-
Ushindi mwingine wa Maduro baada ya Mahakama ya Rufaa ya Uingereza kutoa hukumu kwa maslahi ya Venezuela
Oct 07, 2020 07:50Tangu kuanza mgogoro wa uchaguzi nchini Venezuela, Umoja wa Ulaya na nchi kubwa za Ulaya zimechukua msimamo sawa na wa Marekani dhidi ya Rais Nicolas Maduro wa Venezuela. Baada ya kinara wa wapianzani, Juan Guaido kushindwa katika uchaguzi na kisha kujitangaza rais mnamo Januari 23, 2029, nchi za Ulaya ikiwemo Uingereza, zimekuwa zikimuunga mkono kiongozi huyo wa upinzani.
-
Kuwasili shehena mpya ya nishati ya mafuta ya Iran nchini Venezuela
Sep 30, 2020 02:41Licha ya vizingiti, ukwamishaji mambo na mashinikizo ya Marekani, shehena ya pili ya nishati ya mafuta ya Iran imewasili nchini Venezuela.
-
Maduro: Iran na Venezuela zina haki ya kuainisha mustakbali wao
Sep 29, 2020 12:28Rais wa venezuela ameashiria vikwazo vya upande mmoja vya Marekani na kusisitiza kuwa nchi kama Iran na Venezuela zina haki ya kuainisha mustakbali wao katika suala la amani na uthabiti.
-
Rais Maduro: Marekani inashirikiana na magenge ya madawa ya kulevya ya Colombia dhidi ya Venezuela
Sep 25, 2020 11:14Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesema kuwa, Idara ya Kupambana na Madawa ya Kulevya ya Marekani inashirikiana na walanguzi wa madawa ya kulevya wa nchini Colombia kwa ajili ya kutoa pigo dhidi ya serikali ya Caracas.
-
Venezuela yaunda kikosi maalumu cha makomando kukabiliana na chokochoko za Marekani
Sep 24, 2020 02:42Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ameukosoa vikali ujambazi na umafia unaofanywa na serikali ya Marekani dhidi ya nchi yake na ametangaza habari ya kuundwa kikosi maalumu cha makomando cha kupambana na vitendo vya kiharibifu vya Marekani.
-
Kuendelea ushirikiano baina ya Iran na Venezuela na shukrani za Maduro kwa Tehran
Aug 25, 2020 03:28Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa msaada wake kwa nchi hiyo katika kukabiliana na vikwazo vya mafuta vya Marekani dhidi ya Venezuela na kusisitiza kuwa, uzoefu wa Iran utaweza kuisaidia nchi yake kutia nguvu uwezo wake wake wa kujitawala.
-
Kuendelea “mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa” mhimili wa siasa za uingiliaji mambo wa Marekani dhidi ya Venezuela
Aug 19, 2020 02:26Katika hali ambayo hadi sasa siasa za “mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa” za Marekani dhidi ya Venezuela zimefeli na kugonga mwamba, Robert Charles O’Brein, mshauri wa usalama wa taifa wa White House amesisitiza kuwa, mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa utakuwa mhimili wa harakati za Washington dhidi ya Venezuela.
-
Sisitizo la kuongezwa ushirikiano wa Iran na Venezuela na ghadhabu za Washington kwa hilo
Aug 12, 2020 02:31Katika miaka ya hivi karibuni Iran na Venezuela zimeandamwa na vikwazo vya kiuchumi na kisiasa vya Marekani na viongozi wa White House wamefanya juhudi kubwa kutumia nyenzo mbalimbali ili wazifanye nchi mbili hizi zisalimu amri na kufuata siasa za Washington.
-
Kuendelea ushirikiano wa Iran na Venezuela licha ya vitisho vya Marekani
Aug 06, 2020 06:27Ushirikiano wa kibiashara na kisiasa wa Iran na Venezuela unaendelea kuimarika licha ya kuwepo vitisho na vikwazo vya Marekani. Kutumwa meli za mafuta za Iran nchini Venezuela mwezi uliopita ilikuwa hatua ya kwanza katika uwanja huo na sasa Iran imechukua hatua nyingine ya kufungua duka kubwa la bidhaa zake katika mki mkuu wa nchi hiyo, Caracas.
-
Tishio jipya la Donald Trump dhidi ya Venezuela
Jul 12, 2020 12:35Katika hali ambayo siasa za chuki na hasama za Marekani dhidi ya Venezuela hadi sasa zimeshindwa na kugonga mwamba, Rais Donald Trump kwa mara nyingine tena ametoa matamshi ya vitisho kwa kusema: Kuna mambo yatatokea kuhusiana na Venezuela.