-
UN yaitaka serikali ya Kenya iheshimu uhuru wa vyombo vya habari
Feb 03, 2018 04:05Umoja wa Mataifa umeitaka serikali ya Kenya kuheshimu agizo la mahakama lililoitaka ibatilishe hatua yake ya kuzifungia televisheni tatu kupeperushaji matangazo baada ya stesheni hizo kurusha moja kwa moja hafla ya kuapishwa kiongozi wa upinzani wa nchi hiyo Raila Odinga.
-
Naibu balozi wa Iran UN: Ukosefu wa usalama unaongeza umasikini
Feb 02, 2018 00:36Naibu balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, ukosefu wa usalama na amani unachangia kuongezeka umasikini duniani.
-
Wasiwasi wa UN kuhusu kurejeshwa kwa nguvu wakimbizi Waislamu wa Rohingya
Jan 29, 2018 10:23Umoja wa Mataifa umesema una wasiwasi mkubwa na suala la kufukuzwa kutoka Bangladesh wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya wa Myanmar.
-
Guterres asema dunia haiwezi kuwa na amani bila kusuluhishwa migogoro ya Afrika
Jan 28, 2018 04:23Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitizia umuhimu wa kupatiwa ufumbuzi changamoto na migogoro inayozikumba nchi za bara Afrika kwa maslahi ya amani na maendeleo ya dunia.
-
UNRWA yazindua mfuko wa kimataifa baada ya Marekani kuipungizia misaada
Jan 23, 2018 04:24Shirika la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina la Umoja wa Mataifa UNRWA limezindua mfuko wa kimataifa utakaoisaidia taasisi hiyo kutekeleza majukumu yake baada ya Marekani kuipunguzia misaada.
-
Ripoti ya UN yataka askari wa kulinda amani watumie nguvu
Jan 23, 2018 04:07Ripoti ya wataalamu wa Umoja wa Mataifa imetoa pendekezo kwa askari wa kulinda amani wa umoja huo kutumia 'nguvu' kuzima tishio dhidi yao wanapolazimika kufanya hivyo wakiwa katika operesheni zao.
-
Marekani yakosolewa kwa kuipunguzia msaada UNRWA
Jan 17, 2018 11:33Shirika la Umoja wa Mataifa la kuwashughulikia wakimbizi wa Kipalestina limekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuipunguzia msaada tasisi hiyo kwa zaidi ya asilimia 50.
-
Museveni aituhumu UN kuwa 'inalinda ugaidi' Kongo DR
Jan 17, 2018 11:14Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameibua tuhuma nzito dhidi ya Umoja wa Mataifa akidai kuwa chombo hicho cha kimataifa 'kinalinda ugaidi' mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
UN: Watu laki moja wanahitajia msaada Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jan 17, 2018 01:02Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema takriban watu laki moja wanahitajia msaada katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
UN: 75% ya wananchi wa Yemen wanahitajia misaada
Jan 16, 2018 11:16Umoja wa Mataifa umesema idadi ya raia wa Yemen wanaohitajia misaada imeongezeka na kufikia milioni 22.2, huku makali ya njaa yakiongeza masaibu ya Wayemen wanaokabiliwa na mashambulizi ya Saudi Arabia kwa miaka mitatu sasa.