Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Usalama wa chakula

  • Sudan Kusini inakumbwa na uhaba mkubwa wa chakula mwaka 2021

    Sudan Kusini inakumbwa na uhaba mkubwa wa chakula mwaka 2021

    Jun 03, 2021 03:55

    Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema upungufu mkubwa wa nafaka unatarajiwa nchini Sudan Kusini mwaka huu wa 2021, kutokana na athari za mgogoro wa muda mrefu na mafuriko.

  • FAO: Dagaa ni muhimu katika kumaliza njaa Afrika

    FAO: Dagaa ni muhimu katika kumaliza njaa Afrika

    Jun 27, 2019 02:24

    Shirika la Chakula na Kilimo Duniani, FAO limesema utafiti mpya umebaini umuhimu mkubwa wa samaki wadogo kama vile dagaa katika kumaliza tatizo la njaa na kuinua kipato kwa wakazi wa bara la Afrika.

  • Mgogoro wa chakula kuwaathiri mamilioni ya watu mwaka huu duniani, Yemen yaongoza + Video

    Mgogoro wa chakula kuwaathiri mamilioni ya watu mwaka huu duniani, Yemen yaongoza + Video

    Apr 03, 2019 06:41

    Wanasayansi wametahadharisha kuwa, mgogoro wa chakula utawaathiri makumi ya mamilioni ya watu duniani mwaka huu wa 2019 huku vita, majanga ya kimaumbile hasa yatokanayo na hali mbaya ya hewa na migogoro wa kiuchumi ikiwaweka zaidi ya watu milioni 113 katika mahitaji makubwa ya misaada ya kibinadamu mwaka jana.

  • Watu 36 wauawa na kujeruhiwa waking'ang'ania chakula Zambia

    Watu 36 wauawa na kujeruhiwa waking'ang'ania chakula Zambia

    Mar 07, 2017 07:10

    Kwa akali watu wanane wamepoteza maisha huku wengine 28 wakijeruhiwa katika mkanyagano na msongamano waking'ang'ania chakula cha msaada nchini Zambia.

  • FAO: Chakula na kilimo viende sanjari na mabadiliko ya tabia nchi

    FAO: Chakula na kilimo viende sanjari na mabadiliko ya tabia nchi

    Oct 17, 2016 04:29

    Hali ya hewa duniani inabadilika, hivyo uzalishaji wa chakula na kilimo lazima vibadilike pia kwenda sanjari na mabadiliko hayo.

  • Karibu robo nzima ya wananchi wa Burundi wanaishi katika mgogoro mkubwa wa chakula

    Karibu robo nzima ya wananchi wa Burundi wanaishi katika mgogoro mkubwa wa chakula

    Jun 13, 2016 15:37

    Taasisi mbalimbali za kimataifa zimetangazao kuwa, asilimia 23 ya wananchi wa Burundi wanateseka kwa lishe duni.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS