-
Umoja wa Mataifa: Israel imeamuru kuhamishwa Wapalestina katika asilimia 86 ya Gaza
Aug 22, 2024 03:23Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa utawala ghasibu wa Israel umetoa amri ya kuhamishwa Wapalestina katika takriban asilimia 86 ya Ukanda wa Gaza unaozingirwa na Wazayuni.
-
Kan'ani: Marekani inaunga mkono ugaidi wa kiserikali wa utawala wa Kizayuni wa Israel
Aug 21, 2024 22:50Nasser Kan'ani Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa leo hii ukweli mchungu na wa kusikitisha unashuhudiwa mbele ya walimwengu wa matabaka yote kuanzia raia wanaoteseka na kudhulumiwa katika eneo la Magharibi mwa Asia, kaskazini mwa Afrika hadi kwa wanafunzi wa vyuo vikuu barani Ulaya na Marekani kwamba serikali ya Marekani inaunga mkono waziwazi ugaidi wa kiserikali wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wanamuqawama wanne wa Hizbullah wauawa shahidi kusini mwa Lebanon
Aug 21, 2024 22:49Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon jana Jumatano ilitangaza habari ya kuuliwa shahidi wapiganaji wake wanne kusini mwa nchi hiyo.
-
Juhudi za wajumbe wa Kiislamu katika Kongamano la Kitaifa la Democratic kwa ajili ya kuiwekea vikwazo Israel
Aug 20, 2024 02:26Makumi ya wajumbe na makundi ya Kiislamu yanayokerwa na uungaji mkono wa Marekani kwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza, wanapanga kufanya mabadiliko katika mpango wa uchaguzi wa Chama cha Democratic na kutilia mkazo suala la kuwekwa vikwazo vya silaha dhidi ya Israel.
-
Hamas: Utawala wa Kizayuni haujui lolote isipokuwa kuuwa wanawake na watoto
Aug 17, 2024 22:59Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiisamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa utawala wa Israel unaotekeleza mauaji ya kimbari haujui lolote jingine isipokuwa kuwashambulia na kuwauwa wanawake na watoto wasio na hatia.
-
Jeshi katili la Israel laua watu 15 wa familia moja wakiwemo watoto 9 Az-Zawayda, Ghaza
Aug 17, 2024 07:03Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi Wapalestina wasiopungua 16 wakiwemo jamaa 15 wa familia moja, tisa kati yao wakiwa ni watoto wadogo, katika shambulizi la kinyama lililolenga watu waliolazimika kuhama makazi yao katika eneo la Az-Zawayda katikati mwa Ukanda wa Ghaza.
-
Mamilioni waandamana Yemen kuunga mkono Wapalestina wa Gaza
Aug 17, 2024 03:44Mamilioni ya wananchi wa maeneo tofauti ya Yemen wameandamana na kusisitiza himaya na uungaji mkono wao kwa taifa la Palestina hususan wa Gaza.
-
Israel yapata hasara ya dola bilioni 67 kutokana na vita vya Gaza
Aug 16, 2024 04:06Wachumi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamefichua hasara kubwa za kiuchumi za vita vya Gaza kwa utawala huo na kusema, uchumi wa Israel unakabiliwa na mgogoro usioweza kudhibitiwa.
-
Hali ya kutisha ya zama za mwisho huko Gaza
Aug 15, 2024 01:05Huku nchi za Magharibi zikiunga mkono jinai zinazoongezeka kila siku za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina hasa katika kuwalazimisha watu wa Gaza kuyahama makazi yao, weledi wa mambo wanasema wigo wa jinai hizo unaweza kuzikumba nchi hizo pia baada ya muda usio mrefu.
-
Bin Salman ahofia kuuawa kwa kufuatilia mpango wa kuanzishwa uhusiano rasmi kati ya Saudia na Israel
Aug 15, 2024 00:15Mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman ameripotiwa kuwa anahofia "kuuawa" kwa sababu ya juhudi zake za kutaka kuhakikisha ufalme huo unaanzisha uhusiano rasmi na utawala wa Kizayuni wa Israel.