Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN: Tuna wasi wasi mauaji ya kimbari yamefanyika Myanmar

    UN: Tuna wasi wasi mauaji ya kimbari yamefanyika Myanmar

    Mar 07, 2018 22:11

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza juu ya wasi wasi mkubwa alionao kwamba yumkini mauaji ya kimbari yamefanywa dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar tangu Agosti mwaka jana 2017.

  • UN yakosoa ukandamizaji Misri kuelekea uchaguzi wa rais

    UN yakosoa ukandamizaji Misri kuelekea uchaguzi wa rais

    Mar 07, 2018 22:10

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amekosoa mazingira ya vitisho, ukandamizaji na kuwekewa mbinyo wanasiasa wa upinzani nchini Misri kuelekea uchaguzi wa rais unaotazamiwa kufanyika baadaye mwezi huu.

  • UN yasema mauaji dhidi ya Waislamu wa Rohingya yanaendelea Myanmar

    UN yasema mauaji dhidi ya Waislamu wa Rohingya yanaendelea Myanmar

    Mar 06, 2018 04:28

    Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imetahadharisha kuhusiana na kuendelea mauaji ya kizazi yanayofanywa na serikali ya Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya magharibi mwa nchi hiyo.

  • UN yasimamisha shughuli zake Nigeria baada ya wahudumu wake kuuawa

    UN yasimamisha shughuli zake Nigeria baada ya wahudumu wake kuuawa

    Mar 04, 2018 04:36

    Umoja wa Mataifa umetangaza habari ya kusitisha shughuli zake za utoaji huduma na misaada ya kibinadamu kaskazini mashariki mwa Nigeria kutokana na kuuawa wafanyakazi wake katika mashambulizi ya hivi karibuni ya magaidi wa Boko Haram.

  • Kukosolewa Umoja wa Mataifa kwa kuibariki Saudi Arabia kuendeleza jinai zake huko Yemen

    Kukosolewa Umoja wa Mataifa kwa kuibariki Saudi Arabia kuendeleza jinai zake huko Yemen

    Mar 03, 2018 23:06

    Hizam al Assad mwakilishi wa ngazi ya juu wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ni sababu ya kuendelea mashambulizi ya kinyama ya Saudi Arabia huko Yemen.

  • Wasiwasi wa makamanda wa Marekani kutokana na vita tarajiwa vya Rais Trump dhidi ya Korea Kaskazini

    Wasiwasi wa makamanda wa Marekani kutokana na vita tarajiwa vya Rais Trump dhidi ya Korea Kaskazini

    Mar 03, 2018 04:09

    Katika kikao maalumu na baada ya kuchunguza athari za mashambulizi tarajiwa ya Marekani dhidi ya Korea Kaskazini, makamanda wa jeshi la nchi hiyo wamesema kuwa, katika saa za mwanzo za mashambulizi hayo kwa akali askari elfu 10 wa Marekani watakuwa wameuawa.

  • Iran: Marekani inawasaidia wavamizi wa Yemen

    Iran: Marekani inawasaidia wavamizi wa Yemen

    Feb 27, 2018 04:27

    Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, madai ya kukaririwa na ya kuchosha ya mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa dhidi Iran ni msaada kwa wavamizi wa Yemen.

  • Mwakilishi wa UN Burundi aeleza wasiwasi kuhusu hali ya ndani nchini humo

    Mwakilishi wa UN Burundi aeleza wasiwasi kuhusu hali ya ndani nchini humo

    Feb 27, 2018 03:35

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Burundi ameliambia Baraza la Usalama la umoja huo kwamba mgogoro wa nchi hiyo unatia wasiwasi.

  • UN yasema itaendelea kuunga mkono mapambano dhidi ya al-Shabaab Somalia

    UN yasema itaendelea kuunga mkono mapambano dhidi ya al-Shabaab Somalia

    Feb 25, 2018 11:59

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa sambamba na kulaani mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni yaliyoua makumi ya watu katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu, amesisitiza kuwa umoja huo utaendelea kuunga mkono jitihada za kulitokomeza kundi la kigaidi na la ukufurishaji la al-Shabaab.

  • UN yaendelea kuandamwa na kashfa za kijinsia

    UN yaendelea kuandamwa na kashfa za kijinsia

    Feb 23, 2018 21:20

    Mkurugenzi mtendaji wa mpango wa kudhibiti UKIMWI wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, naibu wa mkuu wa ofisi hiyo amelazimika kujiuzulu kutokana na tuhuma za kimaadili zinazomkabili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS