Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Kiongozi Muadhamu: Muqawama ndio njia pekee ya kuzima mashinikizo ya Marekani

    Kiongozi Muadhamu: Muqawama ndio njia pekee ya kuzima mashinikizo ya Marekani

    Jun 12, 2022 03:27

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema uzoefu wenye mafanikio wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Venezuela katika kupambana na vikwazo vya Marekani umedhihirisha wazi kuwa, muqawama ndio njia pekee ya kuzima mashinikizo ya namna hiyo.

  • Maduro: Iran na Venezuela ziko mstari wa mbele kupambana na madola ya kibeberu

    Maduro: Iran na Venezuela ziko mstari wa mbele kupambana na madola ya kibeberu

    Jun 11, 2022 07:26

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesema kuwa, nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndizo nchi zilizoko mstari wa mbele katika kupambana na ubeberu na uistikbari duniani kutokana na kuwa lengo lao ni moja.

  • Rais Maduro wa Venezuela aitembelea Iran kwa ziara ya siku 2

    Rais Maduro wa Venezuela aitembelea Iran kwa ziara ya siku 2

    Jun 11, 2022 02:40

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela aliwasili hapa Tehran jana Ijumaa kwa safari rasmi ya kikazi ya siku mbili ya kuitembelea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran na Venezuela zasaini makubaliano ya ushirikiano ya miaka 20

    Iran na Venezuela zasaini makubaliano ya ushirikiano ya miaka 20

    Jun 11, 2022 11:16

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na mwenzake wa Venezuela, Nicolas Maduro wamesaini makubaliano ya kuimarisha ushirikiano ya miaka 20, yenye lengo la kupiga jeki uhusiano wa nchi mbili hizi katika nyuga mbalimbali.

  • Venezuela: Tutazipatia Ulaya na Marekani mafuta ikiwa vikwazo vitaondolewa

    Venezuela: Tutazipatia Ulaya na Marekani mafuta ikiwa vikwazo vitaondolewa

    Mar 12, 2022 07:27

    Mwenyekiti wa kamati ya mafuta na nishati katika Bunge la Venezuela amesema, ikiwa vikwazo vitaondolewa, nchi hiyo inaweza kudhaminii mahitaji ya nishati ya Marekani na Ulaya mnamo katikati ya mwaka huu.

  • "CIA ilifahamu kuhusu njama za kumpindua Rais wa Venezuela"

    Jan 30, 2022 07:52

    Imebainika kuwa, maafisa wa ngazi za juu wa utawala wa Marekani wakiwemo maafisa waandamizi wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA, walifahamu kuhusu kuwepo kwa njama za kumpindua madarakani Rais Nicolas Maduro wa Venezuela.

  • Kinara wa upinzani Venezuela: Niko tayari kufanya mazungumzo na serikali ya Maduro

    Kinara wa upinzani Venezuela: Niko tayari kufanya mazungumzo na serikali ya Maduro

    Jan 30, 2022 02:44

    Kinara wa upinzani nchini Venezuela ametangaza utayari wake wa kuanza tena kkufanya mazungumzo na serikali ya Rais Nicolas Maduro.

  • Kukua uchumi wa Venezuela licha ya miaka kadhaa ya vikwazo vya kidhalimu vya Marekani

    Kukua uchumi wa Venezuela licha ya miaka kadhaa ya vikwazo vya kidhalimu vya Marekani

    Jan 19, 2022 02:40

    Licha ya njama mtawalia za Marekani za kuhakikisha Venezuela inatengwa kieneo na kimataifa, lakini Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo ya Amerika ya Latini ametangaza kuwa, Venezuela imerejea katika mkondo wa ustawi na kukua uchumi wake licha ya miaka kadhaa ya njama hizo za Marekani.

  • Sisitizo la Rais Maduro la kugonga mwamba siasa za Marekani dhidi ya Venezuela

    Sisitizo la Rais Maduro la kugonga mwamba siasa za Marekani dhidi ya Venezuela

    Dec 29, 2021 02:40

    Sambamba na kuendelea mashinikizo ya kisiasa ya Marekani dhidi ya taifa na serikali ya Venezuela, Rais Nicolas Maduro wa nchi hivyo amesema kuwa, taifa hilo limesimama kidete dhidi ya ubeberu na limefanikiwa kuibuka na ushindi.

  • Maduro: Dunia inapaswa kulaani mauaji ya Jenerali Soleimani

    Maduro: Dunia inapaswa kulaani mauaji ya Jenerali Soleimani

    Dec 27, 2021 13:27

    Rais Nicholas Maduro wa Venezuela amesema jamii ya kimataifa inapaswa kulaani vikali mauaji ya kigaidi ya mwaka 2020 ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani wa Iran ambaye alikuwa mstari wa mbele katika vita dhidi ya ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS