Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumaini kuhusu JCPOA

    Madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumaini kuhusu JCPOA

    May 27, 2019 22:42

    Umoja wa Ulaya na troika ya umoja huo inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Uingereza daima imekuwa ikidai kuwa inaunga mkono mapatano ya nyuklia na Iran maarufu kwa jina la JCPOA na kwmba nchi hizo zimekuwa zikisisitizia muda wote umuhimu wa kutekelezwa kivitendo mapatano hayo.

  • Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May ajiuzulu baada ya jitihada zake kuhusu Brexit kufeli

    Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May ajiuzulu baada ya jitihada zake kuhusu Brexit kufeli

    May 24, 2019 07:21

    Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May ametangaza kujiuzulu wadhifa wake baada ya jitihada zake za kuandaa mpango kabambe wa kujiondoa nchi hiyo kutoka Umoja wa Ulaya (Brexit) kugonga mwamba.

  • Shari za Trump: Washington yazionya nchi za Ulaya kuhusu mkakati wao wa kutoishirikisha Marekani katika ulinzi

    Shari za Trump: Washington yazionya nchi za Ulaya kuhusu mkakati wao wa kutoishirikisha Marekani katika ulinzi

    May 16, 2019 02:04

    Moja ya hitilafu kuu baina ya Marekani na nchi za Ulaya wakati huu wa urais wa Donald Trump huko Marekani, ni misimamo ya kukinzana ya pande mbili kuhusu siasa na miundo ya ulinzi ya Ulaya na nafasi ya shirika la kijeshi la nchi za Magharibi, NATO.

  • Mkutano wa Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Umoja wa Ulaya na sisitizo la kutekelezwa makubaliano ya JCPOA

    Mkutano wa Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Umoja wa Ulaya na sisitizo la kutekelezwa makubaliano ya JCPOA

    May 14, 2019 21:47

    Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya (Ujerumani, Ufaransa na Uingereza) daima zimekuwa zikiunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kusisitiza kutekelezwa kwake.

  • ECFR yaitaka Marekani iangalie upya sera zake haribifu dhidi ya JCPOA

    ECFR yaitaka Marekani iangalie upya sera zake haribifu dhidi ya JCPOA

    May 12, 2019 02:29

    Baraza la Uhusiano wa Kigeni la Ulaya ECFR limeitaka Marekani iangalie upya sera zake haribifu na za kiuhasama dhidi ya makubaliano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama JCPOA.

  • Taarifa ya Ulaya kuhusu hatua ya Iran; ulazima wa kutekelezwa ahadi badala ya kudhihirishwa masikitiko

    Taarifa ya Ulaya kuhusu hatua ya Iran; ulazima wa kutekelezwa ahadi badala ya kudhihirishwa masikitiko

    May 10, 2019 21:46

    Baada ya Marekani kutangaza kujitoa katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia, JCPOA, mnamo tarehe 8 Mei mwaka uliopita, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilitaraji kwamba kundi la 4+1 na hasa troika ya Ulaya na Umoja wa Ulaya, lingechukua hatua za kupunguza madhara ya Marekani kuanza kutekeleza tena vikwazo vya nyuklia dhidi ya Iran.

  • Radiamali ya Umoja wa Ulaya kuhusu maamuzi ya Iran, matarajio ya kulindwa JCPOA bila kutolewa fursa

    Radiamali ya Umoja wa Ulaya kuhusu maamuzi ya Iran, matarajio ya kulindwa JCPOA bila kutolewa fursa

    May 09, 2019 02:47

    Mapatano ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA yalifikiwa mjini Vienna mwezi Julai 2015 kati ya Iran na kundi la 5+1, huku utekelezaji wake ukiwa ulianza mwezi Januari 2016.

  • Sisitizo jipya la Ufaransa la kuheshimu mapatano ya JCPOA

    Sisitizo jipya la Ufaransa la kuheshimu mapatano ya JCPOA

    Apr 16, 2019 21:56

    Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) ulitiwa saini kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kundi la 5+1 mnamo tarehe 14 Julai 2015, na kuanza kutekelezwa rasmi tarehe 16 Januari 2016.

  • EU yatakiwa kupinga njama za Marekani dhidi ya Wapalestina

    EU yatakiwa kupinga njama za Marekani dhidi ya Wapalestina "Muamala wa Karne"

    Apr 16, 2019 09:45

    Viongozi na wanasiasa waandamizi wa zamani wa Ulaya wameuandikia barua Umoja wa Ulaya, wakiuasa usikubali kuunga mkono mpango wa Marekani wenye njama dhidi ya Wapalestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne".

  • Raia wa Italia waandamana mbele ya bunge la EU kupinga mauaji ya raia wa Yemen

    Raia wa Italia waandamana mbele ya bunge la EU kupinga mauaji ya raia wa Yemen

    Apr 16, 2019 02:38

    Kundi la wanaharakati nchini Italia limefanya maandamano mbele ya bunge la Umoja wa Ulaya kupinga mwendelezo wa mauaji dhidi ya raia wa Yemen unaofanywa na utawala wa Aal-Saud wa Saudia pamoja na washirika wake na pia kimya cha viongozi wa nchi za Magharibi kuhusiana na maafa yanayoshuhudiwa ndani ya nchi hiyo masikini ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS