-
Watalii kutoka Israel waingiza kimagendo madawa ya kulevya nchini Imarati
Jan 03, 2021 09:59Baadhi ya vyombo vya habari vya Kiebrania vimetangaza kuwa, watalii kutoka Israel wanaoelekea Umoja wa Falme za Kiarabu wanaingiza kimagendo madawa ya kulevya katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Waziri wa Ulinzi wa Yemen atahadharisha juu ya uwepo wa wanajeshi wa Kizayuni katika maeneo yaliyovamiwa
Jan 03, 2021 03:21Waziri wa Ulinzi wa Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema kuwa wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wapo katika vituo vya kijasusi katika maeneo yaliyokaliwa kwa mabavu na muungano vamizi huko Yemen unaaongozwa na Saudi Arabia.
-
Hajj Qassem Soleimani; mhimimili wa muqawama dhidi ya utawala wa Kizayuni
Jan 02, 2021 04:38Alfajiri Januari Tatu unatimia mwaka wa kwanza wa kumbukumbu ya kuuliwa shahidi Hajj Qassem Suleimani. Mhimili wa muqawama unakumbushia shahid huyo mkubwa na utawala wa Kizayuni pia umefurahishwa kwa kuuliwa kamanda huyo wa muqawama. Swali muhimu hapa ni hili kuwa Kamanda Suleimani alitoa huduma gani kwa muqawama ambayo imeughadhibisha utawala wa Kizayuni?
-
Watoto 170 wa Palestina wamefungwa jela huko Israel mwaka 2020
Jan 01, 2021 09:51Kamati ya Masuala ya Matekani wa Palestina imetangaza kuwa, watoto 170 wa Kipalestina walifungwa katika jela za utawala wa Kizayuni wa Israel mwaka 2020.
-
Jumuiya ya Maulama wa Kiislamu: Ni haramu kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel
Dec 28, 2020 08:51Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa Waislamu amesema kuwa, viongozi wanaotaka mapatano wameanzisha uhusiano wa kawaida na Israel kwa sababu ya woga, tamaa na kwa ajili ya kulinda maslahi yao pamoja na tawala zao, hatua ambayo ni haramy na batili.
-
Kupitishwa maazimio 17 ya Baraza la Kuu la UN dhidi ya Israel katika mwaka 2020
Dec 26, 2020 23:02Utawala wa Kizayuni ni utawala pekee uliolaaniwa na Umoja wa Mataifa mara tatu zaidi ya nchi nyingine zote duniani katika mwaka huu wa 2020. Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha jumla ya maazimio 17 dhidi ya Israel katika mwaka huu wa 2020.
-
Syria yataka Baraza la Usalama lizuie hujuma za utawala wa Kizayuni wa Israel
Dec 26, 2020 03:52Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imesema imekosoa uungaji mkono wa baadhi ya wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa hujuma za utawala wa Kizayuni wa Israel na imetaka baraza hilo lichukue hatua za kivitendo kuzuia hujuma hizo za utawala wa Kizayuni.
-
Dubai imegeuzwa kitovu cha maovu na ufuska kwa ajili ya watalii kutoka Israel
Dec 22, 2020 09:32Duru za habari za lugha ya Kiebrania zimeripoti kuwa, Dubai imegeuzwa mji wa kufanyia maovu na ufuska na kuwafanya wazayuni wawe na hamu kubwa ya kuutembelea.
-
Saudia yabadilisha vitabu vya masomo ili kuuridhisha utawala wa Kizayuni
Dec 20, 2020 23:29Duru za habari zimearifu kuwa, Saudi Arabia imebadilisha vitabu vya masomo ya wanafunzi wa shule nchini humo kulingana na matakwa ya utawala haramu wa Kizayuni.
-
Muamala wa Trump kwa ajili ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya Morocco na utawala wa Kizayuni
Dec 12, 2020 08:06Rais Donald Trump wa Marekani juzi Alhamisi alituma ujumbe katika ukurasa wake wa twitter na kueleza kuwa Morocco na utawala wa Kizayuni wa Israel zimefikia mapatano ya kuanzisha uhusiano kamili wa kidiplomasia.