-
China yakosoa uamuzi wa kivamizi wa utawala haramu wa Kizayuni
Apr 30, 2020 06:45Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amekosoa vikali njama chafu za utawala haramu wa Kizayuni za kutaka kuyaunganisha maeneo ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Malengo ya Israel katika mashambulio inayofanya mara kwa mara dhidi ya Syria
Apr 29, 2020 02:05Raia watatu wa Syria waliuawa na wanne walijeruhiwa katika shambulio la makombora lililofanywa na utawala wa Kizayuni siku ya Jumatatu dhidi ya maeneo ya makazi ya raia katika vitongoji vya al-Hajirah na al-Adilah kandokando ya Damascus, mji mkuu wa Syria.
-
Kanuni ya ajabu yapitishwa na bunge la Israel na kuthibitisha jinsi viongozi wa Wazayuni wasivyoaminiana
Apr 24, 2020 10:20Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel Knesset limepitisha sheria ya ajabu kuwahi kushuhudiwa kwa lengo la kuepusha kiongozi wa chama cha Likud Benjamin Netanyahu asije akamgeuka Benny Gantz kiongozi wa chama cha Buluu na Nyeupe katika uundaji wa baraza jipya la mawaziri la utawala huo haramu.
-
Misimamo ya vyama vya siasa kuhusu serikali ya mseto katika ardhi zinanazokaliwa kwa mabavu (Israel)
Apr 23, 2020 01:26Baada ya chaguzi tatu za bunge la Utawala ghasibu wa Israel katika kipindi cha mwaka mmoja na mazungumzo ya muda mrefu baina ya kiongozi wa kundi la Blue and White, Benny Gantz na Benjamin Netanyahu ambaye ni kiongozi wa chama cha Licud, hatimaye pande hizo mbili zimekubaliana kuunda serikali ya mseto, suala ambalo limekabiliwa na misimamo mikali ya makundi ya kisiasa ya Israel.
-
Aprili 17 na jinai zinazokaririwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya mateka wa Kipalestina
Apr 17, 2020 20:10Kufuatia kuibuka ugonjwa wa corona katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel), utawala wa Kizayuni wa Israel ungali unaendeleza jinai dhidi ya mateka wa Kipalestina.
-
Shirika la Ujasusi la Israel MOSSAD lakiri kupora maski na vifaa vya tiba
Apr 17, 2020 02:53Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa Shirika la Ujasusi la Israel MOSSAD amekiri juu ya kuibwa na shirika hilo maski na vifaa vya afya kwa lengo la kukabiliana na mgogoro wa virusi vya Corona ndani ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (yaani Israel.)
-
Israel yawabagua Waarabu katika kutoa huduma kwa waathirika wa corona
Apr 05, 2020 05:55Mkuu wa Muungano wa Kiarabu katika Bunge la Israel, (Knesset) ametahadharisha kuhusiana na mwenendo wa utawala wa Kizayuni wa kufanya ubaguzi katika huduma za kupima na kutoa huduma zinazohusiana na virusi vya corona baina ya Waarabu na Wazayuni.
-
Israel yakumbwa na mgogoro mkubwa katika sekta ya afya
Apr 02, 2020 22:29Kuenea virusi vya Corona katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kushindwa utawala haramu wa Kizayuni katika kuzuia maambukizi ya maradhi hayo, kumepelekea kushtadi wasi wasi mkubwa baina ya viongozi wa utawala huo.
-
Waziri wa Afya wa Israel, mkewe wapatwa na virusi vya corona
Apr 02, 2020 09:07Waziri wa Afya wa Israel Yaakov Litzman na mke wake wamepatwa na virusi vya corona na wamewekwa karantini.
-
Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala haramu wa Kizayuni awekwa karantini
Mar 31, 2020 02:01Ofisi ya Waziri Mkuu wa Utawala Haramu wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuwa, Benjamin Netanyahu na wasaidizi wake kadhaa, wamewekwa karantini ya nyumbani.