-
Balozi wa Iran UN: Baraza la Usalama lichukue hatua dhidi ya chokochoko za Israel katika eneo
Aug 07, 2021 03:34Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa Baraza la Usalama la umoja huo inapasa lichukue hatua ya kukabiliana na chokochoko zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo.
-
UN yapinga matamshi ya kifidhuli ya utawala wa Israel dhidi ya Iran
Aug 06, 2021 01:46Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amepinga matusi na matamshi ya kifidhuli yaliyotolewa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
UN: Watu laki mbili wamekuwa wakimbizi kutokana na vita nchini Ethiopia
Aug 04, 2021 22:45Mkuu wa Ofisi ya Uratibu wa masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa amesema kuwa, watu laki mbili wamekuwa wakimbizi katika jimbo la Amhara na wengine elfu 45 katika jimbo la Afar huko Ethiopia kutokana na mapigano nchini humo.
-
UN: Mzingiro wa Israel dhidi ya watu wa Gaza unakiuka sheria za kimataifa
Aug 01, 2021 05:18Ripota Maalumu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa huko Palestina amesema kuwa nzingiro wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza unakiuka sheria za kimataifa.
-
Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu kuenea ugaidi barani Afrika
Jul 25, 2021 03:56Katika ripoti yao mpya, wataalamu wa Umoja wa Mataifa wanasema kuwa bara la Afrika limekuwa muhanga mkuu wa ugaidi katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2021 kutokana na kuenea makundi ya kigaidi kama Daesh na al-Qaida na makund mengine yaliyo chini ya udhibiti na ushawishi wa makundi hayo mawili.
-
Mkuu wa zamani wa haki za binadamu wa UN kuongoza uchunguzi wa jinai za Israel
Jul 23, 2021 03:22Baraza la Haki za Binadamu limemteua Navi Pillay, aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa kuongoza kamati ya kimataifa ya watu watatu ya kuchunguza jinai za kivita za hivi karibuni za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
OCHA yatoa indhari: Idhini ya UN ya ufikishaji misaada ikisitishwa maisha ya Wasyria yatakuwa hatarini
Jul 08, 2021 23:10Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya uratibu wa misaada ya kibinadamu, OCHA, imetahadharisha kuwa ifikapo tarehe 10 mwezi huu wa Julai, endapo muda wa idhini ya Baraza la Usalama la UN ya kufikisha misaada ya kibinadamu kwa wananchi wa Syria hautarefushwa, mateso ya raia hao yataongezeka kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa katika kipindi cha miaka 10 ya mgogoro wa nchi hiyo.
-
UN yatahadharisha juu ya mabavu na ukandamizaji mkubwa dhidi ya watoto
Jun 23, 2021 23:18Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu vitendo vya mabavu na ukandamizaji mkubwa wanaofanyiwa watoto katika mapigano na mizozo ya kijeshi na wakati huu wa janga la corona.
-
Hamas: Guterres amebariki jinai dhidi ya watoto wa Palestina
Jun 19, 2021 22:57Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa, hatua ya Umoja wa Mataifa ya kutoliweka jina la utawala wa Kizayuni wa Israel katika orodha ya wakiukaji wa haki za watoto ni sawa na kubariki jinai zinazofanywa na utawala huo.
-
UN: Watu milioni 41 wako katika hatari ya janga la ukame duniani
Jun 19, 2021 21:51Mpango wa Chakula Duniani WFP ambao uko chini ya Umoja wa Mataifa umesema kuwa, tangu mwanzoni mwa mwaka huu hadi hivi sasa idadi ya watu waliokaribia kukumbwa na janga la ukame imeongezeka kutoka milioni 34 hadi milioni 41 katika pembe mbalimbali za dunia.