Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Zarif: Iran inashirikiana na UN kuhitimisha matatizo ya Wayemen

    Zarif: Iran inashirikiana na UN kuhitimisha matatizo ya Wayemen

    Apr 21, 2020 03:29

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii inashirikiana na Umoja wa Mataifa katika jitihada za kuhakikisha kuwa matatizo na changamoto zinazowakabili wananchi wa Yemen zinafikia tamati.

  • Umoja wa Mataifa: Mgogoro wa kiuchumi unaosababishwa na Corona unatishia uhai wa mamia ya maelfu ya watoto

    Umoja wa Mataifa: Mgogoro wa kiuchumi unaosababishwa na Corona unatishia uhai wa mamia ya maelfu ya watoto

    Apr 17, 2020 20:12

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, yumkini mwaka huu wa 2020 ukashuhudia mamia ya maefu ya watoto wakiaga dunia kutokana na mgogoro wa kiuchumi ambao chimbuko lake ni kuenea virusi vya Corona kote ulimwenguni.

  • UN yakerwa na hatua ya Trump kuikatia ufadhili WHO wakati huu wa Corona

    UN yakerwa na hatua ya Trump kuikatia ufadhili WHO wakati huu wa Corona

    Apr 15, 2020 03:44

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitizia udharura wa kuungwa mkono Shirika la Afya Duniani (WHO), muda mfupi baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kutangaza kuwa nchi hiyo imelikatia misaada yake ya kifedha shirika hilo.

  • Indhari ya UN baada ya Saudia kuwafukuza nchini humo raia wa Ethiopia

    Indhari ya UN baada ya Saudia kuwafukuza nchini humo raia wa Ethiopia

    Apr 14, 2020 08:03

    Umoja wa Mataifa umeonya kuwa, hatua ya watawala wa Riyadh ya kuwatimua nchini Saudi Arabia wafanyakazi wahajiri raia wa Ethiopia itasababisha kuenea na kusambaa virusi vya Corona.

  • UN yataka kuachiwa haraka iwezekanavyo kiongozi wa upinzani wa Mali aliyetekwa nyara

    UN yataka kuachiwa haraka iwezekanavyo kiongozi wa upinzani wa Mali aliyetekwa nyara

    Apr 08, 2020 03:36

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetaka kuachiwa huru haraka iwezekanavyo Soumaila Cisse kiongozi wa upinzani wa nchini Mali aliyetekwa nyara. Baraza hilo limezitolea wito serikali ya Mali na makundi yenye silaha ya nchi hiyo kuharakisha utekelezaji wa makubaliano ya amani ya mwaka 2015.

  • Madai ya uongo ya Trump kuwa eti Iran haijaomba kupunguziwa vikwazo

    Madai ya uongo ya Trump kuwa eti Iran haijaomba kupunguziwa vikwazo

    Apr 03, 2020 23:43

    Baada ya kujitoa bila ya sababu katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei 2018 serikali ya Donald Trump huko Marekani iliirejeshea Iran vikwazo vyote vilivyokuwa vimeondolewa baada ya kufikiwa makubaliano hayo, bali iiiwekea Tehran vikwazo vya kiwango cha juu kabisa kama anavyojitapa mara kwa mara Donald Trump.

  • Wasi wasi wa Umoja wa Ulaya kuhusu kuendelea mapigano nchini Yemen, undumakuwili wa EU

    Wasi wasi wa Umoja wa Ulaya kuhusu kuendelea mapigano nchini Yemen, undumakuwili wa EU

    Apr 01, 2020 05:11

    Tangu mwezi Machi 2015, Saudi Arabia iliunda muungano kwa kushirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na kuanzisha vita vya kidhalimu dhidi ya watu wa Yemen na hadi sasa makumi ya maelfu ya raia wa nchi hiyo wameshauawa shahidi na kujeruhiwa.

  • UN: Dola trilioni mbili na nusu zinahitajika kukabiliana na athari za kijamii na kiuchumi za corona katika nchi zinazoendelea

    UN: Dola trilioni mbili na nusu zinahitajika kukabiliana na athari za kijamii na kiuchumi za corona katika nchi zinazoendelea

    Mar 31, 2020 21:54

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa dola trilioni mbili na nusu zinahitajika ili kuzisaidia nchi zinazoendelea ambako theluthi mbili ya watu wote duniani wanaishi ili kuhimili athari za kijamii na kiuchumi kutokana na janga la virusi vya corona, COVID-19.

  • Ombi la nchi 8 kwa Umoja wa Mataifa kuhusu kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran

    Ombi la nchi 8 kwa Umoja wa Mataifa kuhusu kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran

    Mar 27, 2020 05:25

    Kuendelea vikwazo vya kidhalimu na vilivyo dhidi ya ubinadamu vya Marekani dhidi ya Iran katika fremu ya mashinikizo ya juu kabisa ya utawala wa Trump katika kipindi hiki cha kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona nchini Iran sambamba na udharura wa kukabiliana na ugonjwa huo angamizi kumepelekea jamii ya kimataifa iwasilishe maombi ya kutaka vikwazo hivyo viondolewa mara moja.

  • Barua ya nchi 8 kwa Katibu Mkuu wa UN: Vikwazo vina taathira hasi kwa udhibiti wa janga la corona

    Barua ya nchi 8 kwa Katibu Mkuu wa UN: Vikwazo vina taathira hasi kwa udhibiti wa janga la corona

    Mar 26, 2020 03:43

    Wawakilishi wa Iran, Russia, China, Cuba, Korea Kaskazini, Iraq, Venezuela na Nicaragua katika Umoja wa Mataifa wamemwandikia barua Katibu Mkuu wa umoja huo, ambapo mbali na kuashiria kuwa corona ni adui wa pamoja wa nchi zote, wametahadharisha kwamba, vikwazo vina taathira hasi kwa udhibiti wa maambukizi ya kirusi hicho.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS