-
Venezuela yaalani jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Gaza
Nov 12, 2023 13:50Serikali ya Venezuela imetoa taarifa na kulaani jinai na mashambulizi ya utawala ghasibu wa Kizayuni dhidi ya raia wa Ukanda wa Gaza.
-
Safari ya rais wa Venezuela nchini China kwa lengo la kuanzisha mfumo mpya wa dunia
Sep 10, 2023 04:40Sambamba na kupanuka uhusiano wa Venezuela na China, Rais Nicolás Maduro wa Venezuela amewasili China kwa lengo la kuongeza uhusiano wa pande mbili, kuimarisha ushirikiano na kusaidia kuanzisha mfumo mpya wa dunia.
-
Kukosoa Maduro kimya cha viongozi wa Ulaya kuhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu
Aug 09, 2023 03:11Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amekosoa vikali kuendelea kukaa kimya viongozi wa Ulaya kuhusiana na kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu.
-
Rais wa Venezuela: White House ilipanga njama niuawe
Aug 06, 2023 02:29Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amemtuhumu aliyekuwa rais wa Marekani, Donald Trump kwamba alikuwa mstari wa mbele katika kupanga njama iliyofeli ya kuuawa kiongozi huyo wa Amerika ya Latini.
-
Makamanda wa majeshi ya majini ya Afrika Kusini na Venezuela wasisitiza kuimarisha uhusiano na Iran
Jul 31, 2023 11:06Makamanda wa vikosi vya wanamaji vya majeshi ya Afrika Kusini na Venezuela wamesisitiza udharura wa kuimarishwa uhusiano wa kiulinzi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kikao chao na Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu.
-
Ushirikiano wa kifedha baina ya Russia na Venezuela, sarafu ya dola ya Marekani yazidi kuwekwa kando
Jun 22, 2023 09:22Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, amepongeza hatua ya nchi hiyo kujiunga na mfumo wa malipo wa Russia "Mir" akiutaja utaratibu huu kuwa ni katika mkondo wa kuibuka kwa mtandao mpya na mbadala wa kifedha duniani wa kukabiliana na vikwazo vilivyowekwa na Marekani dhidi ya Venezuela.
-
Raisi: Kuimarisha uchumi ndio njia bora zaidi ya kukabiliana na vikwazo
Jun 13, 2023 12:55Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuna uwezo mkubwa ambao haujatumika wa kuzidisha mabadilishano ya kiuchumi kati ya Iran na Venezuela na kueleza kuwa, njia ya kutimiza nia ya kufikisha kiwango cha biashara baina ya pande mbili kwenye dola bilioni 20 ni kuimarisha uwekezaji kati ya nchi hizo mbili.
-
Iran, Venezuela zasaini hati 19 za ushirikiano; mabadilishano ya kibiashara kufikia dola bilioni 20
Jun 13, 2023 08:01Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu na Venezuela zina uwezo wa kuongeza kiwango chao cha mabadilishano ya kibiashara kifikie cha thamani ya dola bilioni 20.
-
Rais wa Iran kutembelea Venezuela, Nicaragua na Cuba
Jun 07, 2023 10:24Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi karibuni atafanya ziara katika nchi tatu za Venezuela, Nicaragua na Cuba kwa lengo la kuimarisha uhusiano na nchi rafiki na kupanua kiwango cha ushirikiano wa kiuchumi, kisiasa na kisayansi na nchi hizo.
-
Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela kuhusu uhusiano wa jadi na Iran
Mar 05, 2023 08:42Ivan Khel Pinto, Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela amesema katika mahojiano aliyofanyiwa na televisheni ya Al Mayadeen kwamba, uhusiano mzuri wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa muda mrefu, ni wa jadi na ni mkubwa.