-
Indhari ya UN kuhusu hali mbaya ya Yemen na kuendelea jinai za Muungano wa Saudia kwa uungaji mkono wa Magharibi
Oct 21, 2020 02:48Mnamo mwezi Machi 2015, Saudi Arabia ikishirikiana na Imarati ilianzisha vita vya kidhalimu dhidi ya wananchi wa Yemen kupitia muungano wao wa pamoja wa kijeshi; na hadi sasa muungano huo vamizi umeshaua na kujeruhi makumi ya maelfu ya watu nchini humo.
-
UN: Corona kuongeza idadi ya watoto wanaozaliwa wakiwa wameshakufa
Oct 08, 2020 23:07Takwimu rasmi zinaonesha kuwa, mtoto mmoja huzaliwa akiwa ameshakufa katika kila sekunde 16, ikiwa ni takriban watoto milioni mbili kila mwaka kote duniani.
-
Taarifa ya mataifa 26 ya dunia ya kulaani vikwazo vya upande mmoja vya Marekani
Oct 06, 2020 23:41Marekani ikiwa na lengo la kusukuma mbele gurudumu la siasa zake za kigeni inashikilia rekodi ya kuwa dola lililoyawekea mataifa mengine ya dunia vikwazo vya upande mmoja.
-
Umoja wa Mataifa wakaribisha makubaliano ya amani ya Sudan
Oct 04, 2020 08:24Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekaribisha kwa mikono miwili kutiwa saini makubaliano ya amani baina ya serikali ya Sudan na makundi makuu ya waasi.
-
Umoja wa Mataifa waomba msaada zaidi ili kufanikisha mpango wake wa chanjo ya Covid-19
Oct 01, 2020 21:11Jumla ya nchi 168 zimejiunga na mpango wa Umoja wa Mataifa wa kuandaa chanjo ya maradhi ya Covid-19 huku Uingereza, Canada na Ujerumani zikiahidi kutoa karibu dola bilioni moja kuchangia mpango huo.
-
UN: Afrika imepoteza dola bilioni 800 kutokana na magendo
Sep 30, 2020 01:09Shirika la Biashara na Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNCTAD) limesema bara la Afrika limepoteza zaidi ya dola bilioni 800 ndani ya miaka michache iliyopita kutokana na magendo na mzunguko haramu wa fedha.
-
Mahmoud Abbas autaka Umoja wa Mataifa uilinde Palestina
Sep 28, 2020 04:01Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, kadhia ya Palestina ni mtihani mkubwa kwa Umoja wa Mataifa wa kuthibitisha heshima na itibari yake.
-
Mivutano baina ya Marekani na China yashadidi baada ya hotuba ya Trump katika Umoja wa Mataifa
Sep 24, 2020 04:40Katika hotuba yake ya mwisho kwenye ukumbi wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa katika kipindi chake cha kwanza cha urais wa Marekani, Donald Trump amejikita zaidi katika masuala ya China na Iran na kudai kuwa, Marekani imejiondoa katika makubaliano mabaya sana ya nyuklia ya JCPOA na imeiwekea Iran vikwazo vya kulema.
-
Rais Rouhani: Sasa ni wakati wa walimwengu kusema "hapana" kwa ubabe na utumiaji mabavu
Sep 23, 2020 00:34Rais Hassan Rouhani amesema: "Marekani haiwezi kutulazimisha kufanya mazungumzo wala kuanzisha vita dhidi yetu" na akasisitiza kwamba, sasa ni wakati wa walimwengu kusema "la" kwa ubabe na utumiaji mabavu.
-
Mataifa 29 yaikosoa Saudia kwa mauaji ya Khashoggi, ukandamizaji
Sep 17, 2020 03:39Mataifa 29 yakiwa mbele ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, yamewakosoa vikali watawala wa Saudi Arabia kwa ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu, sambamba na kutaka kuwajibishwa utawala wa Aal-Saud kwa mauaji ya kikatili aliyofanyiwa mwandishi wa habari na mkosoaji mkubwa wa Riyadh, Jamal Khashoggi katika ubalozi wa nchi hiyo ya Kiarabu nchini Uturuki.