Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Wanachama wa mtandao wenye uhusiano na Mossad wanyongwa nchini Iran

    Wanachama wa mtandao wenye uhusiano na Mossad wanyongwa nchini Iran

    Dec 04, 2022 06:15

    Wanachama wa mtandao wa majambazi na makundi yenye uhusiano na shirika la ujasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel wamenyongwa alfajiri ya leo nchini Iran.

  • Kan'ani: Wazayuni hawana mamlaka ya kutoa maoni kuhusu haki za binadamu

    Kan'ani: Wazayuni hawana mamlaka ya kutoa maoni kuhusu haki za binadamu

    Dec 02, 2022 07:20

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran mesema kuwa utawala wghasibu, wa kigaidi na wa kibaguzi wa Israel hauna mamlaka yoyote ya kimaadili ya kutoa maoni kuhusu suala la haki za binadamu.

  • Mzayuni Ben-Gvir asema ataushambulia msikiti wa al Aqsa, HAMAS yamjibu kuwa atashindwa!

    Mzayuni Ben-Gvir asema ataushambulia msikiti wa al Aqsa, HAMAS yamjibu kuwa atashindwa!

    Nov 28, 2022 23:58

    Itamar Ben-Gvir, mzayuni mwenye misimamo ya kufurutu mpaka na kiongozi wa chama cha Nguvu ya Kiyahudi ambaye amependekezwa kuwa waziri wa usalama wa ndani katika baraza la mawaziri la Benjamin Netanyahu, ametangaza kuwa, mnamo siku chache zijazo ataushambulia Msikiti wa Al-Aqsa.

  • Jumuiya 198 za Palestina na za kimataifa zatoa mwito kwa ICC kuchunguza jinai za Israel

    Jumuiya 198 za Palestina na za kimataifa zatoa mwito kwa ICC kuchunguza jinai za Israel

    Nov 28, 2022 08:06

    Makumi ya asasi za Palestina na za kimataifa zimeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ifanye uchunguzi kuhusu jinai zinazofanywa na Wazayuni dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Mchezaji tenisi ya mezani Mlebanon agoma kucheza na Mzayuni; aiunga mkono Palestina

    Mchezaji tenisi ya mezani Mlebanon agoma kucheza na Mzayuni; aiunga mkono Palestina

    Nov 26, 2022 04:23

    Nyota chipukizi wa mchezo wa tenisi ya mezani raia wa Lebanon amejiondoa katika mashindano ya Kombe la Dunia ya Tenisi ya Mezani Kwa vijana Chipukizi (WTT) baada ya kupangwa kumenyana na mchezaji kutoka Israel (Palestina inayokaliwa kwa mabavu).

  • Mashabiki wa soka waendelea kuiunga mkono Palestina katika Kombe la Dunia

    Mashabiki wa soka waendelea kuiunga mkono Palestina katika Kombe la Dunia

    Nov 24, 2022 04:02

    Mashabiki wa soka wanaoshuhudia fainalii za mashindano ya kandanda ya Kombe la Dunia nchini Qatar wameendelea kuonyesha himaya na uungaji mkono wao kwa taifa la Palestina.

  • Polisi ya utawala wa Kizayuni yatangaza hali ya hatari baada ya miripuko ya al Quds

    Polisi ya utawala wa Kizayuni yatangaza hali ya hatari baada ya miripuko ya al Quds

    Nov 23, 2022 22:58

    Polisi ya utawala wa Kizayuni wa Israel imetangaza hali ya hatari katika ardhi zote zinazokaliwa kwa mabavu ikihofia uwezekano wa wana muqawama wa Palestina kuekeleza tena oparesheni dhidi ya Wazayuni.

  • Makundi ya Palestina: Operesheni ya Quds ni pigo kwa muundo wa usalama wa Israel

    Makundi ya Palestina: Operesheni ya Quds ni pigo kwa muundo wa usalama wa Israel

    Nov 23, 2022 08:33

    Makundi mbalimbali ya Palestina yamesema kuwa, operesheni za kishujaa iliyofanywa dhidi ya utawala wa Kizayuni katika mji wa Baytul Muqaddas ni fakhari kwa taifa la Palestina, ni katika kujibu jinai za Wazayuni na ni kufeli muundo wa kiusalama wa Israel kukabiliana na wanamapambano wa Palestina.

  • Kuongezeka watoto wa Kipalestina katika magereza ya Israel

    Kuongezeka watoto wa Kipalestina katika magereza ya Israel

    Nov 22, 2022 07:09

    Wizara ya Mateka na Wafungwa wa Kipalestina Walioachiliwa Huru kutoka gerezani imetangaza kuwa, hivi sasa kuna watoto 170 wa Kipalestina katika magereza ya Israel huku watano kati yao wakishikiliwa pasi na kuelezwa tuhuma na makosa yao.

  • Hamas: Mpango wa wavamizi wa Kizayuni huko al Khalil utashindwa

    Hamas: Mpango wa wavamizi wa Kizayuni huko al Khalil utashindwa

    Nov 20, 2022 08:15

    Sambamba na kupongeza muqawama na mapambano ya wananchi dhidi ya utawala ghasibu wa Israel, msemaji wa harakati ya Hamas amesisitiza kuwa, juhudi za utawala wa Kizayuni za kuimarisha ujenzi wa vitongoji vya walowezi huko al Khalil hazitafanikiwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS