Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Jihad Islami: Siku zilizobaki za Ramadhani ni uwanja wa vita vikali na wavamizi

    Jihad Islami: Siku zilizobaki za Ramadhani ni uwanja wa vita vikali na wavamizi

    Apr 12, 2022 03:18

    Mjumbe wa ngazi ya juu wa harakati ya Jihad Islami ya Palestina amesema kuwa, siku zilizosalia za mwezi mtukufu wa Ramadhani zitakuwa uwanja wa vita vikali na wavamizi wanaoikalia Quds kwa mabavu na kuongeza kuwa, ujinga wowote wa utawala ghasibu wa Israel utauangamiza utawala huo.

  • Hamas yasisitiza mapambano dhidi ya Wazayuni katika Ukingo wa Magharibi

    Hamas yasisitiza mapambano dhidi ya Wazayuni katika Ukingo wa Magharibi

    Apr 11, 2022 07:20

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameeleza kuwa moto wa mapambano dhidi ya Wazayuni unapaswa kukolezwa katika eneo lote la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Hizbullah ya Lebanon: Operesheni ya kijana wa Kipalestina Tel Aviv imedhihirisha udhaifu wa utawala wa Kizayuni

    Hizbullah ya Lebanon: Operesheni ya kijana wa Kipalestina Tel Aviv imedhihirisha udhaifu wa utawala wa Kizayuni

    Apr 08, 2022 22:03

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah imesema kuwa, operesheni ya kujitolea kufa shahidi iliyofanywa na kijana mmoja Mpalestina katikati ya Tel Aviv imedhihirisha udhaifu wa utawala wa Kizayuni na kufeli vyombo vya usalama vya utawala huo pandikizi.

  • Vikosi maalumu vya jeshi la Kizayuni vyaitwa baada ya operesheni ya Wapalestina Tel Aviv

    Vikosi maalumu vya jeshi la Kizayuni vyaitwa baada ya operesheni ya Wapalestina Tel Aviv

    Apr 08, 2022 03:31

    Vikosi maalumu na makomandoo wa jeshi la Israel vimeitwa Tel Aviv kufuatia operesheni ya wanamapambano ya Palestina iliyofanywa jana usiku na kuangamiza Wazayuni wawili.

  • Israel yachukua hatua kali za kiusalama sambamba na Swali ya Ijumaa ya kabla ya Ramadhani ndani ya Quds

    Israel yachukua hatua kali za kiusalama sambamba na Swali ya Ijumaa ya kabla ya Ramadhani ndani ya Quds

    Apr 01, 2022 06:50

    Vyombo vya habari vimeripoti kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umechukua hatua kali za kiusalama katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu sambamba na Swala ya Ijumaa ya mwisho ya Wapalestina katika Msikiti wa Al-Aqsa kabla ya kuanza mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Ansarullah: Operesheni ya Bnei Brak huko Palestina imewatikisa Wazayuni

    Ansarullah: Operesheni ya Bnei Brak huko Palestina imewatikisa Wazayuni

    Mar 31, 2022 03:30

    Ofisi ya Kisiasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen ilitoa taarifa jana Jumatano ikipongeza operesheni ya mwanamapambano wa Palestina huko Bnei Brak, Mashariki mwa Tel Aviv na kusema kuwa, operesheni hiyo imetikisa nguzo za utawala ghasibu wa Israel.

  • Zaidi ya asilimia 85 ya ardhi ya Palestina inahodhiwa na utawala haramu wa Israel

    Zaidi ya asilimia 85 ya ardhi ya Palestina inahodhiwa na utawala haramu wa Israel

    Mar 30, 2022 21:56

    Kwa mnasaba wa Siku ya Ardhi, Ofisi Kuu ya Takwimu ya Palestina (PCBS) imetangaza kuwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel hivi sasa umehodhi zaidi ya asilimia 85 ya ardhi ya nchi hiyo kulingana na mipaka ya kihistoria.

  • Az-Zahar: Operesheni ya al-Khadhirah kilikuwa kibao walichozabwa wafanya mapatano

    Az-Zahar: Operesheni ya al-Khadhirah kilikuwa kibao walichozabwa wafanya mapatano

    Mar 29, 2022 03:27

    Mahmoud az-Zahar, kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, operesheni ya al-Khadhirah kilikuwa kibao ambacho walichapwa wafanyamapatano na wale walio kitu kimoja na utawala ghasibu wa Kizayuni.

  • Khatibzadeh: Kufanyika mkutano wa uovu ni usaliti kwa lengo tukufu la ukombozi wa Palestina

    Khatibzadeh: Kufanyika mkutano wa uovu ni usaliti kwa lengo tukufu la ukombozi wa Palestina

    Mar 28, 2022 22:23

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani kufanyika mkutano wa uovu Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kuuelezea kuwa ni usaliti kwa lengo tukufu la ukombozi wa Palestina.

  • Malengo ya mikutano ya Bennett, Bin Zayed na Al-Sisi huko Misri

    Malengo ya mikutano ya Bennett, Bin Zayed na Al-Sisi huko Misri

    Mar 23, 2022 21:52

    Waziri Mkuu wa Israel na Mwanamfalme wa Abu Dhabi wamekutana na Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri katika ziara zao nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS