Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Wasyria waandamana kushinikizi kuondoka vikosi vamizi vya Uturuki

    Wasyria waandamana kushinikizi kuondoka vikosi vamizi vya Uturuki

    Oct 26, 2021 04:33

    Mamia ya wananchi wa Syria wamefanya maandamano katika mkoa wa Aleppo (Halab), kaskazini magharibi mwa nchi kulaani uwepo wa wanajeshi vamizi wa Uturuki katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Dalali wa silaha za magaidi nchini Syria afilisika, Canada yampa kinga ya ukimbizi

    Dalali wa silaha za magaidi nchini Syria afilisika, Canada yampa kinga ya ukimbizi

    Oct 24, 2021 23:02

    Mmoja wa madalali aliyekuwa akiyauzia silaha magenge ya kigaidi nchini Syria likiwemo la Daesh (ISIS) amefilisika vibaya kiasi kwamba Canada imempa kinga ya ukimbizi nchini humo.

  • EU yajibu mapigo ya Erdogan, yasema serikali ya Uturuki ni ya kidikteta

    EU yajibu mapigo ya Erdogan, yasema serikali ya Uturuki ni ya kidikteta

    Oct 24, 2021 04:21

    Umoja wa Ulaya (EU) umejibu hatua iliyochukuliwa na Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki aliyeiamuru Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo kuwatangaza mabalozi wa nchi 10 za Magharibi kuwa ni watu wasiotakikana nchini humo kama utanguliwa wa kufukuzwa nchini Uturuki.

  • Ugiriki, Misri na Cyprus zaionya Uturuki iache vitendo vyake vya kichokozi

    Ugiriki, Misri na Cyprus zaionya Uturuki iache vitendo vyake vya kichokozi

    Oct 20, 2021 03:50

    Wakuu wa nchi za Cyprus, Misri na Ugiriki jana Jumanne walikutana mjini Athens na kutoa onyo kali kwa Uturuki iache vitendo vyake vya kichokozi katika eneo la mashariki mwa Bahari ya Mediterranean.

  • Uturuki: Tuna haki kama zilivyo Russia na Marekani ya kuwepo kijeshi nchini Syria

    Uturuki: Tuna haki kama zilivyo Russia na Marekani ya kuwepo kijeshi nchini Syria

    Oct 02, 2021 08:52

    Msemaji wa rais wa Uturuki amedai kuwa, nchi hiyo, kama zilivyo Russia na Marekani, ina haki ya kuwepo kijeshi katika ardhi ya Syria.

  • Marekani yatoa onyo kwa Uturuki dhidi ya kununua tena silaha kutoka Russia

    Marekani yatoa onyo kwa Uturuki dhidi ya kununua tena silaha kutoka Russia

    Sep 27, 2021 22:55

    Marekani imesema kuna uwezekano wa kuiwekea Uturuki vikwazo vipya kwa sababu ya ununuzi wa mtambo wa ulinzi wa anga wa S-400 kutoka Russia.

  • Syria yalaani chokochoko na uvamizi wa Uturuki

    Syria yalaani chokochoko na uvamizi wa Uturuki

    Sep 20, 2021 22:07

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imelaani hatua za Uturuki za kukiuka mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi nzima ya nchi hiyo na kusisitiza kuwa Syria ina haki ya kujibu chokochoko hizo.

  • Iran yasikitishwa na moto mkubwa wa misituni ulioikumba Uturuki

    Iran yasikitishwa na moto mkubwa wa misituni ulioikumba Uturuki

    Jul 30, 2021 22:10

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza masikitiko yake kufuatia moto mkubwa unaoendelea kuteketeza misitu nchini Uturuki.

  • Rouhani: Iran na Uturuki ni madola mawili makubwa ya Ulimwengu wa Kiislamu

    Rouhani: Iran na Uturuki ni madola mawili makubwa ya Ulimwengu wa Kiislamu

    Jul 22, 2021 03:27

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki na mbali na kumpa mkono wa Idi, yeye, serikali na wananchi wa Uturuki amesema kuwa, nchi hizi mbili ni madola makubwa katika eneo hili na kwenye Ulimwengu wa Kiislamu na zina nafasi muhimu katika utatuzi wa matatizo ya eneo hili zima.

  • Licha ya kauli kali zitolewazo dhidi ya Wazayuni, marais wa Uturuki na Israel wataka kustawishwa uhusiano

    Licha ya kauli kali zitolewazo dhidi ya Wazayuni, marais wa Uturuki na Israel wataka kustawishwa uhusiano

    Jul 15, 2021 03:42

    Chama tawala nchini Uturuki cha Uadilifu na Maendeleo AKP kimesema, Uturuki na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel zimekubaliana kuchukua hatua ili kustawisha uhusiano wao wenye mivutano kufuatia mazungumzo yaliyofanywa kwa njia ya simu kati ya marais wa pande hizo mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS