshi la Israel limeua Wapalestina 59 Ukingo wa Magharibi
Aug 27, 2021 03:33Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada ya Kibinadamu Kwa Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) limesema jeshi la Israel limeua Wapalestina 59 katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu ndani ya mwaka huu 2021 pekee.
-
Iran yataka kupelekwa misaada zaidi ya kibinadamu nchini Syria
Aug 24, 2021 03:10Msaidizi Mwandamizi wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika Masuala Maalumu ya Kisiasa ametoa mwito wa kupelekwa nchini Syria misaada zaidi ya kibinadamu.
-
"Kutowajibishwa Israel kumeifanya iendelee kukiuka sheria za kimataifa"
Aug 18, 2021 08:23Balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amesema kutoubebesha dhima utawala haramu wa Israel kumeushajiisha na kuupa uthubutu wa kuendelea kukanyaga sheria za kimataifa.
-
Umoja wa Mataifa wakosoa vikwazo vya upande mmoja
Aug 13, 2021 04:35Wataalamu huru wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa wamesema katika taarifa iliyosambazwa Jumatano kwamba vikwazo vya upande mmoja vinavyotekelezwa kimataifa na baadhi ya nchi vimewapokonya watu wengi ulimwenguni haki yao ya kujistawisha kimaendeleo.
-
Kikao cha Baraza la Usalama la UN kuhusu Afghanistan
Aug 07, 2021 06:58Kikao maalumu cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu machafuko yanayoendelea nchini Afghanistan kilifanyika jana Ijumaa mjini New York.