-
Waandamanaji Ireland wataka kutimuliwa balozi wa Israel
Sep 01, 2024 23:28Waandamanaji nchini Ireland wameandamana na kukusanyika mbele ya Bunge la nchi hiyo mjini Dublin wakitaka balozi wa utawala wa Kizayuni afukuzwe nchini humo.
-
Iran: Ndoto ya Wazayuni ya kuuzima moja kwa moja Muqawama wa Palestina haitatimia katu
Sep 01, 2024 07:41Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, hakuna shaka yoyote kwamba ndoto ya Wazayuni ya kuuzima moja kwa moja Muqawama wa Palestina haitatimia katu, bali ni kinyume chake, yaani mwisho wa mlolongo wa jinai za Wazayuni utakuwa mwanzo wa ushindi wa taifa vumilivu na la Jihadi la Palestina na kushindwa na kusambaratika kikamilifu utawala wa Israel.
-
Netanyahu asema, atawatoa kafara mateka Waisraeli lakini jeshi la Kizayuni libaki Philadelphi
Sep 01, 2024 06:45Waziri Mkuu mshupalia vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu amemueleza waziri wake wa vita Yoav Gallant kwamba anafadhilisha jeshi la Israel libaki kwenye Ukanda wa Philadelphi (Mhimili wa Saladin) kuliko kuokoa maisha ya mateka ambao wangali wanashikiliwa katika Ukanda wa Ghaza.
-
Wazayuni wazidi "kumkalia kooni" nduli wa Ghaza
Aug 31, 2024 22:51Matokeo ya uchunguzi wa karibuni kabisa wa maoni uliofanywa na Kanali ya 12 ya televisheni ya Israel yanaonesha kuwa, walowezi wengi wa Kizayuni wanaoishi katika ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel, wanachukizwa sana na kuendelea Benjamin Netanyahu kung'ang'ania kuwa waziri mkuu wa utawala huo.
-
Iran: Nchi za Kiislamu zinapaswa kuungana ikwa ajili kukabiliana na mauaji ya kimbari huko Gaza
Aug 31, 2024 04:30Mjumbe wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) ametoa wito wa kuwepo umoja miongoni mwa nchi za Kiislamu kwa ajili ya kukabiliana na jinai na mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.
-
Wito wa Umoja wa Mataifa wa kusimamishwa operesheni za kijeshi za utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan
Aug 30, 2024 09:07Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameutaka utawaa ghasibu wa Israel kusitisha mara moja operesheni zake za kijeshi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Israel yaidhinisha jeshi libaki kwenye Ukanda wa Philadelphi na kuua matumaini ya kusitishwa vita
Aug 30, 2024 06:45Baraza la mawaziri la vita la utawala wa Kizayuni wa Israel limeidhinisha kuendelea kuwepo kwa jeshi katika Ukanda wa Philadelphi kwenye mpaka wa pamoja wa Ukanda wa Ghaza na Misri na hivyo kudidimiza matumaini ya kusitishwa na hatimaye kukomeshwa vita vya kinyama vilivyoanzishwa na utawala huo dhidi ya eneo hilo tangu Oktoba 7, 2023.
-
Kiongozi wa Ansarullah: Utawala wa Kizayuni wa Israel umekiuka sheria zote za kimataifa
Aug 30, 2024 03:52Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umevuka mistari yote myekundu, ada na sheria zote za kimataifa.
-
Shambulio kubwa zaidi kuwahi kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukingo wa Magharibi kwa miaka 22 sasa
Aug 29, 2024 03:17Jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel limeanzisha operesheni kubwa ya mashambulio ya kijeshi kaskazini ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, ambayo haijawahi kufanywa mfano wake kwa kipindi cha miaka 22 sasa.
-
Iran yaionya Israel isikichezee Kibla cha Kwanza cha Waislamu
Aug 28, 2024 03:24Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa onyo kwa utawala wa Kizayuni na hasa serikali ya hivi sasa ya watenda jinai ambayo imepanga njama za kikhabithi dhidi ya Msikiti wa al Aqsa ambao ndicho Kibla cha Kwanza cha Waislamu ikiwaambia Wazayuni wasilichezee eneo hilo takatifu.