-
Sisitizo la Pentagon la uungaji mkono kamili wa Marekani kwa Israel; ruhusa kwa ajili ya jinai zaidi
Aug 28, 2024 01:04Katika muendelezo wa uungaji mkono wa maafisa wa Ikulu ya White House kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, Waziri wa Ulinzi wa Marekani amesisitiza azma ya Washington ya kuendelea kuuunga mkono utawala huo.
-
Imamu wa Msikiti wa Al-Aqsa: Kauli ya waziri wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa ni hatarishi
Aug 27, 2024 03:29Imamu wa Msikiti wa Al-Aqsa Sheikh Ikrima Sabri amesema, kauli aliyotoa hivi karibuni waziri wa usalama wa ndani wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa ni hatarishi.
-
Palestina kuwasilisha ombi la kujiunga na BRICS baada ya mkutano wa Oktoba
Aug 27, 2024 03:28Palestina itawasilisha ombi la kujiunga na jumuiya ya kiuchumi ya BRICS baada ya mkutano wa kilele wa jumuiya hiyo unaotarajiwa kufanyika nchini Russia mwezi Oktoba. Hayo yameelezwa na balozi wa Palestina mjini Moscow Abdel Hafiz Nofal.
-
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Kupita wakati si kwa manufaa ya utawala wa Kizayuni na waungaji mkono wake
Aug 26, 2024 22:43Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Licha ya uungaji mkono mkubwa wa nchi za Mgharibi, zikiongozwa na Marekani kwa utawala ghasibu wa Israel, lakini utawala huo umepoteza uwezo wake wa kutabiri wakati na mahala pa kufanyika hata mashambulizi madogo kabisa, fakaifa kuyazuia.
-
Mwendesha Mashtaka wa ICC asisitiza Netanyahu na Gallant wakamatwe haraka iwezekanavyo
Aug 24, 2024 06:33Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) amewataka majaji wa mahakama hiyo watoe haraka waranti wa kukamatwa waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu na waziri wa vita wa utawala huo Yoav Gallant.
-
Aliyekuwa mateka wa HAMAS 'avisuta' vyombo vya habari vya Israel: Sikupigwa wala kukatwa nywele Ghaza
Aug 24, 2024 06:08Noa Argamani, mwanamke wa Kiisraeli aliyeachiliwa hivi karibuni baada ya kushikiliwa mateka katika Ukanda wa Ghaza tangu Oktoba 7, 2023 amekadhibisha taarifa za upotoshaji zilizotolewa na vyombo vya habari vya Israel na kusisitiza kuwa hakupigwa wala hakukatwa nywele alipokuwa anashikiliwa na Wanamuqawama wa Palestina.
-
Askari 695 wa Israel wameangamizwa, 4,357 wamejeruhiwa tangu vilipoanza vita vya Ghaza
Aug 23, 2024 23:04Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel ametangaza kuwa askari 695 wa utawala huo wameangamizwa tangu jeshi la utawala huo katili lilipoanzisha vita dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Ghaza na kupambana na vikosi vya Muqawama wa Palestina.
-
Ubelgiji yalaani jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya Gaza
Aug 22, 2024 23:25Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Ubelgiji imelaani shambulizi la Israel dhidi ya makazi ya raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.
-
UNRWA yatahadharisha kuhusu vifo vya raia katika Ukanda wa Gaza
Aug 22, 2024 08:26Afisa mmoja wa UNRWA ametahadharisha kuhusu kuendelea mashambulizi ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza na kusema: Vifo ni hatima pekee inayowakabili watu wa Gaza na kuwa hakuna njia nyingine ya kuepuka jinai zisizo na kikomo za utawala huo.
-
Ombi la Shirika la Haki za Binadamu la Ulaya-Mediterranean la kuwekewa vikwazo Israel
Aug 22, 2024 07:16Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Ulaya na Mediterania (The Euro-Mediterranean Human Rights Monitor-Euro-Med-) limeonya katika taarifa yake siku ya Jumatano kuhusu amri za mara kwa mara za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuwataka Wapalestina wahame katika maeneo tofauti ya Gaza na kuzitaka nchi za dunia ziuwekee vikwazo utawala huo ghasibu na zisiuunge mkono.