-
Wasiwasi wa Israeli kuhusu matukio mapya ya kimkakati katika Asia Magharibi
Apr 23, 2023 13:03Katika wiki za hivi karibuni, kumekuwapo matukio kadhaa ya kimkakati katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) ambayo yameufanya utawala wa Kizayuni wa Israel uingiwe na wasiwasi na hofu kubwa.
-
Hizbullah: Ndoto ya Netanyahu ya kuanzisha muungano dhidi ya Iran haikuaguka
Apr 22, 2023 09:03Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema: matukio ya hivi karibuni ya Palestina na eneo na milingano uliolazimishwa kuwepo na Muqawama vimezima ndoto ya Netanyahu ya kuanzisha muungano dhidi ya Iran.
-
Sheikh Kazem Seddiqi: Marekani imeshindwa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa ndani wa Israel
Apr 21, 2023 08:13Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, licha ya Marekani kuwa na mfungamano wote na utawala haramu wa Israel lakini imeshindwa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa ndani wa utawala huo, na hilo ni ishara ya kutokuwa na uwezo.
-
Qatar na Iran zasisitiza uhusiano wa pande mbili na kuiunga mkono Palestina
Apr 21, 2023 07:47Rais Ibrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuimarisha zaidi uhusiano na majirani ni katikia sera za kigeni za Tehran zinazopewa kipaumbele.
-
Je, kuanguka ndege isiyo na rubani ya Israel nchini Syria kumetokana na sababu za kiufundi?
Apr 21, 2023 04:28Utawala wa Kizayuni wa Israel umetangaza kuanguka kwa moja ya ndege zake zisizo na rubani wakati wa uvamizi wa anga ya Syria.
-
Vijana wa Kizayuni wakataa kuhudumu jeshini Israel
Apr 20, 2023 08:02Vijana wa Kizayuni wameripotiwa kuzichoma moto barua wanazotumiwa kwa ajili ya kufanya kazi katika jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Meja Jenerali Mzayuni: Nguvu ya Iran dhidi ya Israel imeongezeka mara mia kadhaa; tunahofia jibu la Iran
Apr 19, 2023 23:34Meja Jenerali katika jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa Tel Aviv haina uwezo wa kukabiliana kijeshi na miradi ya nyuklia ya Iran yenye malengo ya amani na kusema: Nguvu ya Iran dhidi ya utawala wa Israel imeongezeka mara mia kadhaa. Amesema, hujuma yoyote dhidi ya Iran itapelekea kuangamizwa kikamilifu utawala huo.
-
Kitivo cha utafiti cha Kizayuni: Israel ni jamii iliyosambaratika
Apr 19, 2023 02:24Kitivo cha utafiti za Kizayuni cha masuala ya kimkakati na Kiusalama cha Baitul Muqaddas (Jerusalem) kinaitakidi kuwa, jamii ya Israel ni jamii iliyogawanyika na iliyoporomoka, na shaka na wasiwasi kuhusu misingi yake ya kimkakati unazidi kuongezeka siku baada ya siku.
-
Waziri wa Kizayuni: Iran inaendesha ‘vita vya pande kadhaa vya kudhoofisha’ dhidi ya Israel
Apr 17, 2023 07:08Waziri wa vita wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amesema Iran inapigana dhidi ya utawala huo katika pande zote, huku kukiwepo na tahadhari zinazotolewa kuhusu uwezekano mkubwa wa kutokea vita vikubwa baada ya mageuzi tata ya kimahakama ya waziri mkuu wa utawala huo wa Kizayuni Benjamin Netanyahu kuzusha mgogoro wa ndani.
-
Raisi: Nchi za Kiislamu ziunde kambi moja iliyoshikamana ili kuzuia vitendo vya kinyama vya Wazayuni
Apr 13, 2023 23:30Rais Ebrahim Raisi amesema katika mazungumzo aliyofanya kwa njia ya simu na Waziri Mkuu wa Pakistan kwamba, nchi za Kiislamu zinapaswa kuunda kambi moja iliyoshikamana ili kuzuia kuendelea vitendo vya kinyama vya Wazayuni.