Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Askari wa UN watuhumiwa kuwabaka watoto Sudan Kusini

    Askari wa UN watuhumiwa kuwabaka watoto Sudan Kusini

    Apr 24, 2018 12:15

    Wanajeshi wa Umoja wa Mataifa kutoka Nepal wanatuhumiwa kuwabaka watoto wadogo nchini Sudan Kusini.

  • Kukiri Umoja wa Mataifa kuwa vitendo vya Israel ni vya aibu na kufedhehesha

    Kukiri Umoja wa Mataifa kuwa vitendo vya Israel ni vya aibu na kufedhehesha

    Apr 21, 2018 07:21

    Akitoa radiamali yake kufuatia kuuliwa shahidi kijana wa Kipalestina aliyekuwa na umri wa miaka 15 katika maandamano ya siku ya Ijumaa huko Ghaza, Nikolay Mladenov Mratibu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Mashariki ya Kati amesema kuwa, kulengwa kwa riasasi vijana wa Kipalestina na wadunguaji wa Israel ni jambo la aibu na la kufedhehesha.

  • UN: Kitendo cha Israel cha kuwapiga risasi watoto wa Kipalestina ni aibu

    UN: Kitendo cha Israel cha kuwapiga risasi watoto wa Kipalestina ni aibu

    Apr 21, 2018 02:49

    Mratibu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Mashariki ya Kati ameshindwa kunyamazia kimya jinai ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kumpiga risasi na kumuua shahidi kijana wa miaka 15 wa Kipalestina katika maandamano ya jana Ijumaa.

  • Balozi wa Palestina UN ataka kuchunguzwa jinai za Israel huko Gaza

    Balozi wa Palestina UN ataka kuchunguzwa jinai za Israel huko Gaza

    Apr 20, 2018 23:40

    Balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa umoja huo kuunda kamisheni huru ya kuchunguza jinai za kutisha zinazofanywa na wanajeshi katili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Jeshi la Myanmar lawekwa katika orodha nyeusi ya UN

    Jeshi la Myanmar lawekwa katika orodha nyeusi ya UN

    Apr 14, 2018 02:36

    Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imeliweka jeshi la Myanmar katika orodha nyeusi ya umoja huo, kutokana na jinai za ubakaji zilizofanywa na askari wa nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa Rohingya.

  • Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na muamala mbaya dhidi ya wafungwa nchini Libya

    Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na muamala mbaya dhidi ya wafungwa nchini Libya

    Apr 11, 2018 08:16

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, makundi yanayobeba silaha nchini Libya yanawatesa na kuwaua wafungwa wanaoshikiliwa kwenye jela ambazo kidhahiri ziko chini ya udhibiti wa serikali ya nchi hiyo.

  • Syria: Sheria za kimataifa hazina thamani yoyote kwa Marekani

    Syria: Sheria za kimataifa hazina thamani yoyote kwa Marekani

    Apr 11, 2018 00:06

    Balozi na mwakilishi wa Syria katika Umoja wa Mataifa amekosoa matamshi ya vitisho yaliyotolewa na Marekani katika Baraza la Usalama la umoja huo na kueleza kuwa baraza hilo na misingi ya sheria za kimataifa havina thamani yoyote ile kwa nchi hiyo.

  • Katibu Mkuu wa UN atahadahrisha kuhusu hali mbaya nchini Yemen

    Katibu Mkuu wa UN atahadahrisha kuhusu hali mbaya nchini Yemen

    Apr 03, 2018 09:25

    Huku Saudia Arabia ikiendeleza hujuma zake za kinyama dhidi ya Yemen, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Askari wa Kulinda Amani wa UN waondoka Liberia baada ya miaka 15

    Askari wa Kulinda Amani wa UN waondoka Liberia baada ya miaka 15

    Mar 31, 2018 10:34

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Liberia UNMIL kimefunga rasmi mlango uliofunguliwa miaka 15 iliyopita.

  • Answarullah: Wasaudia na Marekani watazame upya mahesabu yao kuhusu Yemen

    Answarullah: Wasaudia na Marekani watazame upya mahesabu yao kuhusu Yemen

    Mar 30, 2018 23:54

    Mkuu wa Baraza Kuu la Mapinduzi nchini Yemen, Mohammed Ali al-Houthi amegusia nguvu za muqawama wa wananchi wa Yemen dhidi ya jinai za wavamizi na kumtaka Mohammad Bin Salman na nchi washiriki katika muungano vamizi pamoja na Marekani, kuangalia upya mahesabu yao kuhusu nchi hiyo ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS