Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Indhari ya Josep Borrell kwa Israel kuhusu kuendelea kuzikalia kwa mabavu ardhi za Palestina

    Indhari ya Josep Borrell kwa Israel kuhusu kuendelea kuzikalia kwa mabavu ardhi za Palestina

    May 19, 2020 22:39

    Katika fremu ya malengo yake ya muda mrefu, utawala haramu wa Israel unakusudia kupora sehemu kubwa ya ardhi za Palestina za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuziunganisha na ardhi nyingine za Palestina unazozikali kwa mabavu.

  • Borrell: EU haitaitambua hatua ya upande mmoja ya Israel ya kuambatisha ardhi inayoikalia kwa mabavu

    Borrell: EU haitaitambua hatua ya upande mmoja ya Israel ya kuambatisha ardhi inayoikalia kwa mabavu

    May 19, 2020 10:57

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ameuonya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya utekelezaji wa uamuzi wa "upande mmoja" wa kuambatisha na kile kinachoitwa Israel baadhi ya sehemu za ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu akisisitiza kuwa jumuiya hiyo yenye nchi wanachama 27 haitayatambua mabadiliko yoyote ya aina hiyo yanayokinzana na muundo wa mipaka ya mwaka 1967.

  • Wanadiplomasia wa EU: Marekani haina haki ya kutaka kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Wanadiplomasia wa EU: Marekani haina haki ya kutaka kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    May 06, 2020 03:31

    Wanadiplomasia wa Umoja wa Ulaya wamesema kwa kujiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya Iran, Marekani ilipoteza haki yake ya kutaka kurefushwa vikwazo vya silaha vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran.

  • Msimamo mmoja wa dunia dhidi ya mpango wa utawala wa Kizayuni na uungaji mkono wa Marekani kwa mpango huo

    Msimamo mmoja wa dunia dhidi ya mpango wa utawala wa Kizayuni na uungaji mkono wa Marekani kwa mpango huo

    Apr 26, 2020 20:10

    Serikali ya Rais Donald Trump imekuwa ikichukua hatua zisizo za kawaida katika kuunga mkono utawala haramu wa Kizayuni ambapo kati ya hatua hizo ni kuafiki rasmi suala la kuunganishwa maeneo ya Ukingo wa Magharibi na maeneo mengine yanayokaliwa kwa mabavu na utawala huo bandia.

  • Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yapinga mpango wa EU wa kuzuia kuingizwa silaha nchini humo

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yapinga mpango wa EU wa kuzuia kuingizwa silaha nchini humo

    Apr 25, 2020 08:43

    Vita vya ndani nchini Libya vilivyoanza baada ya kung'olewa madarakati dikteta wa zamani wa nchi hiyo, Muammar Gaddafi vimeshika mwelekeo unaotia wasiwasi mkubwa zaidi tangu Aprili mwaka jana 2019 kufuatilia mashambulizi ya wapiganaji wa linalojiita jeshi la taifa la Libya chini ya uongozi wa Khalifa Haftar, lengo likiwa ni kuudhibiti mji mkuu, Tripoli na kuing'oa madarakani Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa.

  • Mtihani wa Corona na sisitizo la Italia la kutokuwepo mshikamano ndani ya Umoja wa Ulaya

    Mtihani wa Corona na sisitizo la Italia la kutokuwepo mshikamano ndani ya Umoja wa Ulaya

    Apr 22, 2020 05:47

    Kuenea kwa kiasi kikubwa virusi vya Corona barani Ulaya na mgogoro unaotokana na janga hilo, kumezifanya nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya EU kukosoa baadhi ya sheria zake na kusema kuwa haujakuwa na radiamali wala kuonyesha mshikamano uliotarajiwa kuhusiana na janga hilo.

  • Baada ya janga la corona Wataliano wataka kujiondoa Umoja wa Ulaya

    Baada ya janga la corona Wataliano wataka kujiondoa Umoja wa Ulaya

    Apr 20, 2020 03:30

    Uchunguzi mpya wa maoni nchini Italia umebaini kuwa aghalabu ya watu wa nchi hiyo wanataka nchi yao iondoke katika Umoja wa Ulaya kutokana na utendaji mbovu wa umoja huo katika kipindi hiki cha janga la corona nchini humo.

  • Tahadhari ya maafisa wa Italia kuhusu uwezekano wa kusambaratika EU

    Tahadhari ya maafisa wa Italia kuhusu uwezekano wa kusambaratika EU

    Apr 14, 2020 01:59

    Maambukizi ya virusi vya corona na kutokuwepo ushirikiano kwa ajili ya kudhibiti kasi ya maambukizi ya virusi hivyo katika nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) vimetia mashakani mustakbali wa umoja huo na malengo ya kuasisiwa kwake.

  • Jitihada za Umoja wa Ulaya za kulinda mshikamano na uchumi wa pamoja

    Jitihada za Umoja wa Ulaya za kulinda mshikamano na uchumi wa pamoja

    Apr 12, 2020 03:06

    Kutokana na kuendelea janga la ugonjwa wa corona barani Ulaya na kuongezeka wasiwasi kuhusu taathira mbaya za kiuchumi na kisiasa kutokana na janga hilo, wakuu wa Umoja wa Ulaya wametenga mfuko wa dharura wa Euro billioni 500 kwa ajili ya kukabiliana na madhara yanayotokana na ugonjwa huo angamizi.

  • Iran kurutubisha urani hadi SWU milioni moja iwapo EU itafeli kutoa dhamana ya kutekeleza JCPOA

    Iran kurutubisha urani hadi SWU milioni moja iwapo EU itafeli kutoa dhamana ya kutekeleza JCPOA

    Apr 09, 2020 03:52

    Kamati ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) imesema Tehran itaendelea kurutubisha urani kwa kiwango inachotaka, lakini inaweza kuangalia upya urutubishaji huo iwapo tu Umoja wa Ulaya utatoa dhamana ya kivitendo ya kuheshimu na kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS