-
Ujumbe wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen kwa UN kuhusu kuuawa Saleh al Sammad
Apr 29, 2018 03:25Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imetuma ujumbe kwa Umoja wa Mataifa na kuitaja hatua ya Saudi Arabia ya kumuuwa Saleh al Sammad aliyekuwa Mkuu wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Ansarullah ya Yemen kuwa ni jinai ya kivita.
-
UN: Watu 4,000 wamekimbia mapigano mapya Myanmar
Apr 28, 2018 03:13Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya elfu nne wamekimbia mapigano mapya kati ya wanajeshi wa Myanmar na genge moja la kikabila katika muda wa wiki chache zilizopita, kaskazini mwa nchi.
-
Wafanyakazi 10 wa UN watoweka Sudan Kusini
Apr 26, 2018 23:30Afisa mmoja wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa wafanyakazi wasiopungua 10 wa umoja huo nchini Sudan Kusini wametoweka na hawajulikani waliko.
-
Sisitizo la Katibu Mkuu wa UN la kuwepo umoja huko Syria
Apr 25, 2018 23:20Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa kuwepo umoja na uthabiti nchini Syria ni jambo lenye udharura.
-
Askari wa UN watuhumiwa kuwabaka watoto Sudan Kusini
Apr 24, 2018 12:15Wanajeshi wa Umoja wa Mataifa kutoka Nepal wanatuhumiwa kuwabaka watoto wadogo nchini Sudan Kusini.
-
Kukiri Umoja wa Mataifa kuwa vitendo vya Israel ni vya aibu na kufedhehesha
Apr 21, 2018 07:21Akitoa radiamali yake kufuatia kuuliwa shahidi kijana wa Kipalestina aliyekuwa na umri wa miaka 15 katika maandamano ya siku ya Ijumaa huko Ghaza, Nikolay Mladenov Mratibu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Mashariki ya Kati amesema kuwa, kulengwa kwa riasasi vijana wa Kipalestina na wadunguaji wa Israel ni jambo la aibu na la kufedhehesha.
-
UN: Kitendo cha Israel cha kuwapiga risasi watoto wa Kipalestina ni aibu
Apr 21, 2018 02:49Mratibu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Mashariki ya Kati ameshindwa kunyamazia kimya jinai ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kumpiga risasi na kumuua shahidi kijana wa miaka 15 wa Kipalestina katika maandamano ya jana Ijumaa.
-
Balozi wa Palestina UN ataka kuchunguzwa jinai za Israel huko Gaza
Apr 20, 2018 23:40Balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa umoja huo kuunda kamisheni huru ya kuchunguza jinai za kutisha zinazofanywa na wanajeshi katili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Jeshi la Myanmar lawekwa katika orodha nyeusi ya UN
Apr 14, 2018 02:36Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imeliweka jeshi la Myanmar katika orodha nyeusi ya umoja huo, kutokana na jinai za ubakaji zilizofanywa na askari wa nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa Rohingya.
-
Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na muamala mbaya dhidi ya wafungwa nchini Libya
Apr 11, 2018 08:16Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, makundi yanayobeba silaha nchini Libya yanawatesa na kuwaua wafungwa wanaoshikiliwa kwenye jela ambazo kidhahiri ziko chini ya udhibiti wa serikali ya nchi hiyo.