Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Kupinga Uturuki ombi la Marekani la kuacha kununua gesi ya Russia

    Kupinga Uturuki ombi la Marekani la kuacha kununua gesi ya Russia

    Nov 21, 2025 09:00

    Uturuki imekataa ombi la Marekani la kuitaka Ankara isinunue gesi kutoka Russia na kusema kuwa, haiwezi kuacha kununua gesi ya Russia kwa sababu imesaini makubaliano ya gesi na nchi hiyo na itaendelea kuheshimu makubaliano hayo.

  • Kwa nini Marekani inataka Uturuki iachane na nishati ya Russia?

    Kwa nini Marekani inataka Uturuki iachane na nishati ya Russia?

    Nov 15, 2025 02:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ameitaka Uturuki iache kununua nishati ya Russia.

  • Iran na Uturuki zatilia mkazo kupunguzwa mivutano na kurejeshwa amani na uthabiti katika eneo

    Iran na Uturuki zatilia mkazo kupunguzwa mivutano na kurejeshwa amani na uthabiti katika eneo

    Nov 14, 2025 07:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyidd Abbas Araqchi, amefanya mazunguzmo kwa njia ya simu na mwenzake wa Uturuki Hakan Fidan, ambapo wawili hao wamejadili uhusiano wa pande mbili na matukio ya kikanda na kimataifa.

  • Katz amtusi vikali Erdogan baada ya mahakama ya Uturuki kutoa hati za kukamatwa viongozi 37 wa Israel

    Katz amtusi vikali Erdogan baada ya mahakama ya Uturuki kutoa hati za kukamatwa viongozi 37 wa Israel

    Nov 10, 2025 06:17

    Waziri wa vita wa utawala wa kizayuni wa Israel, Yisrael Katz amemshambulia kwa matusi makali Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan baada ya mahakama ya nchi hiyo kutoa hati za kukamatwa viongozi 37 wa utawala huo ghasibu kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya kimbari ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Palestina: Hati zilizotolewa na Uturuki za kukamatwa viongozi wa Israel ni 'ushindi kwa haki'

    Palestina: Hati zilizotolewa na Uturuki za kukamatwa viongozi wa Israel ni 'ushindi kwa haki'

    Nov 09, 2025 03:29

    Palestina imesifu na kupongeza hatua ya Uturuki ya kutoa hati za kukamatwa viongozi 37 wa utawala wa kizayuni wa Israel na kuielezea kuwa ni 'ushindi kwa haki' huku ikizitolea mwito nchi zingine kufuata mfano wa Ankara.

  • PKK yatangaza kuondoka Uturuki kama sehemu ya mchakato wa kuweka chini silaha

    PKK yatangaza kuondoka Uturuki kama sehemu ya mchakato wa kuweka chini silaha

    Oct 27, 2025 02:39

    Kundi la wanamgambo wa Kikurdi la PKK limetangaza rasmi uamuzi wake wa kuondoa wapiganaji wake wote nchini Uturuki kuelekea kaskazini mwa Iraq, kama sehemu ya mchakato wa kuweka chini silaha.

  • Uungaji mkono wa kimaonyesho wa Uturuki kwa Palestina; Ukweli uliofichwa nyuma ya pozi za kidiplomasia

    Uungaji mkono wa kimaonyesho wa Uturuki kwa Palestina; Ukweli uliofichwa nyuma ya pozi za kidiplomasia

    Oct 08, 2025 07:49

    Matamshi ya Umit Özdag mwanasiasa wa Uturuki kuhusu Palestina yameibua radiamali kubwa katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.

  • Kwa nini Israel inahofia maneva ya pamoja ya baharini kati ya Misri na Uturuki?

    Kwa nini Israel inahofia maneva ya pamoja ya baharini kati ya Misri na Uturuki?

    Sep 26, 2025 09:23

    Kuanza tena meneva ya kijeshi kati ya Uturuki na Misri, sambamba na kupelekewa idadi kubwa ya wanajeshi wa Misri katika Peninsula ya Sinai, kumeutia wasiwasi utawala wa Kizayuni.

  • Je, upo uwezekano wa kutokea vita kati ya Uturuki na utawala wa Kizayuni?

    Je, upo uwezekano wa kutokea vita kati ya Uturuki na utawala wa Kizayuni?

    Sep 20, 2025 09:49

    Mashambulizi ya utawala wa Israel dhidi ya Qatar yamezidisha mivutano kati ya Uturuki na Israel na kuibua uwezekano wa kutokea makabiliano ya moja kwa moja kati ya Ankara na Tel Aviv.

  • Waziri wa Israel: Upo uwezekano wa kuwaua viongozi wa HAMAS walioko Uturuki

    Waziri wa Israel: Upo uwezekano wa kuwaua viongozi wa HAMAS walioko Uturuki

    Sep 14, 2025 10:48

    Waziri wa Nishati wa utawala wa kizayuni wa Israel, Eli Cohen ambaye pia ni mjumbe wa Baraza la Mawaziri la Usalama na Kisiasa, amesema, upo uwezekano wa kuwaua kigaidi viongozi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS walioko Istanbul, Uturuki, na amedai pia katika mahojiano aliyofanyiwa jana Jumamosi na tovuti ya Saudi Elaf kwamba "mtu yeyote anayehusishwa na Hamas hawezi kulala kwa amani popote duniani."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS