-
UNICEF: Ghaza imegeuzwa makaburi ya watoto, hakuna mwisho wa mateso wanayopata
Aug 09, 2024 06:40Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto (UNICEF) umetangaza kuwa, Ukanda wa Ghaza umegeuzwa makaburi ya watoto wa Kipalestina na hakuna mwisho wa machungu na mateso wanayopata watoto hao.
-
Iran: Kuchaguliwa al Sinwar kunadhihirisha matumaini, umoja na nguvu ndani ya Hamas
Aug 08, 2024 23:18Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa kuchaguliwa Yahya al Sinwar kuwa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kunaonyesha umoja na uwezo wa harakati hiyo ya muqawama mkabala wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kikao cha OIC cha mjini Jeddah na majukumu ya nchi za Kiislamu
Aug 08, 2024 06:28Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imeamua kuitisha kikao dha dharura mjini Jeddah, Saudi Arabia wakati huu ambapo Iran na kambi ya muqawama inajiandaa kutoa majibu makali kwa Israel kutokana na vitendo vya kigaidi vya utawala wa Kizayuni.
-
Rais Pezeshkian: Kama kweli Wamagharibi wanataka amani, basi waache kuwaunga mkono Wazayuni
Aug 08, 2024 00:04Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza haki ya Iran ya kujibu ipasavyo jinai ya utawala wa Kizayuni na kueleza kwamba, iwapo Wamagharibi wanataka kuzuia ukosefu wa usalama katika eneo, wanapaswa kuacha mara moja kuwaunga mkono Wazayuni.
-
Radiamali ya Hamas kwa jinai kubwa ya Tel Aviv dhidi ya miili ya mashahidi wa Palestina
Aug 06, 2024 04:21Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuwa kitendo kilichofanywa na utawala wa Kizayuni cha kukabidhi miili ya mashahidi zaidi ya 80 wa Kipalestina katika hali iliyoharibika kabisa kinaonyesha kiwango kisicho na kifani cha jinai za utawala huo.
-
Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Ni lazima tusimame dhidi ya utawala mshari wa Kizayuni
Aug 06, 2024 04:16Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Tehran inapaswa kusimama kidete kukabiliana na utawala muovu kwa jina la utawala wa Kizayuni, ambao ndio chanzo cha ukosefu wa amani katika eneo.
-
Iran: Ugaidi ndiyo dhati ya utawala wa Kizayuni wa Israel
Aug 05, 2024 23:27Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, msingi wa utawala wa Kizayuni umesimama juu ya ugaidi na dola hilo pandikizi haliwezi kuishi bila ya kuendelea ugaidi wa kiserikali.
-
Matokeo ya operesheni 2,500 za kijeshi za Hizbullah ya Lebanon dhidi ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu
Aug 05, 2024 11:41Katika siku 300 zilizopita tangu kuanza hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza, Hizbullah ya Lebanon imelenga shabaha maeneo mbalimbali utawala huo katika operesheni za kijeshi 2,500.
-
Hizbullah ya Lebanon yalenga makao ya kamandi ya utawala katili wa Israel
Aug 05, 2024 03:56Hizbullah ya Lebanon imelenga makao ya Kamandi ya Kitengo cha 91 cha utawala wa Kizayuni huko Eilat katika shambulizi jipya dhidi ya Bandari ya Eilat katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni na ambazo zimepachikwa jina bandia la Israel, kwa kutumia ndege kadhaa zisizo na rubani.
-
Hizbullah yafanya mashambulizi mapya dhidi ya Israel; ving'ora vyalia mtawalia + VIDEO
Aug 04, 2024 03:54Duru za habari za utawala wa Kizayuni wa Israel zimetangaza kuwa, ving'ora vilisikika mtawalia jana, kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni, kutokana na mashambulizi makali yaliyofanywa na Hizbullah ya Lebanon.