-
India: Hatutafuata agizo la Marekani la kuiwekea vikwazo Iran
May 29, 2018 07:42Waziri wa Mambo ya Nje wa India amesema kuwa, nchi yake haitofuata maagizo ya Marekani ya kuiwekea vikwazo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Venezuela yawatimua wanadiplomasia wa Marekani
May 23, 2018 07:21Venezuela imewafukuza nchini wanadiplomasia wawili wa ngazi za juu wa Marekani, ikiwa ni radiamali ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini ya kujibu uhasama mpya wa Washington wa kushadidisha vikwazo dhidi yake.
-
Kikao cha viongozi wa nchi za Amerika mjini Lima na njama za Washington dhidi ya Venezuela
Apr 15, 2018 13:28Katika kikao cha viongozi wa nchi za Amerika kilichofanyika mjini Lima nchini Peru, Michael Pence sambamba na kuashiria kwamba Marekani haitoendelea kufumbia macho matukio yanayojiri nchini Venezuela, amesisitiza juu ya kuendelezwa mashinikizo dhidi ya serikali ya nchi hiyo.
-
Ghasia, ajali ya moto katika jela nchini Venezuela vyaua watu 68
Mar 29, 2018 15:00Kwa akali watu 68 wamepoteza maisha katika vurugu zilizozuka katika gereza moja nchini Venezuela na kusababisha kutokea kwa mkasa wa moto.
-
Maduro: Kamishna wa Haki za Binadamu wa UN ni 'saratani na kikaragosi cha Marekani'
Mar 10, 2018 07:54Rais wa Venezuela amemtaja Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa kama saratani na kikaragosi cha Marekani.
-
Cuba na Venezuela Kuungana Kukabiliana na Chokochoko za Marekani
Feb 24, 2018 14:18Harakati ya Urafiki na Mshikamano wa Cuba na Venezuela imesisitiza kuhusu muungano wa nchi hizo mbili katika kukabiliana na chokochoko za uingiliaji wa Marekani.
-
Ethiopia kuwaachia huru maelfu ya wafungwa wa upinzani
Jan 29, 2018 06:53Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa itawaachia huru wafungwa waliotiwa nguvuni kufuatia machafuko ya mwaka 2015 na 2016 yaliyotokea katika eneo la Oromia.
-
Kuendelea hatua za uhasama za Marekani dhidi ya Venezuela
Jan 07, 2018 12:50Rais Nicolás Maduro wa Venezuela amekosoa vikali kuendelea siasa za uhasama za serikali ya Marekani dhidi ya nchi yake.
-
Marais wa nchi za Amerika ya Latini wakipongeza chama tawala Venezuela kwa kuwashinda wapinzani marafiki wa Magharibi
Oct 16, 2017 16:37Marais wa nchi za Bolivia, Nicaragua na Cuba sambamba na kukaribisha ushindi wa chama tawala cha Kisosholisti nchini Venezuela kwa kuibuka mshindi katika uchanguzi wa magavana wa majimbo ya nchi hiyo uliofanyika Jumapili ya jana, wamefurahishwa pia na umoja na mshikamano wa Wavenezuela dhidi ya njama za Wamagharibi.
-
Ukosoaji mkali wa Venezuela dhidi ya Ulaya
Oct 15, 2017 11:15Viongozi wa serikali ya Venezuela wamekosoa vikali juhudi za Umoja wa Ulaya na Marekani za kutaka kuufanya uchaguzi wa kieneo nchini humo kutokuwa na itibari.