Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN, Uturuki zakosoa hukumu ya Saudia dhidi ya wauaji wa Khashoggi

    UN, Uturuki zakosoa hukumu ya Saudia dhidi ya wauaji wa Khashoggi

    Sep 08, 2020 03:23

    Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa amekosoa vikali hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Saudi Arabia dhidi wahusika wa mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari raia wa Saudia aliyeuliwa kinyama ndani ya ubalozi mdogo wa nchi hiyo mjini Istanbul, Uturuki mwaka 2018.

  • UN: Mamilioni katika hatari ya kufa njaa DRC, Sudan Kusini, Nigeria na Yemen

    UN: Mamilioni katika hatari ya kufa njaa DRC, Sudan Kusini, Nigeria na Yemen

    Sep 05, 2020 06:23

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa, mamilioni ya watu wananyemelewa na kifo kutokana na baa la njaa na ukosefu wa usalama wa chakula katika nchi tatu za Afrika pamoja na Yemen.

  • Rais wa Baraza Kuu la UN atofautiana na Trump kuhusu chanjo ya corona

    Rais wa Baraza Kuu la UN atofautiana na Trump kuhusu chanjo ya corona

    Sep 05, 2020 06:18

    Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa amesema chanjo ya ugonjwa wa Covid-19 inapasa wapewe watu wote wanaoihitaji, na kwamba kuna udharura kwa nchi zote kushirikishwa katika mchakato wa kutengeneza na kugawa chanjo yenyewe.

  • UN yawatuza mamia ya askari wa Uganda walioko Somalia

    UN yawatuza mamia ya askari wa Uganda walioko Somalia

    Sep 01, 2020 03:14

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewapa medali ya heshima wanajeshi 600 wa Uganda wanaolinda taasisi na wafanyakazi wa UN nchini Somalia.

  • Yemen yakosoa hatua ya UN ya kuiondoa Saudia katika orodha ya wauaji  wa watoto

    Yemen yakosoa hatua ya UN ya kuiondoa Saudia katika orodha ya wauaji wa watoto

    Aug 12, 2020 07:00

    Waziri Mkuu wa Serikali ya Uwokozi wa Kitaifa ya Yemen amekosoa hatua ya Umoja wa Mataifa ya kuiondoa Saudi Arabia katika orodha ya wauaji wa watoto.

  • UN: Makundi yenye silaha Congo yameua watu 1,300 katika nusu ya kwanza ya 2020

    UN: Makundi yenye silaha Congo yameua watu 1,300 katika nusu ya kwanza ya 2020

    Aug 06, 2020 03:40

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa, makundi yanayobeba silaha yameua watu zaidi ya 1,300 katika miezi sita ya kwanza ya mwaka huu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Umoja wa Mataifa wakosoa ukandamizaji unaofanywa dhidi ya waandamanaji nchini Marekani

    Umoja wa Mataifa wakosoa ukandamizaji unaofanywa dhidi ya waandamanaji nchini Marekani

    Jul 25, 2020 22:10

    Maandamano makubwa na yasiyo na mfano wake ambayo yamekuwa yakifanyika nchini Marekani tokea kuuawa kinyama kwa Mmarekani mweusi George Floyd katika mji wa Minnesota katika jimbo la Minneapolis tarehe 25 Mei, yangali yanaendelea licha ya ukandamizaji mkubwa unaofanywa na serikali ya Trump dhidi ya waandamanaji.

  • UN yasisitiza kuchungwa usalama wa ndege za abiria kufuatia chokochoko za ndege za kivita za Marekani

    UN yasisitiza kuchungwa usalama wa ndege za abiria kufuatia chokochoko za ndege za kivita za Marekani

    Jul 25, 2020 03:45

    Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa, usalama wa safari za ndege za abiria inapasa uheshimiwe na nchi zote.

  • Bunge la Malaysia: Israel ifukuzwe katika Umoja wa Mataifa na asasi zake

    Bunge la Malaysia: Israel ifukuzwe katika Umoja wa Mataifa na asasi zake

    Jul 17, 2020 22:02

    Wawakilishi wa Bunge la Malaysia wametoa wito wa kufukuzwa utawala haramu wa Israel katika Umoja wa Mataifa.

  • UN yakosoa athari mbaya za misimamo hasi ya Trump kwa uhuru wa vyombo vya habari

    UN yakosoa athari mbaya za misimamo hasi ya Trump kwa uhuru wa vyombo vya habari

    Jul 15, 2020 01:48

    Tangu alipochukua hatamu za kuiongoza Marekani tarehe 20 Januari mwaka 2017, Rais Donald Trump amekua akielekeza panga lake kali kwenye vyombo vya habari vinavyokosoa utendaji na mienendo yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS