Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Qalibaf: Utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine tena umeonesha dhati yake ya kijinai

    Qalibaf: Utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine tena umeonesha dhati yake ya kijinai

    Aug 04, 2024 03:54

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, jinai za utawala wa Kizayuni katika miji ya Beirut na Tehran na kuendelea kuwaua watoto huko Ghaza, kwa mara nyingine tena zimewaonesha walimwengu dhati halisi ya kijinai, ukatili na ubeberu wa dola hilo pandikizi.

  • Naim Qassem: Majibu ya Hizbullah yatauumiza vibaya utawala wa Kizayuni

    Naim Qassem: Majibu ya Hizbullah yatauumiza vibaya utawala wa Kizayuni

    Aug 03, 2024 23:14

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza uwa, majibu ya Hizbullah ya Lebanon dhidi ya jinai za utawala wa Kizayuni ni jambo lisiloepukika na majibu hayo yatakuwa ya kuuumiza utawala wa Kizayuni.

  • Spika wa Bunge la Iran: Utawala wa Kizayuni utalipa gharama ya jinai yake

    Spika wa Bunge la Iran: Utawala wa Kizayuni utalipa gharama ya jinai yake

    Aug 01, 2024 07:49

    Katika kujibu mauaji ya mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Hamas mjini Tehran, Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel utalipa gharama kubwa ya chokockoko zake katika ardhi ya Iran.

  • Mwanajudo wa Algeria akataa kushindana na mwakilishi wa Israel katika Michezo ya Olimpiki ya Paris

    Mwanajudo wa Algeria akataa kushindana na mwakilishi wa Israel katika Michezo ya Olimpiki ya Paris

    Jul 29, 2024 22:58

    Judoka wa Algeria amekataa kushindana na mwakilishi wa utawala haramu wa Israel katika Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024.

  • Iran: Kupanuka jinai za Wazayuni ni tishio kwa amani na usalama wa dunia

    Iran: Kupanuka jinai za Wazayuni ni tishio kwa amani na usalama wa dunia

    Jul 29, 2024 09:23

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kupanuka na kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza ni tishio kwa amani na usalama wa eneo la Maghahribi mwa Asia na dunia.

  • HAMAS: Agosti 3 itakuwa Siku ya Kimataifa ya kuunga mkono Ghaza na wafungwa Wapalestina

    HAMAS: Agosti 3 itakuwa Siku ya Kimataifa ya kuunga mkono Ghaza na wafungwa Wapalestina

    Jul 29, 2024 03:28

    Ismail Haniya, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ameitangaza Jumamosi ijayo ya tarehe 3 Agosti kuwa "Siku ya Kitaifa na Kimataifa ya kuwaunga mkono Waghaza na wafungwa Wapalestina" walioko kwenye jela za Israel.

  • Jeshi la utawala wa Kizayuni lafanya shambulio la anga kusini mwa Lebanon

    Jeshi la utawala wa Kizayuni lafanya shambulio la anga kusini mwa Lebanon

    Jul 29, 2024 02:47

    Ndege za kivita za jeshi la utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine tena zimeshambulia kwa mabomu maeneo tofauti ya kusini mwa Lebanon.

  • Syria: Israel yenyewe imeshambulia Majdal Shams ili kupata kisingizio cha kupanua vita

    Syria: Israel yenyewe imeshambulia Majdal Shams ili kupata kisingizio cha kupanua vita

    Jul 28, 2024 23:03

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imesema, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umefanya shambulio katika eneo la Majdal Shams lililoko kwenye Miinuko ya Golan inayokaliwa kwa mabavu ili kuhalalisha lengo lake la kutaka kupanua wigo wa vita na uvamizi wake wa kijeshi katika eneo.

  • Iran yaionya Israel dhidi ya 'chokochoko mpya' kuhusu Lebanon

    Iran yaionya Israel dhidi ya 'chokochoko mpya' kuhusu Lebanon

    Jul 28, 2024 07:27

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametahadharisha kuhusu chokochoko yoyote mpya ya utawala wa Kizayuni wa Israel mkabala wa Lebanon.

  • Kikao cha Baraza la Usalama kuhusu vita vya Gaza; muendelezo wa uungaji mkono wa Marekani kwa utawala wa Kizayuni

    Kikao cha Baraza la Usalama kuhusu vita vya Gaza; muendelezo wa uungaji mkono wa Marekani kwa utawala wa Kizayuni

    Jul 27, 2024 22:59

    Suala la hali mbaya ya Ukanda wa Gaza siku ta Ijumaa kwa mara nyingine tena liliwekwa katika ajenda ya utendaji ya kikao cha nchi 15 wanachama wa Baraza la Usalama la UN sambamba na Bejamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni kushiriki katika kikao hicho huko Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS