Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

UNESCO

  • UNESCO yaziweka 'Caravanserai' za kihistoria za Iran kwenye orodha yake ya turathi za dunia

    UNESCO yaziweka 'Caravanserai' za kihistoria za Iran kwenye orodha yake ya turathi za dunia

    Sep 19, 2023 13:17

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limeongeza Caravanserai' 54 za kihistoria za Iran katika orodha yake ya maeneo ya turathi za dunia.

  • Saudi Arabia yainyima Israel kibali cha kuhudhuria mkutano wa UNESCO

    Saudi Arabia yainyima Israel kibali cha kuhudhuria mkutano wa UNESCO

    Jul 01, 2023 06:54

    Shirika la habari la Sputnik la Russia limetangaza kuwa, Saudi Arabia imekataa kuwaruhusu wawakilishi wa utawala wa Kizayuni wa Isarel kuhudhuria mikutano ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) ambayo imepangwa kufanyika mjini Riyadh mwezi Septemba mwaka huu.

  • UNESCO: Hujuma na jinai za utawala wa Kizayuni Baitul Muqaddas ni batili

    UNESCO: Hujuma na jinai za utawala wa Kizayuni Baitul Muqaddas ni batili

    Oct 14, 2021 13:02

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limesema, Baitul Muqaddas (Jerusalem) ni mji unaokaliwa kwa mabavu; na hujuma na jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel ndani ya mji huo ni batili.

  • Watoto wa Kiafghani zaidi ya  milioni nne hawaendi shule

    Watoto wa Kiafghani zaidi ya milioni nne hawaendi shule

    Sep 19, 2021 06:47

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umeripoti kuwa watoto wa Kiafghani zaidi ya milioni nne hawajajiandikisha kuanza shule mwaka huu nchini humo.

  • UNESCO: Idadi ya watoto wasiokwenda shule imeongezeka duniani

    UNESCO: Idadi ya watoto wasiokwenda shule imeongezeka duniani

    Sep 16, 2019 04:51

    Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limetahadharisha kuwa, kuna uwezekano kwamba, mwaka huu watoto karibu milioni 12 watashindwa kwenda mashuleni kupata elimu.

  • Iran yaweka rekodi ya ongezeko la wanafunzi wengi wa kigeni katika vyuo vikuu

    Iran yaweka rekodi ya ongezeko la wanafunzi wengi wa kigeni katika vyuo vikuu

    Dec 04, 2018 13:39

    Shirika la Sayansi, Elimu na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limeitangaza kuwa, Iran inashikilia rekodi ya ustawi na kukua idadi ya wanafunzi wa kigeni wanaopata elimu katika vyuo vyake vikuu.

  • UNESCO yajumuisha maeneo 8 ya Iran katika orodha ya turathi za dunia

    UNESCO yajumuisha maeneo 8 ya Iran katika orodha ya turathi za dunia

    Jul 01, 2018 07:26

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limeyaweka maeneo manane ya kihistoria ya kabla ya ujio wa Uislamu hapa nchini Iran katika orodha yake ya turathi za dunia.

  • Marekani, Israel zatengwa kimataifa baada ya kujiondoa UNESCO

    Marekani, Israel zatengwa kimataifa baada ya kujiondoa UNESCO

    Oct 13, 2017 14:56

    Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel zimetengwa kimataifa bada ya kutangaza kujiondoa katika Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO.

  • Marekani kujiondoa UNESCO Disemba mwaka huu

    Marekani kujiondoa UNESCO Disemba mwaka huu

    Oct 12, 2017 14:17

    Marekani imetangaza kuwa itajiondoa kwenye Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) kuanzia Disemba 31 mwaka huu.

  • UNESCO: Watoto milioni 1.8 wamenyimwa fursa ya kusoma Sudan Kusini

    UNESCO: Watoto milioni 1.8 wamenyimwa fursa ya kusoma Sudan Kusini

    Sep 09, 2017 03:47

    Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa UNESCO limetangaza kuwa, watoto wapatao milioni 1.8 wamenyimwa fursa ya kusoma katika nchi ya Sudan Kusini kutokana na hali mbaya ya vita na ukosefu wa amani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS