Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

UNICEF

  • Watoto zaidi ya 300 wameuawa katika mashambulizi mapya ya Israel Gaza

    Watoto zaidi ya 300 wameuawa katika mashambulizi mapya ya Israel Gaza

    Apr 01, 2025 10:38

    Mamia ya watoto wa Kipalestina wameuawa shahidi tangu utawala wa Kizayuni wa Israel uanze tena operesheni za kijeshi katika Ukanda wa Gaza.

  • UNICEF: Asilimia 90 ya wakazi wa Ghaza wanashindwa kupata maji safi ya kunywa

    UNICEF: Asilimia 90 ya wakazi wa Ghaza wanashindwa kupata maji safi ya kunywa

    Mar 17, 2025 05:37

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limetahadharisha kuwa uhaba mkubwa wa maji katika Ukanda wa Ghaza umefikia hatua mbaya na ya maafa, kwa ababu karibu asilimia 90 ya wakazi wa eneo hilo wanashindwa kupata maji safi ya kunywa.

  • UNICEF: Zaidi ya watoto milioni moja wa Gaza wanasumbuliwa na tatizo la afya ya akili

    UNICEF: Zaidi ya watoto milioni moja wa Gaza wanasumbuliwa na tatizo la afya ya akili

    Jan 13, 2025 10:56

    Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto (UNICEF) umeonya kuwa karibu watoto wote milioni 1.1 katika Ukanda wa Gaza wanakabiliwa na mgogoro wa afya ya akili na wanahitaji msaada wa kisaikolojia, huku utawala wa Israel ukiendeleza vita vya kikatili dhidi ya wakazi wa eneo hilo linalozingirwa.

  • Unicef: Ongezeko la ghasia na kuuawa watoto Ukanda wa Gaza ni maafa

    Unicef: Ongezeko la ghasia na kuuawa watoto Ukanda wa Gaza ni maafa

    Dec 15, 2024 11:03

    Msemaji wa Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) amesema kuwa hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza ni ya maafa matupu.

  • Katika muda wa siku moja, jeshi la Kizayuni lafanya mashambulio 145 nchini Lebanon

    Katika muda wa siku moja, jeshi la Kizayuni lafanya mashambulio 145 nchini Lebanon

    Nov 17, 2024 12:41

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefanya mashambulizi 145 nchini Lebanon katika muda wa saa 24 zilizopita huku likishaidisha hujuma zake za kinyama dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu kinyume na wito wa kimataifa wa kuutaka utawala huo haramu usimamishe mashine yake ya mauaji katika eneo hili la Asia Magharibi.

  • UNICEF yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya  ya watoto wa Lebanon

    UNICEF yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya watoto wa Lebanon

    Oct 01, 2024 13:46

    Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, ametahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu nchini Lebanon na ameelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya watoto nchini humo.

  • UNICEF: Zaidi ya watoto 50,000 wa Gaza wanakabiliwa na utapiamlo mkali

    UNICEF: Zaidi ya watoto 50,000 wa Gaza wanakabiliwa na utapiamlo mkali

    Sep 07, 2024 07:17

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto Umoja wa Mataifa wa (UNICEF) umetangaza kuwa, zaidi ya watoto 50,000 huko Gaza wanakabiliwa na utapiamlo mkali.

  • UNICEF: Ghaza imegeuzwa makaburi ya watoto, hakuna mwisho wa mateso wanayopata

    UNICEF: Ghaza imegeuzwa makaburi ya watoto, hakuna mwisho wa mateso wanayopata

    Aug 09, 2024 10:10

    Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto (UNICEF) umetangaza kuwa, Ukanda wa Ghaza umegeuzwa makaburi ya watoto wa Kipalestina na hakuna mwisho wa machungu na mateso wanayopata watoto hao.

  • UNICEF: Asilimia 90 ya wakaazi wa Gaza wamekimbia makazi yao

    UNICEF: Asilimia 90 ya wakaazi wa Gaza wamekimbia makazi yao

    Jul 19, 2024 07:26

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, asilimia 90 ya wakaazi wa Ukanda wa Gaza wameyakimbia makazi yao baada ya hujuma na uvamizi wa jeshi la Israel dhidi ya eneo hilo.

  • UNICEF yaonya kuhusu hali ya kutisha ya vita kwa watoto wa Ghaza

    UNICEF yaonya kuhusu hali ya kutisha ya vita kwa watoto wa Ghaza

    Apr 01, 2024 06:51

    Msemaji wa Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto ameonya kuhusu hali mbaya na ya kutisha waliyo nayo watoto wa ukanda wa Ghaza ambao wanateseka kwa mambo mengi ikiwemo njaa na mashambulizi ya mfululizo ya wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS