Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Onyo la Iran kwa Umoja wa Ulaya

    Onyo la Iran kwa Umoja wa Ulaya

    Oct 07, 2022 07:27

    Hossein Amir Abdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatano alifanya mazungumzo kwa njia ya simu na Josep Borrell, mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya.

  • Abdollahian: Serikali itakabiliana na wafanya fujo, magaidi kwa misingi ya sheria

    Abdollahian: Serikali itakabiliana na wafanya fujo, magaidi kwa misingi ya sheria

    Oct 06, 2022 04:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameuonya Umoja wa Ulaya dhidi ya kuingilia masuala ya ndani ya Jamhuri ya Kiislamu na kusisitiza kuwa, serikali ya Tehran itakabiliana na wafanya fujo na magaidi kwa kuzingatia misingi ya sheria za nchi hii.

  • Iran: Tutatoa jibu iwapo EU itaendelea na tabia yake ya uingiliajii

    Iran: Tutatoa jibu iwapo EU itaendelea na tabia yake ya uingiliajii

    Oct 06, 2022 00:11

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametahadharisha kuwa, Tehran itatoa jibu mwafaka iwapo Umoja wa Ulaya utaendelea na tabia yake ya kungilia masuala ya ndani ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Mkutano wa ushirikiano wa Israel na EU wakosolewa

    Mkutano wa ushirikiano wa Israel na EU wakosolewa

    Oct 04, 2022 04:16

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya Palestina yamelaani mkutano wa ushirikiano baina ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Umoja wa Ulaya, wakati huu ambapo utawala huo haramu umeshadidisha hujuma na mbinyo dhidi ya Wapalestina.

  • Umoja wa Ulaya wapendekeza kifurushi cha vikwazo vipya dhidi ya Russia

    Umoja wa Ulaya wapendekeza kifurushi cha vikwazo vipya dhidi ya Russia

    Sep 29, 2022 04:27

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya jana usiku alipendekeza duru mpya ya vikwazo dhidi ya Moscow; vikiwemo vikwazo katika bei ya mafuta na kuizuia Russia kuuza mafuta yake ya kiasi cha dola bilioni 7.

  • Kan'ani Chafi: Wanaojifanya watetezi wa haki za wananchi wa Iran wakomeshe vikwazo vyao vya miongo kadhaa

    Kan'ani Chafi: Wanaojifanya watetezi wa haki za wananchi wa Iran wakomeshe vikwazo vyao vya miongo kadhaa

    Sep 26, 2022 07:37

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: wanaojidai kutetea haki za wananchi wa Iran wanapaswa waweke kando nara zao hizo za uongo na zilizochakaa, na badala yake wahitimishe vikwazo vya kidhalimu na vilivyo dhidi ya ubinaadamu walivyoliwekea taifa la Iran kwa miongo kadhaa.

  • Kuendelea mgogoro wa nishati barani Ulaya

    Kuendelea mgogoro wa nishati barani Ulaya

    Sep 13, 2022 21:41

    Nchi za Ulaya ambazo kwa sasa zinakabiliwa na tatizo kubwa la kusambaza gesi na kudhibiti bei ya nishati, zinakumbwa na changamoto mbalimbali za kisiasa na kijamii zinazotokana na tatizo hilo.

  • Kwa mara nyingine Russia yazionya nchi za Ulaya kuhusu misaada ya kijeshi kwa Ukraine

    Kwa mara nyingine Russia yazionya nchi za Ulaya kuhusu misaada ya kijeshi kwa Ukraine

    Sep 06, 2022 06:05

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia kwa mara nyingine tena imetoa onyo kali kwa Umoja wa Ulaya kuhusu madhara ya misaada yao ya kijeshi kwa Ukraine.

  • Wanachama kadhaa wa Umoja wa Ulaya wapinga vikwazo dhidi ya Russia

    Wanachama kadhaa wa Umoja wa Ulaya wapinga vikwazo dhidi ya Russia

    Aug 29, 2022 02:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Poland amesema kuwa, kuna wanachama kadhaa wa Umoja wa Ulaya wanapinga vikwazo vya nchi za Magharibi dhidi ya Russia.

  • Majibu ya Marekani kuhusu JCPOA na kuendelea tuhuma zisizo na msingi dhidi ya Iran

    Majibu ya Marekani kuhusu JCPOA na kuendelea tuhuma zisizo na msingi dhidi ya Iran

    Aug 25, 2022 03:36

    Edward "Ned" Price, msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Marekani alisema jana Jumatano kuwa, Washington imetoa majibu kuhusu mitazamo ya Iran juu ya mazungumzo ya kuondolewa vikwazo Tehran. Amesema: Uchunguzi wetu kuhusu mitazamo ya Iran umekamilika na leo (Jumatano) tumekabidhi mapendekezo yetu kwa Umoja wa Ulaya. 

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS