-
Jitihada za Magharibi za kuzuia kuakisiwa habari za Wapalestina katika mitandao ya kijamii na vyombo vya habari
Oct 14, 2023 22:53Baada ya kuanza oparesheni kwa jina la "Kimbunga cha Al Aqsa" iliyotekelezwa na Hamas na makundi mengine ya mapambano ya Palestina; serikali na vyombo vya habari vya Magharibi kwa upande mmoja vimeanzisha propaganda kubwa ili kuzuia kuakisiwa habari na matukio yanayojiri huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu huku vikichapisha na kutoa habari za uwongo ili kuonyesha taswira isiyo ya kibinadamu kuhusu wanamapambano wa Palestina.
-
Msimamo wa China unaokinzana na Wazayuni kuhusu mgogoro wa Gaza
Oct 14, 2023 04:11Tangu siku za mwanzo kabisa za shambulio la kasi ya radi la Hamas dhidi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu, msimamo wa China kuhusu suala hilo haukuziridhisha Marekani na Wazayuni.
-
Mgawanyiko mkubwa nchini Marekani juu ya matukio ya hivi karibuni huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu
Oct 12, 2023 23:05Matukio ya hivi karibuni ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu hususan operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa na mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni, kwa hakika mauaji ya halaiki ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza, yameubua migawanyiko kati ya wanasiasa wa Marekani.
-
Msimamo tofauti wa Russia na China kuhusu operesheni ya Kimbunga cha al-Aqswa
Oct 11, 2023 23:01Licha ya uungaji mkono kamili wa Marekani na washirika wake wa magharibi kwa utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya operesheni ya Kimbunga ya al-Aqswa na hata Washington kutuma misaada ya kijeshi na zana za kivita kwa utawala huo ghasibu, lakini Russia na China, yakiwa madola mawili hasimu na washindani wa Magharibi, yamechukua msimamo tofauti katika uwanja huu.
-
Kimbunga cha al-Aqswa; kushadidi uungaji mkono wa Marekani kwa utawala wa Kizayuni
Oct 11, 2023 10:58Katika hali ambayo, Wapalestina wanaendelea kuandamwa na hujuma na mashambulio ya mabomu ya utawala wa Kizayuni wa Israel, Rais Joe Biden wa Marekani ametangaza kuwa nchi hiyo itatoa silaha zaidi kwa Wazayuni.
-
Iran: Wapalestina wana haki kisheria ya kujihami na uvamizi na kukaliwa ardhi zao na Israel
Oct 10, 2023 23:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, akieleza wasiwasi alionao kuhusu hujuma na jinai za kutisha zinazofanywa na utawala ghasibu wa Israel, na kusisitiza kwamba wananchi wa Palestina wana haki ya kisheria ya kujihami dhidi ya aina yoyote ya uchokozi na kukaliwa ardhi zao kwa mabavu.
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Israel itachapwa "kibao kikali zaidi" kwa mauaji ya halaiki inayofanya Ukanda wa Gaza
Oct 10, 2023 11:08Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Israel itachapwa "kibao kikali zaidi" kwa mauaji inayoendelea kufanya dhidi ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza iliouwekea mzingiro.
-
Iran yakosoa madola ya Magharibi kwa kupuuza jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina
Oct 10, 2023 03:35Waziri wa Mashaurii ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa tabia ya Wamagharibi ya kupuuza jinai za kimfumo na kimpangilio za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina.
-
Hatua za kichochezi za Marekani kuunga mkono utawala wa Kizayuni
Oct 09, 2023 06:16Kufuatia mashambulizi makubwa ya makundi ya mapambano na ukumbozi wa Palestina katika maeneo yanayouzunguka Ukanda wa Ghaza, ambayo yamedhihirisha udhaifu na utepetevu mkubwa wa utawala wa Kizayuni, Marekani imepanga na kutekeleza hatua za kichochezi kwa kisingizio cha eti kuiunga mkono Tel Aviv na kuimarisha ari ya Wazayuni.
-
Idadi ya vifo vya Wazayuni yaongezeka hadi watu 1000
Oct 09, 2023 02:07Vyombo vya habari vya Kizayuni vimeripoti kuwa, idadi ya Wazayuni waliouawa katika operesheni za hivi karibuni za wapiganaji wa muqawama wa Palestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu imefikia 1000.