-
Wapalestina waishukuru AU kwa kuifukuza Israel kwenye umoja huo wa Afrika
Feb 07, 2022 01:01Harakati za muqawama wa Palestina za Hamas na Jihad al Islami zimeushukuru Umoja wa Afrika (AU) kwa kuutimua utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye umoja huo na kusema kuwa, hatua hiyo ni pigo kwa zile nchi zinazotangaza uhusiano wa kawaida na utawala huo katili.
-
Bin Salman aanzisha mradi wa ujasusi akishirikiana na Israel
Feb 03, 2022 04:47Duru za habari zimetangaza kuwa, utawala wa Saudi Arabia meanzisha mradi mkubwa zaidi wa ujasusi na kunasa sauti na mazungumzo simu za mkononi kwa ushirikiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Amnesty International: Israel ni utawala wa ubaguzi wa rangi
Feb 02, 2022 08:00Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeutuhumu utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni utawala wa baguzi wa rangi wa apartheid. Amnesty Internation inakuwa taasisi ya karibuni zaidi ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu kuitangaza Israel kuwa ni utawala wa apartheid.
-
HAMAS: Hatuwezi kukubali kuwa na utulivu wa kiuchumi na Wazayuni wakati bado wamezikalia kwa mabavu ardhi zetu
Jan 31, 2022 23:33Kiongozi mmoja wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, harakati hiyo haiwezi kukubali kuwa na usalama wa kiuchumi na utawala wa Kizayuni wa Israel maadamu utawala huo pandikizi unaendelea kuzikalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina.
-
Khatibzadeh: Uhai wa utawala vamizi wa Quds unafungamana na kufanya mauaji
Jan 31, 2022 08:12Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uhai wa utawala vamizi wa Quds unafungamana na ukandamizaji na kufanya mauaji.
-
Malengo ya safari ya Rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Imarati
Jan 31, 2022 05:44Isaac Herzog, rais wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, jana Jumapili tarehe 30 Januari aliwasili mjini Abu Dhabi katika safari ya kwanza rasmi ya kuutembelea Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati.
-
Israel yatiwa hofu na onyo la Yemen la kushambulia Expo Dubai sambamba na safari ya Herzog UAE
Jan 26, 2022 23:06Duru za habari za lugha ya Kiebrania zimeripoti kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umeingiwa na wasiwasi mkubwa kutokana na onyo lililotolewa na vikosi vya ulinzi vya Yemen la kushambulia maonyesho ya Expo Dubai, sambamba na kukaribia safari ya rais wa utawala huo nchini Imarati.
-
HAMAS: Taifa la Palestina ndilo litakalopata ushindi wa mwisho mbele ya Israel
Jan 20, 2022 04:41Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, taifa la Palestina ndilo litakalopata ushindi wa mwisho mbele ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Utawala ghasibu wa Kizayuni washadidisha kamatamata dhidi ya raia wa Palestina
Jan 19, 2022 06:53Wazayuni maghasibu wamebomoa nyumba kadhaa za raia wa Palestina na kuwatia mbaroni Wapalestina 27 ikiwa ni katika kuendelea uadui na chuki za utawala huo haramu dhidi ya Wapalestina wakazi wa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Sababu za idadi kubwa ya vifo vya wanajeshi wa Israel
Jan 15, 2022 03:55Gazeti la Kiebrania la Israel Hume limeripoti kwamba wanajeshi 31 wa Israeli waliuawa katika mwaka uliomaliza majuzi wa 2021 na kwamba 11 kati yao walijiua wenyewe.