Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Waandamanaji Ireland wataka kutimuliwa balozi wa Israel

    Waandamanaji Ireland wataka kutimuliwa balozi wa Israel

    Sep 01, 2024 23:28

    Waandamanaji nchini Ireland wameandamana na kukusanyika mbele ya Bunge la nchi hiyo mjini Dublin wakitaka balozi wa utawala wa Kizayuni afukuzwe nchini humo.

  • Iran: Ndoto ya Wazayuni ya kuuzima moja kwa moja Muqawama wa Palestina haitatimia katu

    Iran: Ndoto ya Wazayuni ya kuuzima moja kwa moja Muqawama wa Palestina haitatimia katu

    Sep 01, 2024 07:41

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, hakuna shaka yoyote kwamba ndoto ya Wazayuni ya kuuzima moja kwa moja Muqawama wa Palestina haitatimia katu, bali ni kinyume chake, yaani mwisho wa mlolongo wa jinai za Wazayuni utakuwa mwanzo wa ushindi wa taifa vumilivu na la Jihadi la Palestina na kushindwa na kusambaratika kikamilifu utawala wa Israel.

  • Netanyahu asema, atawatoa kafara mateka Waisraeli lakini jeshi la Kizayuni libaki Philadelphi

    Netanyahu asema, atawatoa kafara mateka Waisraeli lakini jeshi la Kizayuni libaki Philadelphi

    Sep 01, 2024 06:45

    Waziri Mkuu mshupalia vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu amemueleza waziri wake wa vita Yoav Gallant kwamba anafadhilisha jeshi la Israel libaki kwenye Ukanda wa Philadelphi (Mhimili wa Saladin) kuliko kuokoa maisha ya mateka ambao wangali wanashikiliwa katika Ukanda wa Ghaza.

  • Wazayuni wazidi

    Wazayuni wazidi "kumkalia kooni" nduli wa Ghaza

    Aug 31, 2024 22:51

    Matokeo ya uchunguzi wa karibuni kabisa wa maoni uliofanywa na Kanali ya 12 ya televisheni ya Israel yanaonesha kuwa, walowezi wengi wa Kizayuni wanaoishi katika ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel, wanachukizwa sana na kuendelea Benjamin Netanyahu kung'ang'ania kuwa waziri mkuu wa utawala huo.

  • Iran: Nchi za Kiislamu zinapaswa kuungana ikwa ajili kukabiliana na mauaji ya kimbari huko Gaza

    Iran: Nchi za Kiislamu zinapaswa kuungana ikwa ajili kukabiliana na mauaji ya kimbari huko Gaza

    Aug 31, 2024 04:30

    Mjumbe wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) ametoa wito wa kuwepo umoja miongoni mwa nchi za Kiislamu kwa ajili ya kukabiliana na jinai na mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.

  • Wito wa Umoja wa Mataifa wa kusimamishwa operesheni za kijeshi za utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    Wito wa Umoja wa Mataifa wa kusimamishwa operesheni za kijeshi za utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    Aug 30, 2024 09:07

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameutaka utawaa ghasibu wa Israel kusitisha mara moja operesheni zake za kijeshi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Israel yaidhinisha jeshi libaki kwenye Ukanda wa Philadelphi na kuua matumaini ya kusitishwa vita

    Israel yaidhinisha jeshi libaki kwenye Ukanda wa Philadelphi na kuua matumaini ya kusitishwa vita

    Aug 30, 2024 06:45

    Baraza la mawaziri la vita la utawala wa Kizayuni wa Israel limeidhinisha kuendelea kuwepo kwa jeshi katika Ukanda wa Philadelphi kwenye mpaka wa pamoja wa Ukanda wa Ghaza na Misri na hivyo kudidimiza matumaini ya kusitishwa na hatimaye kukomeshwa vita vya kinyama vilivyoanzishwa na utawala huo dhidi ya eneo hilo tangu Oktoba 7, 2023.

  • Kiongozi wa Ansarullah: Utawala wa Kizayuni wa Israel umekiuka sheria zote za kimataifa

    Kiongozi wa Ansarullah: Utawala wa Kizayuni wa Israel umekiuka sheria zote za kimataifa

    Aug 30, 2024 03:52

    Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umevuka mistari yote myekundu, ada na sheria zote za kimataifa.

  • Shambulio kubwa zaidi kuwahi kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukingo wa Magharibi kwa miaka 22 sasa

    Shambulio kubwa zaidi kuwahi kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukingo wa Magharibi kwa miaka 22 sasa

    Aug 29, 2024 03:17

    Jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel limeanzisha operesheni kubwa ya mashambulio ya kijeshi kaskazini ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, ambayo haijawahi kufanywa mfano wake kwa kipindi cha miaka 22 sasa.

  • Iran yaionya Israel isikichezee Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Iran yaionya Israel isikichezee Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Aug 28, 2024 03:24

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa onyo kwa utawala wa Kizayuni na hasa serikali ya hivi sasa ya watenda jinai ambayo imepanga njama za kikhabithi dhidi ya Msikiti wa al Aqsa ambao ndicho Kibla cha Kwanza cha Waislamu ikiwaambia Wazayuni wasilichezee eneo hilo takatifu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS