-
Ukosoaji wa UN kwa serikali ya Ufaransa kwa kuamiliana vibaya na Waislamu wa nchi hiyo
May 29, 2018 03:47Umoja wa Mataifa umeikosoa serikali ya Ufaransa kwa namna inavyoamiliana na Waislamu na inavyokabiliana na ugaidi na athari za hatua zake hizo ambazo zinatia wasiwasi kwa kutishia uhuru wa mtu binafsi.
-
UN yamuwekea vikwazo Waziri wa Ulinzi wa Sudan Kusini
May 27, 2018 09:17Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetangaza kumuwekea vikwazo Waziri wa Ulinzi wa Sudan Kusini, Kuol Manyang Juk kutokana na kile lilichodai kuwa ni kitendo cha afisa huyo wa Juba kukiuka makubaliano ya usitishaji vita.
-
Gutteres: Dunia iunge mkono azma ya Afrika yenye amani na ustawi
May 25, 2018 21:52Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres ametoa wito kwa dunia kuunga mkono nchi za Afrika ili ziweze kupiga hatua zaidi katika ustawi na maendeleo.
-
AU, UN na IGAD zataka kusitishwa mapigano kati ya Puntland na Somaliland
May 25, 2018 03:02Jamii ya kimataifa imeeleza juu ya wasi wasi mkubwa ilionao kutokana na kushtadi mapigano kati ya vikosi vya maeneo yenye mamlaka ya ndani ya Somaliland na Puntland nchini Somalia.
-
Marekani yakasirishwa na hatua ya UN kuiruhusu Palestina ijiunge na taasisi zake
May 24, 2018 09:59Marekani imeonesha kughadhibishwa na hata kutishia kuupunguzia ufadhili Umoja wa Mataifa kutokana na UN kuiruhusu Palestina ijunge na taasisi zake.
-
UN: Hali ya Ukanda wa Ghaza ni ya mgogoro
May 24, 2018 03:08Mratibu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Mashariki ya Kati, usiku wa kuamkia leo Alkhamisi amesema kuwa, hali katika eneo la Ghaza huko Palestina ni ya mgogoro.
-
UN yatuma askari zaidi katika jimbo la Unity, Sudan Kusini
May 17, 2018 09:38Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS) kimetuma makumi ya askari wa ziada katika jimbo la Unity ili kuwadhaminia usalama raia wanaolengwa katika vita kati ya askari wa jeshi la serikali na magenge ya waasi.
-
Iran yaiandikia barua UN kuilaani Israel kwa kuunga mkono magaidi
May 12, 2018 00:08Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amemwandikia barua Katibu Mkuu wa umoja huo na kuulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuwaunga mkono magaidi katika nchi za eneo hili ikiwemo Syria.
-
Upinzani nchini Madagascar wakataa upatanishi wa UN
May 08, 2018 12:25Upinzani nchini Madagascar umepinga upatanishi wa Umoja wa Mataifa katika mgogoro unaoendelea kutokota katika kisiwa hicho cha kusini mashariki mwa Afrika.
-
Katibu Mkuu wa UN: JCPOA ni ushindi muhimu wa kidiplomasia
May 04, 2018 02:55Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya dhidi ya kuvunjwa makubaliano ya nyuklia ya Iran huku akisisitiza kuwa mapatano hayo ni ushindi muhimu wa kidiplomasia ambayo yanapaswa kulindwa.