-
Vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Venezuela na jibu kali la Rais Maduro
Jul 01, 2020 10:23Tangu mgogoro wa kisiasa wa Venezuela uliposhadidi, Umoja wa Ulaya umekuwa pamoja na Marekani dhidi ya Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo.
-
Meli ya chakula ya Iran yafika kwenye eneo la majini la Venezuela licha ya vikwazo vya Marekani
Jun 22, 2020 07:47Meli ya Iran yenye chakula kwa ajili ya wananchi wa Venezuela imefika kwenye eneo la majini la nchi hiyo ya Amerika ya Latini licha ya Marekani kuiwekea vikwazo nchi hiyo na kuifungia njia zote. Hadi tunapokea habari hii, meli hiyo ilikuwa imekaribia kufika kwenye bandari ya Guaira.
-
Ndege ya Iran iliyobeba msaada wa COVID-19 yawasili Venezuela
Jun 09, 2020 08:04Serikali ya Venezuela imesema ndege ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iliyobeba msaada wa dharura kwa ajili ya waathirika wa ugonjwa wa COVID-19 iliwasili nchini humo jana Jumatatu.
-
Kiongozi Muadhamu awashukuru wafanyakazi wa meli za mafuta za Iran zilizotumwa Venezuela
Jun 09, 2020 03:40Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma ujumbe kufuatia harakati ya Kijihadi ya makamanda na wafanyakazi wa meli za mafuta za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambazo zilibeba shehena za bidhaa za petroli na kuzifikisha nchini Venezuela.
-
Marekani na mwendelezo wa vikwazo vya mafuta dhidi ya Venezuela
Jun 04, 2020 02:29Marekani imeapa kuzidisha vikwazo na kuishinikiza zaidi serikali ya Venezuela licha ya kufeli siasa zake za vikwazo dhidi ya nchi hiyo. Katika uwanja huu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo amesema Washington imeyawekea vikwazo makampuni mengine manne ya mafuta ya Venezuela na ameitaka jamii ya kimataifa izidishe mashinikizo dhidi ya serikali ya Caracas hadi itakapoondolewa madarakani.
-
Cuba na Venezuala zalaani ukatili wa polisi wa Marekani dhidi ya watu weusi
May 31, 2020 04:22Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Cuba na Venezula wamelaani vikali ukatili wa polisi wa Marekani dhidi ya Wamarekani weusi pamoja na ujumbe wa kuchochea utumiaji mabavu alioutoa Rais Donald Trump.
-
Meli ya nne ya mafuta ya Iran yaingia katika maji ya Venezuela
May 28, 2020 10:07Meli ya nne ya mafuta ya Iran imewasili katika Eneo Mahsusi la Kiuchumi Baharini (EEZ) kwa lengo la kufikisha mafuta ya petroli na dizeli katika nchi hiyo inayokabiliwa na vikwazo vya Marekani.
-
Rais Rouhani aihutubu Marekani: Biashara yetu na Venezuela haiwahusu
May 28, 2020 02:23Rais Hassan Rouhani wa Iran ameikosoa vikali Marekani kwa kujaribu kuingilia miamala ya kibiashara baina ya Jamhuri ya Kiislamu na nchi nyingine huru duniani.
-
Waziri wa Mafuta wa Venezuela: Meli za mafuta za Iran ni nembo ya udugu na mshikamano
May 26, 2020 07:24Waziri wa Mafuta wa Venezuela ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kutuma mafuta nchini humo na kusema kuwa meli za mafuta za Iran zilizotumwa nchini Venezuela licha ya vitisho na vikwazo vya Marekani, ni nembo ya udugu na mshikamano baina ya Tehran na Caracas.
-
Sisitizo la Venezeula kuhusu kutokuwa na maana vitisho vya Marekani dhidi ya meli za mafuta za Iran
May 25, 2020 10:31Wakati wa utawla wa rais Donald Trump wa Marekani, sera za mashinikizo ya pande zote dhidiya Venezeula zimeongezeka kwa kuwekewe vikwazo vingi nchi hiyo lengo likiwa ni kuipindua serikali ya Rais Nicolas Maduro na kumleta madarakani kinara wa wapinzani Juan Guaid ambaye ni kibaraka wa Washington.