Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Waziri wa Ulinzi Venezuela: Marekani ndio inapanga mapinduzi ya kijeshi dhidi ya Rais Maduro

    Waziri wa Ulinzi Venezuela: Marekani ndio inapanga mapinduzi ya kijeshi dhidi ya Rais Maduro

    Jan 25, 2019 04:36

    Waziri wa Ulinzi wa Venezuela, Vladimir Padrino López amesema kuwa, Marekani na washirika wa White House ndio wanatekeleza mapinduzi ya kijeshi na vita vya kiuchumi dhidi ya nchi hiyo.

  • Venezuela yaikosoa Ufaransa kwa kupanga njama za kutaka kufanya mabadiliko ya serikali

    Venezuela yaikosoa Ufaransa kwa kupanga njama za kutaka kufanya mabadiliko ya serikali

    Oct 01, 2018 08:05

    Serikali ya Venezuela imekosoa njama za Ufaransa za kutaka kufanya mabadiliko ya serikali ya Caracas na kadhalika uingiliaji wa Paris katika masuala ya ndani ya nchi hiyo.

  • Uturuki yaitaka Venezuela kufanya biashara kwa kutumia sarafu za ndani

    Uturuki yaitaka Venezuela kufanya biashara kwa kutumia sarafu za ndani

    Sep 24, 2018 02:57

    Uturuki imeialika Venezuela kutumia sarafu za nchi zao badala ya dola katika miamala ya kibiashara ya pande mbili; ikiwa ni katika kampeni ya kuimarisha uchumi wa nchi hizo kukabiliana na mashinikizo ya serikali ya rais wa Marekani, Donald Trump.

  • Njama za kuingilia kijeshi masuala ya ndani ya Venezuela

    Njama za kuingilia kijeshi masuala ya ndani ya Venezuela

    Sep 16, 2018 11:04

    Luis Almagro, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Amerika ametoa matamshi ya vitisho dhidi ya Venezuela na kusema kuwa, chaguo la kijeshi kwa ajili ya kuiondoa madarakani serikali ya Rais Nicolás Maduro wa Venezuela halipasi kupuuzwa.

  • New York Times: Trump alipanga njama ya mapinduzi dhidi ya Rais wa Venezuela

    New York Times: Trump alipanga njama ya mapinduzi dhidi ya Rais wa Venezuela

    Sep 09, 2018 16:12

    Gazeti la New York Times la Marekani imefichua kwamba, serikali ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo mwaka jana ilifanya kikao cha siri na majenerali walioasi jeshi la Venezuela kujadili mipango ya kufanya mapinduzi na kumuondoa madarakani Rais Nicolás Maduro wa nchi hiyo.

  • Venezuela: Faili la kutaka kumuu Rais Maduro litashughulikiwa kimataifa

    Venezuela: Faili la kutaka kumuu Rais Maduro litashughulikiwa kimataifa

    Aug 11, 2018 04:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela amesema kuwa, serikali ya nchi hiyo inakusudia kuliwasilisha faili la jaribio la kutaka kumuu Rais Nicolás Maduro wa nchi hiyo katika ngazi ya kimataifa.

  • Magaidi 6 watiwa mbaroni kwa kujaribu kumuua rais wa Venezuela

    Magaidi 6 watiwa mbaroni kwa kujaribu kumuua rais wa Venezuela

    Aug 06, 2018 08:04

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Venezuela jana usiku alitoa tamko na kutangaza habari ya kutiwa mbaroni magaidi 6 waliohusika na jaribio lililoshindwa la kutaka kumuu Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo.

  • Iran yalaani jaribio la kutaka kumuua Rais wa Venezuela + Video

    Iran yalaani jaribio la kutaka kumuua Rais wa Venezuela + Video

    Aug 05, 2018 15:42

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali jaribio la kutaka kumuua rais wa Venezeula Nicolas Maduro.

  • Russia: Kuna uwekezano Marekani ikaishambulia kijeshi Venezuela

    Russia: Kuna uwekezano Marekani ikaishambulia kijeshi Venezuela

    Jul 19, 2018 07:52

    Balozi wa Russia nchini Venezuela ameonyesha masikitiko yake kutokana na uwezekano wa Marekani kuchukua hatua ya kijeshi dhidi ya nchi hiyo.

  • Rais Maduro alitaka jeshi la Venezuela kujiweka tayari kukabiliana na njama za Donald Trump

    Rais Maduro alitaka jeshi la Venezuela kujiweka tayari kukabiliana na njama za Donald Trump

    Jul 06, 2018 07:36

    Rais Nicolás Maduro wa Venezuela amelitaka jeshi la nchi hiyo kujiweka tayari kwa ajili ya kukabiliana na njama zinazofanywa na Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS