Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Wapalestina waishukuru AU kwa kuifukuza Israel kwenye umoja huo wa Afrika

    Wapalestina waishukuru AU kwa kuifukuza Israel kwenye umoja huo wa Afrika

    Feb 07, 2022 01:01

    Harakati za muqawama wa Palestina za Hamas na Jihad al Islami zimeushukuru Umoja wa Afrika (AU) kwa kuutimua utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye umoja huo na kusema kuwa, hatua hiyo ni pigo kwa zile nchi zinazotangaza uhusiano wa kawaida na utawala huo katili.

  • Bin Salman aanzisha mradi wa ujasusi akishirikiana na Israel

    Bin Salman aanzisha mradi wa ujasusi akishirikiana na Israel

    Feb 03, 2022 04:47

    Duru za habari zimetangaza kuwa, utawala wa Saudi Arabia meanzisha mradi mkubwa zaidi wa ujasusi na kunasa sauti na mazungumzo simu za mkononi kwa ushirikiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Amnesty International: Israel ni utawala wa ubaguzi wa rangi

    Amnesty International: Israel ni utawala wa ubaguzi wa rangi

    Feb 02, 2022 08:00

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeutuhumu utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni utawala wa baguzi wa rangi wa apartheid. Amnesty Internation inakuwa taasisi ya karibuni zaidi ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu kuitangaza Israel kuwa ni utawala wa apartheid.

  • HAMAS: Hatuwezi kukubali kuwa na utulivu wa kiuchumi na Wazayuni wakati bado wamezikalia kwa mabavu ardhi zetu

    HAMAS: Hatuwezi kukubali kuwa na utulivu wa kiuchumi na Wazayuni wakati bado wamezikalia kwa mabavu ardhi zetu

    Jan 31, 2022 23:33

    Kiongozi mmoja wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, harakati hiyo haiwezi kukubali kuwa na usalama wa kiuchumi na utawala wa Kizayuni wa Israel maadamu utawala huo pandikizi unaendelea kuzikalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina.

  • Khatibzadeh: Uhai wa utawala vamizi wa Quds unafungamana na kufanya mauaji

    Khatibzadeh: Uhai wa utawala vamizi wa Quds unafungamana na kufanya mauaji

    Jan 31, 2022 08:12

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uhai wa utawala vamizi wa Quds unafungamana na ukandamizaji na kufanya mauaji.

  • Malengo ya safari ya Rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Imarati

    Malengo ya safari ya Rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Imarati

    Jan 31, 2022 05:44

    Isaac Herzog, rais wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, jana Jumapili tarehe 30 Januari aliwasili mjini Abu Dhabi katika safari ya kwanza rasmi ya kuutembelea Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati.

  • Israel yatiwa hofu na onyo la Yemen la kushambulia Expo Dubai sambamba na safari ya Herzog UAE

    Israel yatiwa hofu na onyo la Yemen la kushambulia Expo Dubai sambamba na safari ya Herzog UAE

    Jan 26, 2022 23:06

    Duru za habari za lugha ya Kiebrania zimeripoti kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umeingiwa na wasiwasi mkubwa kutokana na onyo lililotolewa na vikosi vya ulinzi vya Yemen la kushambulia maonyesho ya Expo Dubai, sambamba na kukaribia safari ya rais wa utawala huo nchini Imarati.

  • HAMAS: Taifa la Palestina ndilo litakalopata ushindi wa mwisho mbele ya Israel

    HAMAS: Taifa la Palestina ndilo litakalopata ushindi wa mwisho mbele ya Israel

    Jan 20, 2022 04:41

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, taifa la Palestina ndilo litakalopata ushindi wa mwisho mbele ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Utawala ghasibu wa Kizayuni washadidisha kamatamata dhidi ya raia wa Palestina

    Utawala ghasibu wa Kizayuni washadidisha kamatamata dhidi ya raia wa Palestina

    Jan 19, 2022 06:53

    Wazayuni maghasibu wamebomoa nyumba kadhaa za raia wa Palestina na kuwatia mbaroni Wapalestina 27 ikiwa ni katika kuendelea uadui na chuki za utawala huo haramu dhidi ya Wapalestina wakazi wa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Sababu za idadi kubwa ya vifo vya wanajeshi wa Israel

    Sababu za idadi kubwa ya vifo vya wanajeshi wa Israel

    Jan 15, 2022 03:55

    Gazeti la Kiebrania la Israel Hume limeripoti kwamba wanajeshi 31 wa Israeli waliuawa katika mwaka uliomaliza majuzi wa 2021 na kwamba 11 kati yao walijiua wenyewe.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS