Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Matusi ya Trump dhidi ya Waafrika yazidi kulaaniwa

    Matusi ya Trump dhidi ya Waafrika yazidi kulaaniwa

    Jan 13, 2018 04:19

    Mabalozi wa nchi 54 za Afrika katika Umoja wa Mataifa wamelaani vikali matusi na kejeli za rais wa Marekani dhidi ya Waafrika.

  • Umoja wa Mataifa watiwa wasiwasi na hali inavyoendelea nchini Tunisia

    Umoja wa Mataifa watiwa wasiwasi na hali inavyoendelea nchini Tunisia

    Jan 13, 2018 04:17

    Umoja wa Mataifa umesema umetiwa wasiwasi na idadi kubwa ya watu waliotiwa mbaroni nchini Tunisia.

  • Umoja wa Mataifa wataka kufanyika uchaguzi Libya mwaka huu

    Umoja wa Mataifa wataka kufanyika uchaguzi Libya mwaka huu

    Jan 11, 2018 00:29

    Umoja wa Mataifa umesema uko tayari kuisaidia Libya katika maandalizi ya uchaguzi mkuu kufikia mwishoni mwa mwaka huu 2018.

  • UN yashtushwa na ukiukwaji wa haki za binadamu Imarati

    UN yashtushwa na ukiukwaji wa haki za binadamu Imarati

    Jan 10, 2018 12:32

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kutokana na kushtadi uvunjwaji wa haki za binadamu katika Umoja wa Falme za Kiarabu.

  • UN yataka kufanyika uchunguzi kuhusu ghasia za karibuni nchini Kongo

    UN yataka kufanyika uchunguzi kuhusu ghasia za karibuni nchini Kongo

    Jan 10, 2018 04:08

    Umoja wa Mataifa umetaka kufanyika uchunguzi kuhusu ghasia zilizoikumba Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwezi Disemba mwaka jana.

  • UN yalaani hatua ya Israel ya kuwafukuza wahajiri wa Kiafrika

    UN yalaani hatua ya Israel ya kuwafukuza wahajiri wa Kiafrika

    Jan 10, 2018 01:06

    Umoja wa Mataifa umeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel kufuta mpango ulioanza kuutekeleza hivi karibuni wa kuwarejesha nchini kwao kwa nguvu makumi ya maelfu ya Waafrika walioingia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo haramu.

  • UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya Yemen, yataka mashambulizi ya Saudia yasitishwe

    UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya Yemen, yataka mashambulizi ya Saudia yasitishwe

    Jan 07, 2018 09:39

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Anayeshughulikia Masuala ya Kibinadamu ameeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya watu wa Yemen.

  • Ansarullah: Mtazamo wa UN kuhusu Yemen ndio uliofelisha jitihada za kutafuta suluhu

    Ansarullah: Mtazamo wa UN kuhusu Yemen ndio uliofelisha jitihada za kutafuta suluhu

    Jan 06, 2018 23:13

    Mjumbe mwandamizi wa Baraza la Kisiasa la harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema, jitihada za kutafuta suluhu na kurejesha amani nchini humo hazitakuwa na faida yoyote ikiwa Umoja wa Mataifa hautabadilisha muelekeo wake wa kuushughulikia mgogoro wa nchi hiyo.

  • UN kuchunguza mauaji ya askari 15 wa Tanzania nchini Kongo DR

    UN kuchunguza mauaji ya askari 15 wa Tanzania nchini Kongo DR

    Jan 06, 2018 03:50

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema taasisi hiyo ya kimataifa itachunguza mauaji ya wanajeshi 15 wa kulinda amani raia wa Tanzania waliouawa mapema mwezi uliopita katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Kuongezeka gharama za kijeshi ulimwenguni na kukinzana kwake na Malengo ya Milenia

    Kuongezeka gharama za kijeshi ulimwenguni na kukinzana kwake na Malengo ya Milenia

    Jan 04, 2018 23:00

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imesema katika ripoti yake kwamba, gharama za kijeshi ulimwenguni ziliongezeka kwa asilimia 46 katika kipindi cha miaka kumi kuanzia 2005 hadi 2015.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS