-
HAMAS: Kufika kwa mara ya kwanza makombora ya Muqawama hadi Quds kunafikisha ujumbe kwa wazayuni
May 12, 2023 23:16Kiongozi mmoja wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ametangaza kuwa, makombora ya Muqawama yamefika kwa mara ya kwanza Baitul Muqaddas (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu na kusisitiza kuwa hatua hiyo inabeba ujumbe kwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Hamas yakosoa kimya cha jamii ya kimataifa kuhusiana na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel
May 12, 2023 06:33Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko katika Ukanda wa Gaza kinauhamasisha utawala huo ghasibu kuzididisha mashambulizi yake dhidi ya raia wasio na hatia.
-
Mufti wa Oman aunga mkono majibu ya kishujaa ya wanamapambano wa Palestina
May 12, 2023 02:14Mufti Mkuu wa Oman amesema kuwa, majibu ya kishujaa ya wanamapambano wa Palestina ya kupiga kwa makombora maeneo ya Wazayuni ni majibu ya jinai za Israel dhidi ya taifa linalodhulumiwa la Palestina na amewataka Waislamu kuwa pamoja na taifa hilo linalodhulumiwa kwani mapanmbano yao yanauwakilishi umma mzima wa Kiislamu.
-
Al Mashat ataka kususiwa bidhaa za Marekani na Wazayuni
May 11, 2023 09:37Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amezitolea wito nchi za Kiarabu na Kiislamu kususia bidhaa za Marekani na za utawala wa Kizayuni wa Israel katika kuonyesha uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina, muqawama na mapambano yao.
-
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Maghasibu wameshambulia maeneo 200 ya Ghaza katika siku 2
May 11, 2023 08:00Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza kuwa maghasibu wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika muda wa siku mbili wameshambulia maeneo 200 ya Ukanda wa Ghaza na kuandika katika ukurasa wake wa Twitter kwamba: Makazi ya raia ndiyo yaliyolengwa pakubwa katika hujuma hizo za Wazayuni.
-
Jinai mpya ya baraza la mawaziri lililofeli la Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza
May 10, 2023 07:06Katika kuendeleza jinai zake, utawala wa Kizayuni wa Israel umewaua shahidi Wapalestina 13 wakiwemo makamanda watatu wa ngazi za juu wa Saraya al-Quds, tawi la kijeshi la harakati ya Jihad Islami ya Palestina katika mashambulizi kadhaa ya kigaidi kwenye maeneo ya Ukanda wa Ghaza.
-
Brigedi ya Jenin: Adui Mzayuni hatanusa harufu ya amani
May 06, 2023 03:15Brigedi ya Jenin yenye mfungamano na Saraya al-Quds, tawi la kijeshi la Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imetangaza kuwa, utawala ghasibu wa Israel hautaona amani, na Wazayuni watajutia waliyoyafanya.
-
Wanajeshi wa Israel washambulia Hospitali Bait Laham na Msikiti wa Al-Aqsa
May 01, 2023 03:53Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel wameshambulia hospitali moja mjini Bait Laham mapema leo Jumatatu na kurusha mabomu ya kutoa machozi ndani ya hospitali hiyo.
-
Kufika Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kwenye mpaka wa Palestina kumewatia kiwewe Wazayuni
Apr 30, 2023 22:45Viongozi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wametiwa wasiwasi na hatua ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian ya kufika kwenye mipaka ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel).
-
Maandamano ya maelfu ya Wazayuni yanaendelea katika ardhi za Palestina
Apr 26, 2023 02:48Maelfu ya Wazayuni wameendelea na maandamano yao ya kumpinga waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu, katika miji ya Quds na Tel Aviv licha ya kuweko sherehe za miaka 75 ya kuasisiwa utawala haramu na pandikizi wa Israel.