Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

UNICEF

  • UNICEF yaonya: Watoto wamenasa kwenye janga la kutisha El Fasher, Sudan

    UNICEF yaonya: Watoto wamenasa kwenye janga la kutisha El Fasher, Sudan

    Aug 29, 2025 02:23

    Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF limeonya juu ya janga kubwa la kuogofya linalowawajihi watoto walionasa mjini El-Fasher, makao makuu ya jimbo la Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan.

  • Kupewa jina la Yahya Sinwar mtoto aliyezaliwa kwenye hospitali ya Ujerumani kwazusha taharuki

    Kupewa jina la Yahya Sinwar mtoto aliyezaliwa kwenye hospitali ya Ujerumani kwazusha taharuki

    Aug 08, 2025 10:36

    Wodi ya wajawazito katika hosiptali moja ya mji wa Leipzig, mashariki mwa Ujerumani, imezua kizaazaa baada ya kuweka kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram michoro na maelezo ya kumsherehekea mtoto mchanga aliyezaliwa na kupewa jina la "Yahya Sinwar", likipambwa na emoji tatu za moyo.

  • Meya wa Athens 'amnyoosha' balozi wa Israel:

    Meya wa Athens 'amnyoosha' balozi wa Israel: "Hatuhitaji kufunzwa demokrasia na wauaji wa raia"

    Aug 04, 2025 10:32

    Meya wa jiji la Athens nchini Ugiriki amemshambulia vikali balozi wa utawala wa kizayuni wa Israel nchini humo Noam Katz kwa kumwambia: "sisi hatuhitaji kupewa masomo kuhusu demokrasia na wale wanaoua raia".

  • UNICEF: Watoto 80,000 wako katika hatari kubwa ya kipindupindu Magharibi na Katikati mwa Afrika

    UNICEF: Watoto 80,000 wako katika hatari kubwa ya kipindupindu Magharibi na Katikati mwa Afrika

    Jul 31, 2025 12:11

    Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limeripoti kuwa, takriban watoto 80,000 wako katika hatari kubwa ya kukumbwa na ugonjwa wa kipindupindu wakati msimu wa mvua utakapoanza katika maeneo ya Magharibi na Katikati mwa Afrika.

  • UNRWA yatahadharisha: Ukanda wa Gaza upo kwenye ukingo wa njaa

    UNRWA yatahadharisha: Ukanda wa Gaza upo kwenye ukingo wa njaa

    May 19, 2025 12:06

    Philippe Lazaarini Mkuu wa Shirika la Misaada ya Kibinadamu la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) ametahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa kuzingirwa eneo hilo na utawala wa Kizayuni kunakwamisha misaada ya kibinadamu kuingia katika hilo; kwa hiyo wakazi wa eneo hilo wapo kwenye ukingo wa njaa.

  • Watoto zaidi ya 300 wameuawa katika mashambulizi mapya ya Israel Gaza

    Watoto zaidi ya 300 wameuawa katika mashambulizi mapya ya Israel Gaza

    Apr 01, 2025 10:38

    Mamia ya watoto wa Kipalestina wameuawa shahidi tangu utawala wa Kizayuni wa Israel uanze tena operesheni za kijeshi katika Ukanda wa Gaza.

  • UNICEF: Asilimia 90 ya wakazi wa Ghaza wanashindwa kupata maji safi ya kunywa

    UNICEF: Asilimia 90 ya wakazi wa Ghaza wanashindwa kupata maji safi ya kunywa

    Mar 17, 2025 05:37

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limetahadharisha kuwa uhaba mkubwa wa maji katika Ukanda wa Ghaza umefikia hatua mbaya na ya maafa, kwa ababu karibu asilimia 90 ya wakazi wa eneo hilo wanashindwa kupata maji safi ya kunywa.

  • UNICEF: Zaidi ya watoto milioni moja wa Gaza wanasumbuliwa na tatizo la afya ya akili

    UNICEF: Zaidi ya watoto milioni moja wa Gaza wanasumbuliwa na tatizo la afya ya akili

    Jan 13, 2025 10:56

    Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto (UNICEF) umeonya kuwa karibu watoto wote milioni 1.1 katika Ukanda wa Gaza wanakabiliwa na mgogoro wa afya ya akili na wanahitaji msaada wa kisaikolojia, huku utawala wa Israel ukiendeleza vita vya kikatili dhidi ya wakazi wa eneo hilo linalozingirwa.

  • Unicef: Ongezeko la ghasia na kuuawa watoto Ukanda wa Gaza ni maafa

    Unicef: Ongezeko la ghasia na kuuawa watoto Ukanda wa Gaza ni maafa

    Dec 15, 2024 11:03

    Msemaji wa Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) amesema kuwa hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza ni ya maafa matupu.

  • Katika muda wa siku moja, jeshi la Kizayuni lafanya mashambulio 145 nchini Lebanon

    Katika muda wa siku moja, jeshi la Kizayuni lafanya mashambulio 145 nchini Lebanon

    Nov 17, 2024 12:41

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefanya mashambulizi 145 nchini Lebanon katika muda wa saa 24 zilizopita huku likishaidisha hujuma zake za kinyama dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu kinyume na wito wa kimataifa wa kuutaka utawala huo haramu usimamishe mashine yake ya mauaji katika eneo hili la Asia Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS