Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Kan'ani: Uchaguzi wa Venezuela ni dhihirisho la kuimarika mfumo wa demokrasia

    Kan'ani: Uchaguzi wa Venezuela ni dhihirisho la kuimarika mfumo wa demokrasia

    Jul 29, 2024 12:20

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameutaja uchaguzi wa rais uliofanyika nchini Venezuela uliokuwa na hamasa kubwa kuwa ni dhihirisho la kuimarika mfumo wa demokrasia

  • Maduro ashinda uchaguzi wa rais wa Venezuela kwa muhula wa tatu

    Maduro ashinda uchaguzi wa rais wa Venezuela kwa muhula wa tatu

    Jul 29, 2024 06:01

    Nicolás Maduro ameshinda uchaguzi wa rais wa Venezuela na kuchaguliwa kwa muhula wa tatu kuwa rais wa nchi hiyo.

  • Kukatwa kikamilifu uhusiano wa Colombia na utawala wa Kizayuni; kuendelea kutengwa Tel Aviv kimataifa

    Kukatwa kikamilifu uhusiano wa Colombia na utawala wa Kizayuni; kuendelea kutengwa Tel Aviv kimataifa

    May 03, 2024 02:43

    Rais Gustavo Petro wa Colombia alisema siku ya Jumatano tarehe Mosi Mei katika hotuba yake kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) kuwa kuanzia Alhamisi amekata kikamilifu uhusiano wa nchi hiyo na utawala wa Kizayuni kwa sababu ya jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo huko Ukanda wa Gaza.

  • Kutangazwa tarehe ya kufanyika uchaguzi wa Rais nchini Venezuela

    Kutangazwa tarehe ya kufanyika uchaguzi wa Rais nchini Venezuela

    Mar 09, 2024 02:56

    Baada ya kuzingatia mapendekezo mbalimbali ya wabunge na makundi ya upinzani, hatimaye Baraza la Taifa la Uchaguzi la Venezuela limeitangaza Julai 28, 2024 ambayo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa Hugo Chávez, Rais wa zamani wa nchi hiyo kuwa siku ya kufanyika uchaguzi wa urais.

  • Maduro akosoa jinai za kikoloni za Israel dhidi ya Palestina

    Maduro akosoa jinai za kikoloni za Israel dhidi ya Palestina

    Feb 28, 2024 06:46

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesema jinai na mashambulizi ya kinyama yanayofanywa na Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza ni ishara ya wazi kuwa utawala wa Kizayuni unaendeleza malengo ya kikoloni dhidi ya Palestina.

  • Venezuela yaalani kitendo cha Marekani cha kuiba ndege yake

    Venezuela yaalani kitendo cha Marekani cha kuiba ndege yake

    Feb 13, 2024 11:51

    Serikali ya Venezuela imelaani vikali kitendo cha Marekani cha kuiba waziwazi ndege iliyokuwa ikimilikiwa na kampuni moja la Venezuela.

  • "US inakiuka Hati ya UN kwa kutishia kuiwekea tena vikwazo Venezuela"

    Feb 01, 2024 12:02

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vikali hatua ya Marekani ya kutishia kuiwekea upya vikwazo sekta ya mafuta ya Venezuela na kusisitiza kuwa, kkitendo hicho kinakanyaga Hati ya Umoja wa Mataifa na sheria ya kimataifa.

  • Rais wa Venezuela: Uamuzi wa Argentina wa kukataa kujiunga na BRICS ni wa kijinga

    Rais wa Venezuela: Uamuzi wa Argentina wa kukataa kujiunga na BRICS ni wa kijinga

    Jan 02, 2024 10:47

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesema uamuzi wa Argentina wa kukataa kujiunga na kundi la BRICS ni wa kijinga.

  • Venezuela yaalani jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Gaza

    Venezuela yaalani jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Gaza

    Nov 12, 2023 13:50

    Serikali ya Venezuela imetoa taarifa na kulaani jinai na mashambulizi ya utawala ghasibu wa Kizayuni dhidi ya raia wa Ukanda wa Gaza.

  • Safari ya rais wa Venezuela nchini China kwa lengo la kuanzisha mfumo mpya wa dunia

    Safari ya rais wa Venezuela nchini China kwa lengo la kuanzisha mfumo mpya wa dunia

    Sep 10, 2023 04:40

    Sambamba na kupanuka uhusiano wa Venezuela na China, Rais Nicolás Maduro wa Venezuela amewasili China kwa lengo la kuongeza uhusiano wa pande mbili, kuimarisha ushirikiano na kusaidia kuanzisha mfumo mpya wa dunia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS