Mar 09, 2024 02:56
Baada ya kuzingatia mapendekezo mbalimbali ya wabunge na makundi ya upinzani, hatimaye Baraza la Taifa la Uchaguzi la Venezuela limeitangaza Julai 28, 2024 ambayo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa Hugo Chávez, Rais wa zamani wa nchi hiyo kuwa siku ya kufanyika uchaguzi wa urais.