Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Ukosoaji wa UN kwa serikali ya Ufaransa kwa kuamiliana vibaya na Waislamu wa nchi hiyo

    Ukosoaji wa UN kwa serikali ya Ufaransa kwa kuamiliana vibaya na Waislamu wa nchi hiyo

    May 29, 2018 03:47

    Umoja wa Mataifa umeikosoa serikali ya Ufaransa kwa namna inavyoamiliana na Waislamu na inavyokabiliana na ugaidi na athari za hatua zake hizo ambazo zinatia wasiwasi kwa kutishia uhuru wa mtu binafsi.

  • UN yamuwekea vikwazo Waziri wa Ulinzi wa Sudan Kusini

    UN yamuwekea vikwazo Waziri wa Ulinzi wa Sudan Kusini

    May 27, 2018 09:17

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetangaza kumuwekea vikwazo Waziri wa Ulinzi wa Sudan Kusini, Kuol Manyang Juk kutokana na kile lilichodai kuwa ni kitendo cha afisa huyo wa Juba kukiuka makubaliano ya usitishaji vita.

  • Gutteres: Dunia iunge mkono azma ya Afrika yenye amani na ustawi

    Gutteres: Dunia iunge mkono azma ya Afrika yenye amani na ustawi

    May 25, 2018 21:52

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres ametoa wito kwa dunia kuunga mkono nchi za Afrika ili ziweze kupiga hatua zaidi katika ustawi na maendeleo.

  • AU, UN na IGAD zataka kusitishwa mapigano kati ya Puntland na Somaliland

    AU, UN na IGAD zataka kusitishwa mapigano kati ya Puntland na Somaliland

    May 25, 2018 03:02

    Jamii ya kimataifa imeeleza juu ya wasi wasi mkubwa ilionao kutokana na kushtadi mapigano kati ya vikosi vya maeneo yenye mamlaka ya ndani ya Somaliland na Puntland nchini Somalia.

  • Marekani yakasirishwa na hatua ya UN kuiruhusu Palestina ijiunge na taasisi zake

    Marekani yakasirishwa na hatua ya UN kuiruhusu Palestina ijiunge na taasisi zake

    May 24, 2018 09:59

    Marekani imeonesha kughadhibishwa na hata kutishia kuupunguzia ufadhili Umoja wa Mataifa kutokana na UN kuiruhusu Palestina ijunge na taasisi zake.

  • UN: Hali ya Ukanda wa Ghaza ni ya mgogoro

    UN: Hali ya Ukanda wa Ghaza ni ya mgogoro

    May 24, 2018 03:08

    Mratibu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Mashariki ya Kati, usiku wa kuamkia leo Alkhamisi amesema kuwa, hali katika eneo la Ghaza huko Palestina ni ya mgogoro.

  • UN yatuma askari zaidi katika jimbo la Unity, Sudan Kusini

    UN yatuma askari zaidi katika jimbo la Unity, Sudan Kusini

    May 17, 2018 09:38

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS) kimetuma makumi ya askari wa ziada katika jimbo la Unity ili kuwadhaminia usalama raia wanaolengwa katika vita kati ya askari wa jeshi la serikali na magenge ya waasi.

  • Iran yaiandikia barua UN kuilaani Israel kwa kuunga mkono magaidi

    Iran yaiandikia barua UN kuilaani Israel kwa kuunga mkono magaidi

    May 12, 2018 00:08

    Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amemwandikia barua Katibu Mkuu wa umoja huo na kuulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuwaunga mkono magaidi katika nchi za eneo hili ikiwemo Syria.

  • Upinzani nchini Madagascar wakataa upatanishi wa UN

    Upinzani nchini Madagascar wakataa upatanishi wa UN

    May 08, 2018 12:25

    Upinzani nchini Madagascar umepinga upatanishi wa Umoja wa Mataifa katika mgogoro unaoendelea kutokota katika kisiwa hicho cha kusini mashariki mwa Afrika.

  • Katibu Mkuu wa UN: JCPOA ni ushindi muhimu wa kidiplomasia

    Katibu Mkuu wa UN: JCPOA ni ushindi muhimu wa kidiplomasia

    May 04, 2018 02:55

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya dhidi ya kuvunjwa makubaliano ya nyuklia ya Iran huku akisisitiza kuwa mapatano hayo ni ushindi muhimu wa kidiplomasia ambayo yanapaswa kulindwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS