-
Sudan Kusini inakumbwa na uhaba mkubwa wa chakula mwaka 2021
Jun 03, 2021 03:55Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema upungufu mkubwa wa nafaka unatarajiwa nchini Sudan Kusini mwaka huu wa 2021, kutokana na athari za mgogoro wa muda mrefu na mafuriko.
-
FAO: Dagaa ni muhimu katika kumaliza njaa Afrika
Jun 27, 2019 02:24Shirika la Chakula na Kilimo Duniani, FAO limesema utafiti mpya umebaini umuhimu mkubwa wa samaki wadogo kama vile dagaa katika kumaliza tatizo la njaa na kuinua kipato kwa wakazi wa bara la Afrika.
-
Mgogoro wa chakula kuwaathiri mamilioni ya watu mwaka huu duniani, Yemen yaongoza + Video
Apr 03, 2019 06:41Wanasayansi wametahadharisha kuwa, mgogoro wa chakula utawaathiri makumi ya mamilioni ya watu duniani mwaka huu wa 2019 huku vita, majanga ya kimaumbile hasa yatokanayo na hali mbaya ya hewa na migogoro wa kiuchumi ikiwaweka zaidi ya watu milioni 113 katika mahitaji makubwa ya misaada ya kibinadamu mwaka jana.
-
Watu 36 wauawa na kujeruhiwa waking'ang'ania chakula Zambia
Mar 07, 2017 07:10Kwa akali watu wanane wamepoteza maisha huku wengine 28 wakijeruhiwa katika mkanyagano na msongamano waking'ang'ania chakula cha msaada nchini Zambia.
-
FAO: Chakula na kilimo viende sanjari na mabadiliko ya tabia nchi
Oct 17, 2016 04:29Hali ya hewa duniani inabadilika, hivyo uzalishaji wa chakula na kilimo lazima vibadilike pia kwenda sanjari na mabadiliko hayo.
-
Karibu robo nzima ya wananchi wa Burundi wanaishi katika mgogoro mkubwa wa chakula
Jun 13, 2016 15:37Taasisi mbalimbali za kimataifa zimetangazao kuwa, asilimia 23 ya wananchi wa Burundi wanateseka kwa lishe duni.