-
Kamanda: Utawala wa Kizayuni hauna uwezo wa kukabiliana na Iran
Jan 12, 2022 12:29Kaimu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel hauna uwezo wa kukabiliana na Iran.
-
Wanajeshi wa Kizayuni waendelea kubomoa nyumba za Wapalestina
Jan 12, 2022 12:16Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamebomoa nyumba 11 za raia wa Palestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
HAMAS yasisitiza kusimama kidete muqawama mbele ya uvamizi wa Israel
Jan 07, 2022 04:32Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa, makundi ya muqawama hayataweka mikono yao nyuma na kutazama tu hujuma na jinai za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Sheikh Hammoud: Walioanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel wamejiuza
Jan 05, 2022 08:59Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Muqawama amesema kuwa, walioanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel wamejiuza.
-
Iran: Uzayuni hauna nafasi katika mustakabali wa dunia
Jan 04, 2022 04:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kulinda na kutetea haki, maslahi na ustawi wake kwa izza na mantiki; na kusisitiza kuwa utawala wa Kizayuni hauna nafasi katika mustakabali wa dunia.
-
Utawala wa Kizayuni wathibitisha kutokea miripuko mitatu Tel Aviv na katika bandari ya Yafa
Jan 01, 2022 04:25Duru za Kiebrania zimeripoti kuwa milio ya miripuko kadhaa imesikika katika mji mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Tel Aviv na bandari ya Yafa, katika ardhi hizo za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
LRC: Wazayuni wamebomoa nyumba 950 za Wapalestina katika mwaka huu wa 2021
Dec 29, 2021 23:56Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel mwaka huu wa 2021 limebomoa nyumba na taasisi 950 za Wapalestina.
-
Iran yalaani jinai za utawala wa Kizayuni za kushambuia maghala ya chakula nchini Syria
Dec 29, 2021 08:26Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani mashambulio ya mara kwa mara ya utawala wa Kizayuni katika ardhi ya Syria hususan jinai zake za kushambulia maghala ya vyakula na madawa katika bandari ya Ladhakia.
-
Kwa kuogopa nguvu za Hizbullah, Wazayuni wachimba mashimo ya kujifichia karibu na mpaka wa Lebanon
Dec 28, 2021 04:34Gazeti moja la utawala wa Kizayuni limeripoti kuwa, kutokana na woga walio nao kuhusu nguvu za Hizbullah, viongozi wa Israel wameamua kuchimba mashimo ya kujifichia katika mpaka wa Lebanon na maeneo ya kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.
-
Zaidi ya Wazayuni milioni mbili na laki 5 wanaishi chini ya mstari wa umaskini
Dec 22, 2021 04:03Taasisi za misaada za utawala wa Kizayuni zimetoa ripoti mpya na kusema kuwa, Wazayuni milioni 2 na laki 5 na 40,000 wanaishi chini ya mstari wa umaskini.