Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Ushindi mwingine wa Maduro baada ya Mahakama ya Rufaa ya Uingereza kutoa hukumu kwa maslahi ya Venezuela

    Ushindi mwingine wa Maduro baada ya Mahakama ya Rufaa ya Uingereza kutoa hukumu kwa maslahi ya Venezuela

    Oct 07, 2020 07:50

    Tangu kuanza mgogoro wa uchaguzi nchini Venezuela, Umoja wa Ulaya na nchi kubwa za Ulaya zimechukua msimamo sawa na wa Marekani dhidi ya Rais Nicolas Maduro wa Venezuela. Baada ya kinara wa wapianzani, Juan Guaido kushindwa katika uchaguzi na kisha kujitangaza rais mnamo Januari 23, 2029, nchi za Ulaya ikiwemo Uingereza, zimekuwa zikimuunga mkono kiongozi huyo wa upinzani.

  • Kuwasili shehena mpya ya nishati ya mafuta ya Iran nchini Venezuela

    Kuwasili shehena mpya ya nishati ya mafuta ya Iran nchini Venezuela

    Sep 30, 2020 02:41

    Licha ya vizingiti, ukwamishaji mambo na mashinikizo ya Marekani, shehena ya pili ya nishati ya mafuta ya Iran imewasili nchini Venezuela.

  • Maduro: Iran na Venezuela zina haki ya kuainisha mustakbali wao

    Maduro: Iran na Venezuela zina haki ya kuainisha mustakbali wao

    Sep 29, 2020 12:28

    Rais wa venezuela ameashiria vikwazo vya upande mmoja vya Marekani na kusisitiza kuwa nchi kama Iran na Venezuela zina haki ya kuainisha mustakbali wao katika suala la amani na uthabiti.

  • Rais Maduro: Marekani inashirikiana na magenge ya madawa ya kulevya ya Colombia dhidi ya Venezuela

    Rais Maduro: Marekani inashirikiana na magenge ya madawa ya kulevya ya Colombia dhidi ya Venezuela

    Sep 25, 2020 11:14

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesema kuwa, Idara ya Kupambana na Madawa ya Kulevya ya Marekani inashirikiana na walanguzi wa madawa ya kulevya wa nchini Colombia kwa ajili ya kutoa pigo dhidi ya serikali ya Caracas.

  • Venezuela yaunda kikosi maalumu cha makomando kukabiliana na chokochoko za Marekani

    Venezuela yaunda kikosi maalumu cha makomando kukabiliana na chokochoko za Marekani

    Sep 24, 2020 02:42

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ameukosoa vikali ujambazi na umafia unaofanywa na serikali ya Marekani dhidi ya nchi yake na ametangaza habari ya kuundwa kikosi maalumu cha makomando cha kupambana na vitendo vya kiharibifu vya Marekani.

  • Kuendelea ushirikiano baina ya Iran na Venezuela na shukrani za Maduro kwa Tehran

    Kuendelea ushirikiano baina ya Iran na Venezuela na shukrani za Maduro kwa Tehran

    Aug 25, 2020 03:28

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa msaada wake kwa nchi hiyo katika kukabiliana na vikwazo vya mafuta vya Marekani dhidi ya Venezuela na kusisitiza kuwa, uzoefu wa Iran utaweza kuisaidia nchi yake kutia nguvu uwezo wake wake wa kujitawala.

  • Kuendelea “mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa” mhimili wa siasa za uingiliaji mambo wa Marekani dhidi ya Venezuela

    Kuendelea “mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa” mhimili wa siasa za uingiliaji mambo wa Marekani dhidi ya Venezuela

    Aug 19, 2020 02:26

    Katika hali ambayo hadi sasa siasa za “mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa” za Marekani dhidi ya Venezuela zimefeli na kugonga mwamba, Robert Charles O’Brein, mshauri wa usalama wa taifa wa White House amesisitiza kuwa, mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa utakuwa mhimili wa harakati za Washington dhidi ya Venezuela.

  • Sisitizo la kuongezwa ushirikiano wa Iran na Venezuela na ghadhabu za Washington kwa hilo

    Sisitizo la kuongezwa ushirikiano wa Iran na Venezuela na ghadhabu za Washington kwa hilo

    Aug 12, 2020 02:31

    Katika miaka ya hivi karibuni Iran na Venezuela zimeandamwa na vikwazo vya kiuchumi na kisiasa vya Marekani na viongozi wa White House wamefanya juhudi kubwa kutumia nyenzo mbalimbali ili wazifanye nchi mbili hizi zisalimu amri na kufuata siasa za Washington.

  • Kuendelea ushirikiano wa Iran na Venezuela licha ya vitisho vya Marekani

    Kuendelea ushirikiano wa Iran na Venezuela licha ya vitisho vya Marekani

    Aug 06, 2020 06:27

    Ushirikiano wa kibiashara na kisiasa wa Iran na Venezuela unaendelea kuimarika licha ya kuwepo vitisho na vikwazo vya Marekani. Kutumwa meli za mafuta za Iran nchini Venezuela mwezi uliopita ilikuwa hatua ya kwanza katika uwanja huo na sasa Iran imechukua hatua nyingine ya kufungua duka kubwa la bidhaa zake katika mki mkuu wa nchi hiyo, Caracas.

  • Tishio jipya la Donald Trump dhidi ya Venezuela

    Tishio jipya la Donald Trump dhidi ya Venezuela

    Jul 12, 2020 12:35

    Katika hali ambayo siasa za chuki na hasama za Marekani dhidi ya Venezuela hadi sasa zimeshindwa na kugonga mwamba, Rais Donald Trump kwa mara nyingine tena ametoa matamshi ya vitisho kwa kusema: Kuna mambo yatatokea kuhusiana na Venezuela.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS