May 05, 2020 09:18
Katika mwendelezo wa njama za Marekani na washirika wake za kutaka kuiangusha serikali ya Rais Nicolas Maduro wa Venezuela, maafisa wa nchi hiyo wametangaza kuwa, wamefanikiwa kusambaratishwa operesheni moja ya kigaidi sambamba na kuangamizwa magaidi ambao walikuwa wanakusudia kupenya ndani ya nchi hiyo kupitia baharini.