Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Mashirika 250 ya haki za binadamu yataka Israel ichukuliwe hatua kwa kumuua Shireen Abu Aqleh

    Mashirika 250 ya haki za binadamu yataka Israel ichukuliwe hatua kwa kumuua Shireen Abu Aqleh

    May 13, 2022 05:20

    Mashirika na makundi 250 ya kutetea haki za binadamu yametoa wito wa kuchukuliwa hatua za kisheria utawala haramu wa Israel kwa jinai uliyotenda ya kumuua mwandishi habari wa Televisheni ya al-Jazeera Shireen Abu Aqleh.

  • Ziyad al-Nakhalah: Adui Mzayuni anaelekea kuangamia

    Ziyad al-Nakhalah: Adui Mzayuni anaelekea kuangamia

    May 13, 2022 05:19

    Ziyad al-Nakhalah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina amesema kuuwa, adui Mzayuni anaelekea kuangamia.

  • Haniya: Njia mwandishi habari Mpalestina aliyeuawa shahidi itaendelea

    Haniya: Njia mwandishi habari Mpalestina aliyeuawa shahidi itaendelea

    May 11, 2022 08:35

    Ismail Haniya, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameulaani vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kumuua shahidi Shireen Abu Akleh mwandishi habari Mpalestina wa Kanali Al Jazeera.

  • Jordan: Masjidul-Aqswa ni mali ya Waislamu, Israel yatakiwa kutoitahini subira ya Waislamu bilioni 2

    Jordan: Masjidul-Aqswa ni mali ya Waislamu, Israel yatakiwa kutoitahini subira ya Waislamu bilioni 2

    May 09, 2022 03:00

    Kamati ya Palestina katika Bunge la Jordan imesisitiza kuwa, Waislamu wana mamlaka mutlaki kwa msikiti mtakatifu wa al-Aqswa ulioko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Qatar: Ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni ni ukiukaji wa maazimio ya kimataifa

    Qatar: Ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni ni ukiukaji wa maazimio ya kimataifa

    May 08, 2022 03:42

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Qatar imelaani vikali mpango mpya wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kupanua vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi unazozikalia kwa mabavu za Palestina.

  • Brigedi za al-Qassam: Tutatoa jibu kali kwa Israel endapo itathubutu kuua viongozi wa muqawama

    Brigedi za al-Qassam: Tutatoa jibu kali kwa Israel endapo itathubutu kuua viongozi wa muqawama

    May 08, 2022 00:09

    Msemaji wa Brigedi za al Qassam ambazo ni tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameuonya utawala haramu wa Israel na hatua yoyote ya kijinga ya kuwaua viongozi wa muqawama.

  • HAMAS: Vitisho vya Wazayuni vinatokana na kuchanganyikiwa kwao

    HAMAS: Vitisho vya Wazayuni vinatokana na kuchanganyikiwa kwao

    May 07, 2022 06:44

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, njama za Wazayuni za kutaka kuwaua viongoz wa harakati hiyo huko Gaza ni ishara ya wazi ya kuchanganyikiwa utawala ghasibu wa Israel baada ya operesheni ya kimuqawama ya Tel-Aviv.

  • Jihadul-Islami yataka kusitishwa mwenendo wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Jihadul-Islami yataka kusitishwa mwenendo wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    May 06, 2022 20:50

    Mjumbe mwandamizi wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina ametoa wito wa kusitishwa mwenendo wa kuanzisha uhusiano wa kawaida wa mataifa ya Kiarabu na utawala ghasibu wa Israel.

  • Waungaji mkono wa muqawama nchini Jordan wataka kukatwa uhusiano wa nchi hiyo na Israel

    Waungaji mkono wa muqawama nchini Jordan wataka kukatwa uhusiano wa nchi hiyo na Israel

    May 06, 2022 20:49

    Baraza la Taifa la Kuunga Mkono Muqawama nchini Jordan limetoa wito kwa serikali ya nchi hiyo kukata uhusiano wa aina yoyote ile baina yake na utawala ghasibu wa Israel.

  • HAMAS: Wazayuni wana kiwewe cha kutokea tena vita vya

    HAMAS: Wazayuni wana kiwewe cha kutokea tena vita vya "Upanga wa Quds"

    May 06, 2022 03:11

    Kiongozi mmoja wa ngazi zajuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palesitna HAMAS amesema kuwa, Wazayuni bado wana kiwewe cha uzoefu mchungu wa operesheni ya "Upanga wa Quds" na hawataki kabisa kupata uzoefu mchungu mwingine kama huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS