Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Kwa nini dunia imelaani hatua za kijeshi za Marekani dhidi ya Venezuela?

    Kwa nini dunia imelaani hatua za kijeshi za Marekani dhidi ya Venezuela?

    Jan 05, 2026 02:42

    Hatua ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Venezuela na kutekwa nyara Rais wa nchi hiyo, Nicolas Maduro, imekabiliwa na wimbi kubwa la laana na ukosoaji mkubwa kote duniani.

  • Kaimu Rais wa Venezuela: Kuna mkono wa Israel katika utekaji wa Maduro

    Kaimu Rais wa Venezuela: Kuna mkono wa Israel katika utekaji wa Maduro

    Jan 04, 2026 12:36

    Kaimu Rais wa Venezuela, aliyeidhinishwa na Mahakama ya Juu Zaidi nchini humo, amesema kulikuwa na "kivuli cha Wazayuni" katika operesheni ya kutekwa nyara Rais wa nchi hiyo, Nicolas Maduro.

  • Muqawama: Mashambulizi ya Venezuela yameanika dhati ya Marekani

    Muqawama: Mashambulizi ya Venezuela yameanika dhati ya Marekani

    Jan 04, 2026 12:12

    Makundi ya Muqawama katika eneo la Asia Magharibi sanjari na kulaani kile yalichokiita ugaidi wa kiserikali wa Marekani dhidi ya Venezuela, yamesema mashambulizi na utekaji nyara wa Rais Nicolas Maduro wa Venezuela kwa mara nyingine tena umeanika dhati na hulka halisi ya Marekani.

  • Mashambulizi ya US yaliua makumi ya watu Venezuela; Afrika Kusini yalaani

    Mashambulizi ya US yaliua makumi ya watu Venezuela; Afrika Kusini yalaani

    Jan 04, 2026 10:30

    Zaidi ya watu 40 waliuawa katika mashambulizi ya anga ya Marekani dhidi ya Venezuela siku ya Jumamosi, wakiwemo raia na wanajeshi, gazeti la New York Times limeripoti, likimnukuu afisa mkuu wa Venezuela ambaye hakutaka jina lake litajwe.

  • Marekani yaripuka kwa maandamano ya kulaani uvamizi wa kijeshi dhidi ya Venezuela

    Marekani yaripuka kwa maandamano ya kulaani uvamizi wa kijeshi dhidi ya Venezuela

    Jan 04, 2026 10:15

    Wananchi wa Marekani wamemiminika mitaani na mabarabarani kote nchini humo kushiriki maandamano ya kupinga na kushutumu uchokozi wa kijeshi wa Washington dhidi ya Venezuela, na kutekwa nyara kwa Rais Nicolas Maduro na mkewe, Cilia Flores.

  • Nchi mbalimbali zalaani mashambulizi ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Venezuela

    Nchi mbalimbali zalaani mashambulizi ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Venezuela

    Jan 04, 2026 02:41

    Nchi mbalimbali duniani zimeendelea kulaani vikali mashambulizi ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Venezuela. Nchi hizo zimeeleza wasiwasi wao kuhusu uhalali, maadili na taathira hatari za uvamizi wa Marekani huko Venezuela.

  • Wanajeshi wa Marekani washambulia meli 5 na kuuwa watu 8 huku mvutano kati ya US na Venezuela ukishtadi

    Wanajeshi wa Marekani washambulia meli 5 na kuuwa watu 8 huku mvutano kati ya US na Venezuela ukishtadi

    Jan 01, 2026 10:56

    Jeshi la Marekani limeanzisha mashambulizi mapya dhidi ya boti zinazodaiwa kuwa zimehusika na magendo ya dawa za kulevya, huku mvutano kati ya Wahington na Venezuela ukipamba moto.

  • Araghchi: Wananchi wa Venezuela watalinda uhuru wao mkabala wa uhalifu wa US

    Araghchi: Wananchi wa Venezuela watalinda uhuru wao mkabala wa uhalifu wa US

    Dec 31, 2025 02:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amesisitiza upinzani wa moja kwa moja wa Tehran dhidi ya hatua yoyote ya vitisho dhidi ya ardhi, uhuru na mamlaka ya kujitawala Venezuela, akisisitiza kuwa ana imani kuwa taifa hilo la Amerika Kusini litalinda uhuru wake.

  • Shukurani za Venezuela kwa Iran kwa msimamo wake thabiti wa kuitetea Caracas

    Shukurani za Venezuela kwa Iran kwa msimamo wake thabiti wa kuitetea Caracas

    Dec 26, 2025 02:48

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Venezuela ameisifu Iran kwa misimamo yake thabiti ya kutetea mamlaka ya kujitawala Caracas.

  • Kwa nini Marekani inashadidisha mazingira ya vita dhidi ya Venezuela?

    Kwa nini Marekani inashadidisha mazingira ya vita dhidi ya Venezuela?

    Dec 25, 2025 02:36

    Marekani, kwa mara nyingine tena, imeimarisha uwepo wake kijeshi huko Caribbean.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS