-
Ripoti: Riyadh inatathmini mazungumzo ya Syria, Israel kama utangulizi wa kuanzisha uhusiano na Tel Aviv
Jul 09, 2025 12:53Imedokezwa kuwa, Saudi Arabia inafuatilia mazungumzo yanayoongozwa na Marekani kati ya Israel na Syria kama hatua tarajiwa ya kufikia makubaliano ya baadaye ya kuanzisha uhusiano kati ya Riyadh na utawala wa Israel.
-
Brigedia Jenerali Salami aionya Saudia, aitaka iache kuwachochea vijana wa Iran waanzishe fujo
Oct 17, 2022 23:49Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) ameionya Saudi Arabia na kuuitaka iache mchezio mchafu wa kutumia vyombo vya habari kuwachochea vijana wa Iran ili waanzishe vurugu na machafuko.
-
Iran: Saudia ni tishio linaloweza kusababisha maafa kwa usalama na amani ya eneo
Sep 28, 2019 04:41Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ametoa radiamali kufuatia matamshhi ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia dhidi ya nchi hii na kuongeza kuwa, utawala wa Aal Saud ni tishio linaloweza kusababisha maafa kwa usalama na amani ya eneo la Asia Magharibi (mashariki ya Kati).
-
Matokeo hasi ya kiuchumi ya siasa za vita za watawala wa Saudia
Jun 21, 2019 22:13Taathira hasi zinazotokana na siasa za kupenda vita za watawala wa Saudi Arabia zimeanza kuonekana wazi katika soko la hisa la nchi hiyo ya kifalme.
-
Dada yake Bin Salman kufikishwa katika mahakama ya jinai Ufaransa
Jun 13, 2019 21:56Dada yake Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia anatazamiwa kupandishwa kizimbani mwezi ujao wa Julai katika mahakama ya jinai nchini Ufaransa, akiandamwa na shitaka la kumuagiza mlinzi wake kumpiga mfanyakazi wa kiume mjini Paris.
-
Mwenendo wa kuongezeka hitalafu za ndani katika nchi za Kiarabu, kushindwa Saudi Arabia
Jun 07, 2019 21:45Mvutano unaoendelea kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu za Saudi Arabia, Bahrain, Imarati na Misri, ambao ulianza tarehe 5 Juni mwaka 2017, uliingia rasmi katika mwaka wake wa tatu hapo tarehe 5 mwezi Juni mwaka huu, katika hali ambayo hakuna dalili zozote zinazoonyesha kwamba mvutano huo utamalizika hivi karibuni.
-
Maimamu wa Kisuni nchini Iran walaani chinjachinja ya Saudi Arabia dhidi ya Waislamu wa Kishia
Apr 27, 2019 08:39Wajumbe wa Baraza la Wanazuoni, Kamati ya Fatwa na maimamu wa sala za Ijumaa za miji na vijiji vya Waislamu wa Kisuni vya mkoa wa Bushehr kusini mwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, wamelaani vikali hatua za utawala wa Aal Saud wa kuwanyonga raia 37 wa Saudia wengi wao wakiwa ni Waislamu wa Kishia.
-
Dunia yaendelea kulaani jinai mpya za utawala wa Saudi Arabia
Apr 25, 2019 09:16Mashirika na taasisi za kimataifa pamoja na wanaharakati wa masuala ya kijamii wanaendelea kulaani jinai ya hivi karibuni ya utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia ya kuwaua kwa umati raia 37 wa nchi hiyo.
-
Azma ya raia wa Saudia ya kuendeleza 'Intifadha ya Heshima' dhidi ya utawala wa Aal Saud
Feb 22, 2019 04:33Kamati za Harakati ya Wananchi nchini Saudia zimetoa taarifa kwa mnasaba wa kutimia mwaka wa nane tangu ulipoanza mwamko wa 'Intifadha ya Heshima' na kusisitiza kuendeleza mwamko huo dhidi ya utawala wa Aal-Saud.
-
Aal Saud na wimbi kubwa la ukosoaji na tahadhari za haki za binadamu
Nov 11, 2018 01:06Kufuatia kuuliwa Jamal Khashoggi mwandishi habari mkosoaji wa utawala wa Aal Saud katika ubalozi mdogo wa Saudi Arabia mjini Istanbul Uturuki na kufungwa jela huko Riyadh kundi kubwa la wapinzani wa jumuiya za kiraia, kisheria na kiaidiolojia; kiongozi mmoja wa ngazi ya juu wa Saudia amekiri kuwa nchi hiyo imeonywa mara 258 na taasisi mbalimbali za kimataifa kuhusu haki za binadamu.