-
Kikao cha Baraza la Usalama kuhusu vita vya Ghaza; makabiliano ya Marekani na Jamii ya Kimataifa
Aug 14, 2024 07:45Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa cha kujadili shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya Skuli ya Al-Tabeen katika Ukanda wa Ghaza kilifanyika siku ya Jumanne ambapo akthari ya wanachama wa Baraza hilo walilaani jinai ya utawala huo na kusisitiza juu ya ulazima wa kusitishwa vita mara moja huko Ghaza.
-
Sinwar: Tuko tayari kufanya mazungumzo iwapo vita vya Gaza vitasitishwa
Aug 14, 2024 04:11Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa kushiriki kwao katika mazungumzo ya Doha kunategemea na kusimamishwa vita katika Ukanda wa Gaza.
-
Bagheri Kani: Uvamizi wa Wazayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa unalenga kuzidisha mivutano
Aug 14, 2024 04:07Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uvamizi wa baadhi ya mawaziri wa serikali ya utawala bandia wa Israel na walowezi wa Kizayuni katika msikiti wa al Aqsa ni hatua ya kichochezi inayolenga kushadidisha mivutano na ukosefu wa amani katika eneo.
-
Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa mnasaba wa maadhimisho ya " Siku ya Muqawama wa Kiislamu"
Aug 14, 2024 03:52Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa na kupongeza kuadhimishwa "Siku ya Muqawama wa Kiislamu."
-
Pezeshkian: Uungaji mkono wa Magharibi kwa Israel unahatarisha usalama wa kieneo na kiimataifa
Aug 13, 2024 07:16Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Irian amesema kuwa, kiimya cha jamii ya kimataifa mbele ya jinai dhidi ya binadamu zinazofanywa na utawala wa Kizayuni na ambazo hazijawahi kurekodiwa katika hiistoria, pamoja na uungaji mkono wa baadhi ya nchi za Magharibi kwa utawala huo dhalimu, ni mambo ambayo yanakwenda kinyume na sheia za kimataifa na yanachochea jinai zaidi kama ambavyo pia yanahatarisha usalama wa eneo hili na dunia nzima kwa ujumla.
-
HAMAS: Badala ya mazungumzo mapya, Wazayuni walazimishwe kutekeleza usitishaji vita
Aug 13, 2024 02:10Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema utawala ghasibu wa Kizayuni umethibitisha kuwa hautaki kufikia makubaliano; na kwa sababu hiyo, harakati hiyo imewataka wapatanishi wa Misri na Qatar wawalazimishe Wazayuni watekeleze pendekezo la hivi karibuni la usitishaji vita badala ya kutaka yaanzishwe mazungumzo mengine mapya.
-
Utawala wa Kizayuni, mbunifu wa mbinu mpya za mauaji ya kimbari
Aug 12, 2024 23:04Katika kitendo kingine cha jinai na uhalifu wa kutisha, utawala wa Kizayuni wa Israel umeshambulia shule ya al-Tabiin huko Gaza na kuuwa shahidi na kujeruhiwa mamia ya Wapalestina.
-
Wazayuni wazidi kujawa na hofu na kiwewe cha kungojea ulipizaji kisasi wa Mhimili wa Muqawama
Aug 12, 2024 07:35Utawala wa Kizayuni wa Israel umerefusha muda wa kuviweka katika hali ya tahadhari vikosi vya jeshi lake la anga kwa kuhofia madhara makubwa yatakayosababishwa na jibu la ulipizaji kisasi la Mhimil wa Muqawama kufuatia mauaji ya Ismail Haniya, aliyeuliwa shahidi na utawala huo wa kigaidi.
-
Iran: Israel haitaweza katu kufidia vipigo vya kushindwa ilivyopata tangu Kimbunga cha Al-Aqsa hadi sasa
Aug 11, 2024 23:39Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, licha ya jinai na mauaji ya kutisha uliyofanya dhidi ya Wapalestina, Utawala wa Kizayuni wa Israel hautaweza katu kufidia vipigo vya kushindwa kistratejia ulivyopata tangu ilipotekelezwa Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa hadi sasa.
-
Takwa la Pakistan la kutofanya biashara ya mafuta na utawala wa Kizayuni
Aug 11, 2024 23:15Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan amelaani kuuawa shahidi Ismail Haniye aliyekuwa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS na kuelezea wasiwasi wake mkubwa alionao kuhusiana na chokochoko zinazoongezeka za utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Asia Magharibi.