Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Uungaji mkono wa moja kwa moja wa nchi saba za Ulaya kwa JCPOA na kupigwa hatua ya kivitendo

    Uungaji mkono wa moja kwa moja wa nchi saba za Ulaya kwa JCPOA na kupigwa hatua ya kivitendo

    Jun 30, 2019 15:29

    Umoja wa Ulaya na troika ya Ulaya inayozijumuisha nchi za Ufaransa, Ujerumani na Uingereza kama wanachama wa kundi la 4+1, mara kwa mara zimekuwa zikitangaza uungaji mkono wao kwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Uungaji mkono wa moja kwa moja wa nchi saba za Ulaya kwa JCPOA na kupigwa hatua ya kivitendo

    Uungaji mkono wa moja kwa moja wa nchi saba za Ulaya kwa JCPOA na kupigwa hatua ya kivitendo

    Jun 30, 2019 06:03

    Umoja wa Ulaya na troika ya Ulaya inayozijumuisha nchi za Ufaransa, Ujerumani na Uingereza kama wanachama wa kundi la 4+1, mara kwa mara zimekuwa zikitangaza uungaji mkono wao kwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Kikao cha Vienna na 'JCPOA'; udharura wa kuwa huru Ulaya kivitendo

    Kikao cha Vienna na 'JCPOA'; udharura wa kuwa huru Ulaya kivitendo

    Jun 29, 2019 02:17

    Sambamba na kukaribia kumalizika kwa muhula wa siku 60 uliotolewa na Iran kwa nchi za Ulaya ili zichukue hatua za kivitendo zenye lengo la kulinda mapatano ya nyuklia ya JCPOA, udiplomasia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unafuatilia maslahi yake ya kitaifa bila kujali mashinikizo ya kisiasa na kiuchumi.

  • Mfumo maalumu wa kifedha wa INSTEX waanza kufanya kazi

    Mfumo maalumu wa kifedha wa INSTEX waanza kufanya kazi

    Jun 28, 2019 23:50

    Helga Schmid, Msaidizi wa Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, amesema kuwa mfumo maalumu wa mabadilishano ya fedha kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Ulaya, tayari umeanza kufanya kazi na hatua ya kwanza ya mabadilishano hayo inaendelea kufanya kazi.

  • Umoja wa Ulaya: Mfumo wa mabadilishano ya fedha na Iran umeanza kutekelezwa

    Umoja wa Ulaya: Mfumo wa mabadilishano ya fedha na Iran umeanza kutekelezwa

    Jun 28, 2019 23:27

    Naibu wa Mkuu wa Siasa za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, mfumo maalumu wa mabadilishano ya fedha baina ya Ulaya na Iran maarufu kwa jina la INSTEX umeshaanza kufanya kazi.

  • Misimamo ya kimasharti ya troika ya Ulaya kuhusu JCPOA

    Misimamo ya kimasharti ya troika ya Ulaya kuhusu JCPOA

    Jun 26, 2019 02:17

    Huku muda uliowekwa na Iran wa kuongeza kiwango cha kutochunga ahadi zake ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA kutokana na upande wa pili wa mapatano hayo kutotekeleza kabisa ahadi zao ukikaribia, troika ya Ulaya yaani nchi tatu za Ujerumani, Ufaransa na Uingereza zimeanzisha harakati za kidiplomasia na kipropaganda za kujaribu kuizuia Iran isichukue hatua zaidi za kupunguza utekelezaji wa ahadi zake.

  • Rais Rouhani: Nchi za Ulaya zina muda mfupi wa kuiokoa JCPOA

    Rais Rouhani: Nchi za Ulaya zina muda mfupi wa kuiokoa JCPOA

    Jun 17, 2019 08:34

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za Ulaya zina muda mfupi wa kuyaokoa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Ufaransa yakosoa mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Ufaransa yakosoa mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Jun 11, 2019 00:51

    Licha ya juhudi kuibwa zinazofanywa na Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kufanikisha mpango wa 'Muamala wa Karne' ambao unalenga kudhamini maslahi ya utawala haramu wa Israel kwa madhara ya Wapalestina, lakini washirika wa Ulaya wa Washington ikiwemo Ufaransa, wanaendelea kuukosoa mpango huo.

  • Jeshi Sudan latangaza uchaguzi mkuu; mauaji ya waandamanaji yazidi kulaaniwa

    Jeshi Sudan latangaza uchaguzi mkuu; mauaji ya waandamanaji yazidi kulaaniwa

    Jun 04, 2019 02:22

    Jeshi nchini Sudan leo limetangaza kuvunja makubaliano yote ya kukabidhi madaraka kwa serikali ya mpito ya kiraia na badala yake limetangaza uchaguzi mkuu katika kipindi cha miezi tisa ijayo. Hayo yamekuja baada ya wanajeshi kushambulia waandamanaji na kuua raia 30 na kujeruhi mamia ya wengine jana Jumatatu.

  • Umoja wa Ulaya: Ujenzi wa vitongoji vya walowezi ni kikwazo cha kurejeshwa amani

    Umoja wa Ulaya: Ujenzi wa vitongoji vya walowezi ni kikwazo cha kurejeshwa amani

    Jun 01, 2019 06:57

    Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa mipango iliyotangazwa hivi karibuni wa utawala wa Kizayuni wa Israel ya kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni huko Quds Mashariki ni kinyume cha sheria na inakwamisha mchakato wa kurejesha amani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS