Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Venezuela yaishukuru Iran kwa kuifikishia mafuta na kuvunja vikwazo vya Marekani

    Venezuela yaishukuru Iran kwa kuifikishia mafuta na kuvunja vikwazo vya Marekani

    May 25, 2020 03:58

    Mwakilishi wa Venezuela katika Umoja wa Mataifa ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran baada ya meli ya kwanza ya mafuta ya Iran kuingia katika maji ya nchi hiyo na kusema kuwa, hii ni hatua muhimu sana katika kupambana na ubeberu wa Marekani na kupigania haki ya kujitawala, uhuru na amani.

  • Maneva ya mizinga ya jeshi la Venezuela katika kukaribia kuwasili meli za mafuta za Iran katika maji ya Caribbean

    Maneva ya mizinga ya jeshi la Venezuela katika kukaribia kuwasili meli za mafuta za Iran katika maji ya Caribbean

    May 24, 2020 08:55

    Katika hali ambayo ikulu ya Marekani ya White House inatekeleza vikwazo vikali zaidi vilivyo kinyume na ubinaadamu dhidi ya raia na serikali ya Venezuela kwa lengo la kuiondoa madarakani serikali halali ya Rais Nicolás Maduro, kuongezeka ushirikiano wa kibiashara kati ya Tehran na Caracas na kutumwa meli za mafuta zilizosheheni nishati hiyo muhimu huko Venezuela, kumewaongezea hasira viongozi wa Marekani.

  • Venezuela yaionya tena Marekani kuhusu vitisho dhidi ya meli za mafuta za Iran

    Venezuela yaionya tena Marekani kuhusu vitisho dhidi ya meli za mafuta za Iran

    May 24, 2020 02:44

    Mwakilishi wa Venezuela katika Umoja wa Mataifa sambamba na kuionya Marekani, amesisitiza kuwa vitisho vya kijeshi vinavyotolewa na Washington dhidi ya meli za mafuta za Iran, havikubaliki.

  • Russia na Venezuela zakosoa hatua zisizo za kisheria za Marekani

    Russia na Venezuela zakosoa hatua zisizo za kisheria za Marekani

    May 22, 2020 06:30

    Tangu Rais Donald Trump mwenye kashfa nyingi wa Marekani aingie ikulu ya White House ameshadidisha siasa za uhasama dhidi ya Venezuela ambapo pia amefanya njama nyingi za kuiondoa madarakani serikali halali ya Rais Nicolás Maduro wa nchi hiyo sambamba na kuiwekea vikwazo vikali.

  • Kukiri John Bolton juu ya kugonga mwamba siasa za Marekani dhidi ya Venezuela

    Kukiri John Bolton juu ya kugonga mwamba siasa za Marekani dhidi ya Venezuela

    May 19, 2020 10:24

    Vikwazo na mashinikizo ya Marekani dhidi ya Venezuela yanaendelea katika hali ambayo, kivitendo nchi hiyo ya Amerika ya Latini ikipata msaada wa mataifa kama Iran, China na Russia imefanikiwa kuyapatia ufumbuzi akthari ya matatizo yaliyosababishwa na vikwazo vya Washington.

  • Rais wa Venezuela: Njama iliyofeli ya mapinduzi ilipangwa ndani ya Ikulu ya White House

    Rais wa Venezuela: Njama iliyofeli ya mapinduzi ilipangwa ndani ya Ikulu ya White House

    May 15, 2020 07:24

    Rais Nicolás Maduro wa Venezuela amesema, njama ya jaribio la mapinduzi lililofeli dhidi ya serikali ya nchi hiyo ilipangwa na kuandaliwa ndani ya Ikulu ya rais wa Marekani ya White House.

  • Kusambaratishwa njama ya kigadi dhidi ya serikali ya Venezuela

    Kusambaratishwa njama ya kigadi dhidi ya serikali ya Venezuela

    May 05, 2020 09:18

    Katika mwendelezo wa njama za Marekani na washirika wake za kutaka kuiangusha serikali ya Rais Nicolas Maduro wa Venezuela, maafisa wa nchi hiyo wametangaza kuwa, wamefanikiwa kusambaratishwa operesheni moja ya kigaidi sambamba na kuangamizwa magaidi ambao walikuwa wanakusudia kupenya ndani ya nchi hiyo kupitia baharini.

  • Venezuela yawakamata mamluki wa Marekani waliotaka kufanya mapinduzi

    Venezuela yawakamata mamluki wa Marekani waliotaka kufanya mapinduzi

    May 05, 2020 07:57

    Rais Nicolás Maduro wa Venezuela amesema vyombo vya usalama vya nchi hiyo vimewatia mbaroni 'magaidi' 13 wakiwemo mamluki wawili wa Kimarekani wanaohusishwa na jaribio lililotibuliwa la kujipenyeza nchini humo na kufanya mapinduzi.

  • NRC yataka kuondolewa vikwazo Iran, Syria na Venezuela

    NRC yataka kuondolewa vikwazo Iran, Syria na Venezuela

    Apr 29, 2020 11:10

    Baraza la Wakimbizi la Norway (NRC) limetoa mwito wa kuondolewa vikwazo nchi kadhaa zikiwemo Jamhuri ya Kiislamu a Iran, Syria na Venezuela wakati huu wa mapambano dhidi ya janga la kimataifa la Corona.

  • Mgogoro wa Venezuela: Serikali na wapinzani waanza mazungumzo ya siri

    Mgogoro wa Venezuela: Serikali na wapinzani waanza mazungumzo ya siri

    Apr 23, 2020 02:44

    Serikali ya Venezuela na wapinzani wa nchi hiyo wameanza duru mpya ya mazungumzo ya siri yenye lengo la kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS