Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Syria: Sheria za kimataifa hazina thamani yoyote kwa Marekani

    Syria: Sheria za kimataifa hazina thamani yoyote kwa Marekani

    Apr 11, 2018 00:06

    Balozi na mwakilishi wa Syria katika Umoja wa Mataifa amekosoa matamshi ya vitisho yaliyotolewa na Marekani katika Baraza la Usalama la umoja huo na kueleza kuwa baraza hilo na misingi ya sheria za kimataifa havina thamani yoyote ile kwa nchi hiyo.

  • Katibu Mkuu wa UN atahadahrisha kuhusu hali mbaya nchini Yemen

    Katibu Mkuu wa UN atahadahrisha kuhusu hali mbaya nchini Yemen

    Apr 03, 2018 09:25

    Huku Saudia Arabia ikiendeleza hujuma zake za kinyama dhidi ya Yemen, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Askari wa Kulinda Amani wa UN waondoka Liberia baada ya miaka 15

    Askari wa Kulinda Amani wa UN waondoka Liberia baada ya miaka 15

    Mar 31, 2018 10:34

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Liberia UNMIL kimefunga rasmi mlango uliofunguliwa miaka 15 iliyopita.

  • Answarullah: Wasaudia na Marekani watazame upya mahesabu yao kuhusu Yemen

    Answarullah: Wasaudia na Marekani watazame upya mahesabu yao kuhusu Yemen

    Mar 30, 2018 23:54

    Mkuu wa Baraza Kuu la Mapinduzi nchini Yemen, Mohammed Ali al-Houthi amegusia nguvu za muqawama wa wananchi wa Yemen dhidi ya jinai za wavamizi na kumtaka Mohammad Bin Salman na nchi washiriki katika muungano vamizi pamoja na Marekani, kuangalia upya mahesabu yao kuhusu nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Kikosi cha MONUSCO chaongezewa muda wa kuhudumu DRC

    Kikosi cha MONUSCO chaongezewa muda wa kuhudumu DRC

    Mar 28, 2018 02:47

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekiongezea muda wa kuhudumu kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo MONUSCO.

  • UN yaitahadharisha EU kuhusu mgogoro mpya wa wakimbizi kutoka Afrika

    UN yaitahadharisha EU kuhusu mgogoro mpya wa wakimbizi kutoka Afrika

    Mar 26, 2018 10:49

    Umoja wa Mataifa umezitahadharisha nchi za Umoja wa Ulaya kuhusu mgogoro mpya wa wakimbizi kutoka Afrika.

  • Syria yataka askari vamizi wa Uturuki kuondoka mara moja eneo la Afrin

    Syria yataka askari vamizi wa Uturuki kuondoka mara moja eneo la Afrin

    Mar 20, 2018 00:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mwenyekiti wa hivi sasa wa Baraza la Usalama la umoja huo, ikilalamikia uvamizi na jinai za jeshi la Uturuki dhidi ya mji wake wa Afrin na wakazi wake.

  • Umoja wa Mataifa watoa wito wa kusaidiwa wakimbizi Waislamu Warohingya

    Umoja wa Mataifa watoa wito wa kusaidiwa wakimbizi Waislamu Warohingya

    Mar 17, 2018 04:29

    Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kukusanywa misaada kwa ajili ya kuwasaidia wakimbizi takribani milioni moja wa jamii ya Rohingya wa Myanmar ambao wako katika kambi za wakimbizi nchini Bangladesh sambamba na kuandaliwa mazingira ya Waislamu hao kurejea nchini kwao.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu uwezekano wa kukaririwa maangamizi ya kizazi Myanmar

    Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu uwezekano wa kukaririwa maangamizi ya kizazi Myanmar

    Mar 14, 2018 10:51

    Mshauri Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika kuzuia maangamizi ya kizazi ametahadharisha kuwa serikali ya Myanmar inataka kutekeleza mauaji mengine ya kizazi dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya katika mkoa wa Rakhine magharibi mwa nchi hiyo.

  • UN: Haki za binadamu zinakanyagwa katika nchi nyingi duniani

    UN: Haki za binadamu zinakanyagwa katika nchi nyingi duniani

    Mar 08, 2018 04:47

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, haki za binadamu zinatishiwa au kukanyagwa katika zaidi ya nchi 50 kote duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS