Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

UNESCO

  • UNESCO: Watu Milioni 750 hawajui kusoma na kuandika duniani

    UNESCO: Watu Milioni 750 hawajui kusoma na kuandika duniani

    Sep 08, 2017 07:43

    Leo Septemba nane ni siku ya kimataifa ya kupinga ujinga wa kutojua kusoma na kuandika ambapo kaulimbiu ya mwaka huu ni 'kusoma na kuandika katika dunia ya kidijitali'.

  • HAMAS: Iran inaendelea kuunga mkono mapambano ya Palestina

    HAMAS: Iran inaendelea kuunga mkono mapambano ya Palestina

    Jul 09, 2017 07:39

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea kuunga mkono mapambano ya wananchi wa Palestina na hakuna wakati ambao Tehran ilisitisha himaya na uungaji mkono wake huo.

  • Wanachama UNESCO wakataa wito wa kukaa kimya dakika moja kwa sababu ya Holocaust

    Wanachama UNESCO wakataa wito wa kukaa kimya dakika moja kwa sababu ya Holocaust

    Jul 08, 2017 02:52

    Wito uliotolewa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika kikao cha Shirika la Elimu, Syansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) wa kunyamaza kimya dakika moja ili kuonesha heshima kwa eti wahanga wa mauaji ya Holocaust umekabiliwa na upinzani mkali wa mwakilishi wa Cuba katika kikao hicho.

  • UNESCO yaalani vikali hatua ya Daesh ya kubomoa msikiti wa kihistoria wa al Nuri

    UNESCO yaalani vikali hatua ya Daesh ya kubomoa msikiti wa kihistoria wa al Nuri

    Jun 23, 2017 04:34

    Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limelaani vikali hatua ya kundi la kigaidi la Daesh ya kubomoa Msikiti wa kihistoria wa al Nuri katika mji wa Mosul nchini Iraq.

  • UNESCO yakosoa sera za Israel za kukalia kwa mabavu Palestina

    UNESCO yakosoa sera za Israel za kukalia kwa mabavu Palestina

    May 03, 2017 11:40

    Kamati ya Utendaji ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Utamaduni na Sayansi UNESCO Jumanne ilipitisha azimio ambalo liliulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kukiuka sheria za kimataifa katika mji wa Quds (Jerusalem) na Ukanda wa Ghaza.

  • UNESCO yatahadharisha kuhusu ukatili unaofanywa dhidi ya wanafunzi mashuleni

    UNESCO yatahadharisha kuhusu ukatili unaofanywa dhidi ya wanafunzi mashuleni

    Jan 17, 2017 16:30

    Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limetangaza kuwa, mamilioni ya wasichana na wavulana hukumbana na unyanyasaji na uonevu wanapokuwa mashuleni katika maeneo mbalimbali ya dunia.

  • Mwandishi habari mmoja huaga dunia kila siku nne na nusu

    Mwandishi habari mmoja huaga dunia kila siku nne na nusu

    Nov 03, 2016 03:53

    Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) llimetangaza kuwa mwandishi habari mmoja duniani hupoteza maisha katika kila siku nne na nusu.

  • Unesco yawasilisha azimio jipya la kulaani kuharibiwa athari za kihistoria na Israel

    Unesco yawasilisha azimio jipya la kulaani kuharibiwa athari za kihistoria na Israel

    Oct 26, 2016 07:44

    Shirika la Sayansi, Elimu na Utamaduni la Umoja wa Mataifa limewasilisha azimio jipya linalolaani hatua ya Israel ya kuharibu athari za kale katika maeneo matukufu ya Palestina.

  • UNESCO yathibitisha tena kuwa msikiti wa Al-Aqsa ni milki ya Waislamu

    UNESCO yathibitisha tena kuwa msikiti wa Al-Aqsa ni milki ya Waislamu

    Oct 19, 2016 04:04

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limethibitisha tena kwamba msikiti mtukufu wa Al-Aqsa, kibla cha kwanza cha Waislamu ni milki ya Wapalestina.

  • Iran yakaribisha hatua ya UNESCO kuhusiana na Msikiti wa Al-Aqsa

    Iran yakaribisha hatua ya UNESCO kuhusiana na Msikiti wa Al-Aqsa

    Oct 16, 2016 03:15

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekaribisha hatua ya Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) ya kuthibitisha haki ya wananchi wa Palestina kuhusiana na ardhi na matukufu yao.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS