Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Kusimama kidete Rais Nicolas Maduro wa Venezuela mbele ya njama za kutaka kumpindua

    Kusimama kidete Rais Nicolas Maduro wa Venezuela mbele ya njama za kutaka kumpindua

    Jan 29, 2019 13:16

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela jana alisisitiza katika gwaride la jeshi la nchi hiyo lililofanyika kwa ajili ya kumuunga mkono kwamba, hakuna mtu yoyote ambaye anamheshimu mtu dhaifu, mwoga na msaliti na akaongeza kuwa, serikali ya Caracas inaungwa mkono kikamilifu na jeshi na kwamba, vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo vimejiandaa kikamilifu kuilinda nchi.

  • Qassemi: Mkutano wa Warsaw ni wa kuleta hitilafu na mifarakano baina ya Iran na Ulaya

    Qassemi: Mkutano wa Warsaw ni wa kuleta hitilafu na mifarakano baina ya Iran na Ulaya

    Jan 28, 2019 12:45

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kufanyika mkutano ulio dhidi ya Iran wa Warsaw Poland ni kuzusha hitilafu na mgawanyiko baina ya Iran na baadhi ya nchi za Ulaya.

  • Jeshi la Venezuela lapiga gwaride la kumuunga mkono Rais Maduro

    Jeshi la Venezuela lapiga gwaride la kumuunga mkono Rais Maduro

    Jan 28, 2019 08:24

    Jeshi la Venezuela limepiga gwaride mbele ya Rais Nicolás Maduro wa nchi hiyo likitangaza kumuunga mkono.

  • Bahram Qassemi: Ulaya kwa kutekeleza mfumo wa SPV ithibitishe kuwa iko huru na Marekani

    Bahram Qassemi: Ulaya kwa kutekeleza mfumo wa SPV ithibitishe kuwa iko huru na Marekani

    Jan 28, 2019 07:57

    Bahram Qassemi, Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Umoja wa Ulaya kwa kutekeleza mfumo wa kifedha na Iran unaojulikana kama 'SPV' unaweza kuthibitisha kwamba unajitegemea na kwamba uko huru na Marekani pamoja na mashinikizo yake.

  • Kusimama kidete Rais Maduro mbele ya njama za kuipindua serikali yake za wapinzani wakishirikiana na Marekani

    Kusimama kidete Rais Maduro mbele ya njama za kuipindua serikali yake za wapinzani wakishirikiana na Marekani

    Jan 28, 2019 02:43

    Kwa sasa Venezuela ingali inakabiliwa na mzozo na mgogoro wa kisiasa. Katika hali ambayo Marekani na waitifaki wake wanaendelea kufanya kila mbinu na njama ili kuiondoa madarakani serikali ya mrengo wa kushoto ya Rais Nicolás Maduro na ambaye ndiye rais halali wa nchi hiyo, kiongozi huyo sambamba na kupinga kuainishiwa makataa na muhula maalumu pamoja na vitisho vya kigeni dhidi yake, amesisitiza juu ya kulinda katiba na kuitetea Venezuela.

  • Hizbullah ya Lebanon: Daima Uingiliaji wa Marekani umekuwa na madhara kwa mataifa mengine

    Hizbullah ya Lebanon: Daima Uingiliaji wa Marekani umekuwa na madhara kwa mataifa mengine

    Jan 27, 2019 02:36

    Mkuu wa mrengo wa kisiasa wenye mafungamano na Harakati ya muqawama katika bunge la Lebanon umelaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Venezuela na kusema kuwa, uingiliaji wa Washington daima umekuwa na madhara kwa mataifa mengine na ni doa ambalo linapaswa kusafishwa katika historia ya mwanadamu.

  • China na Russia zatumia kura ya Veto kupinga hatua zozote za Marekani dhidi ya Venezuela

    China na Russia zatumia kura ya Veto kupinga hatua zozote za Marekani dhidi ya Venezuela

    Jan 26, 2019 16:23

    China na Russia zimezuia muswada uliowasilishwa na Marekani dhidi ya Venezuela katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Harakati ya Vizibao vya Njano nchini Ufaransa yakosoa vikali matamshi ya Rais Macron kuhusu Venezuela

    Harakati ya Vizibao vya Njano nchini Ufaransa yakosoa vikali matamshi ya Rais Macron kuhusu Venezuela

    Jan 26, 2019 14:12

    Harakati inayopinga mfumo wa kibepari nchini Ufaransa inayoitwa 'Harakati ya Vizibao vya Njano' imekosoa matamshi ya Rais Emmanuel Macron wa nchi hiyo kuhusiana na Venezuela.

  • Zarif: Iran inaliunga mkono taifa la Venezuela dhidi ya njama za Marekani

    Zarif: Iran inaliunga mkono taifa la Venezuela dhidi ya njama za Marekani

    Jan 26, 2019 04:37

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kulaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Venezuela, amesema Iran inaliunga mkono taifa hilo la Amerika ya Latini na itasimama nalo dhidi njama ya mapinduzi inayopikwa na Marekani.

  • Papa Francis awaunga mkono raia wa Venezuela

    Papa Francis awaunga mkono raia wa Venezuela

    Jan 25, 2019 08:11

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amewataka walimwengu kuwaepushia matatizo zaidi raia wa Venezuela.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS