Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yakosoa ukandamizaji wa waandishi habari Sudan Kusini

    UN yakosoa ukandamizaji wa waandishi habari Sudan Kusini

    Feb 23, 2018 00:22

    Umoja wa Mataifa umekosoa mienendo na hatua zinazochukuliwa na serikali ya Sudan Kusini dhidi ya waandishi wa habari.

  • UN: Thuluthi moja ya Warundi wanahitaji misaada ya kibinadamu

    UN: Thuluthi moja ya Warundi wanahitaji misaada ya kibinadamu

    Feb 21, 2018 04:10

    Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) limesema mtu mmoja kwa kila raia watatu wa Burundi atahitaji misaada ya kibinadamu mwaka huu, hilo likiwa ni ongezeko la asilimia 20 ikilinganishwa na mwaka jana 2017.

  • Umoja wa Mataifa waonyesha matumaini ya kufikiwa makubaliano ya amani Sudan Kusini

    Umoja wa Mataifa waonyesha matumaini ya kufikiwa makubaliano ya amani Sudan Kusini

    Feb 16, 2018 04:15

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Sudan Kusini ameeleza matarajio yake juu ya kufikiwa makubaliano ya amani ya kuhitimisha machafuko nchini humo katika mazungumzo yanayoendelea hivi sasa mjini Addis Abab, Ethiopia.

  • Guterres: Kuijenga upya Iraq kunahitajia umoja wa kitaifa

    Guterres: Kuijenga upya Iraq kunahitajia umoja wa kitaifa

    Feb 14, 2018 13:10

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameunga mkono ubunifu wa kila namna uliotolewa kuhusu kuijenga upya Iraq na kusisitiza kuwa, ujenzi mpya wa nchi hiyo iliyoharibiwa vibaya na vita unahitajia umoja wa kitaifa kati ya watu wa matabaka yote nchini humo.

  • Iran yasema ipo tayari kusaidia operesheni za kulinda amani duniani

    Iran yasema ipo tayari kusaidia operesheni za kulinda amani duniani

    Feb 14, 2018 04:39

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameueleza umoja huo juu ya utayarifu wa Tehran wa kuchangia na kusaidia operesheni za kulinda amani duniani.

  • UN: Myanmar haijaandaa mazingira salama ya kurejea nchini Warohingya

    UN: Myanmar haijaandaa mazingira salama ya kurejea nchini Warohingya

    Feb 14, 2018 03:55

    Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) amesema Myanmar imeshindwa kuandaa mazingira salama ya kuruhusu kurejea kwa khiari nchini humo Waislamu wakimbizi 688,000 Warohingya waliokimbilia nchi jirani ya Bangladesh.

  • Israel yabomoa shule za EU huko Palestina inyaokaliwa kwa mabavu

    Israel yabomoa shule za EU huko Palestina inyaokaliwa kwa mabavu

    Feb 09, 2018 11:00

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, Wapalestina na Mabedui wanaoishi katika kitongoji cha Area C katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina wapo katika hatari ya kufurushwa kwenye makazi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kikao cha UN kuhusu Syria chamalizika bila ya kufikiwa natija

    Kikao cha UN kuhusu Syria chamalizika bila ya kufikiwa natija

    Feb 08, 2018 23:39

    Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichofanyika jana mjini New York kujadili hali ya kibinadamu nchini Syria kimemalizika bila ya kufikia natija yoyote.

  • Onyo la Syria kuhusiana na uungaji mkono mkubwa unaofanywa na Israel kwa ugaidi

    Onyo la Syria kuhusiana na uungaji mkono mkubwa unaofanywa na Israel kwa ugaidi

    Feb 08, 2018 23:01

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Rais wa Baraza la Usalama la umoja huo kulalamikia mashambulio mapya yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya eneo moja lililoko kwenye viunga vya Damascus, mji mkuu wa Syria.

  • UN yawawekea vikwazo jenerali wa jeshi Congo DR, makamanda wa waasi

    UN yawawekea vikwazo jenerali wa jeshi Congo DR, makamanda wa waasi

    Feb 03, 2018 12:04

    Kamati ya Vikwazo ya Umoja wa Mataifa imeyaweka majina manne ya makamanda wengine wa kijeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika orodha yake nyeusi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS