Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • India: Hatutafuata agizo la Marekani la kuiwekea vikwazo Iran

    India: Hatutafuata agizo la Marekani la kuiwekea vikwazo Iran

    May 29, 2018 07:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa India amesema kuwa, nchi yake haitofuata maagizo ya Marekani ya kuiwekea vikwazo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Venezuela yawatimua wanadiplomasia wa Marekani

    Venezuela yawatimua wanadiplomasia wa Marekani

    May 23, 2018 07:21

    Venezuela imewafukuza nchini wanadiplomasia wawili wa ngazi za juu wa Marekani, ikiwa ni radiamali ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini ya kujibu uhasama mpya wa Washington wa kushadidisha vikwazo dhidi yake.

  • Kikao cha viongozi wa nchi za Amerika mjini Lima na njama za Washington dhidi ya Venezuela

    Kikao cha viongozi wa nchi za Amerika mjini Lima na njama za Washington dhidi ya Venezuela

    Apr 15, 2018 13:28

    Katika kikao cha viongozi wa nchi za Amerika kilichofanyika mjini Lima nchini Peru, Michael Pence sambamba na kuashiria kwamba Marekani haitoendelea kufumbia macho matukio yanayojiri nchini Venezuela, amesisitiza juu ya kuendelezwa mashinikizo dhidi ya serikali ya nchi hiyo.

  • Ghasia, ajali ya moto katika jela nchini Venezuela vyaua watu 68

    Ghasia, ajali ya moto katika jela nchini Venezuela vyaua watu 68

    Mar 29, 2018 15:00

    Kwa akali watu 68 wamepoteza maisha katika vurugu zilizozuka katika gereza moja nchini Venezuela na kusababisha kutokea kwa mkasa wa moto.

  • Maduro: Kamishna wa Haki za Binadamu wa UN ni 'saratani na kikaragosi cha Marekani'

    Maduro: Kamishna wa Haki za Binadamu wa UN ni 'saratani na kikaragosi cha Marekani'

    Mar 10, 2018 07:54

    Rais wa Venezuela amemtaja Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa kama saratani na kikaragosi cha Marekani.

  • Cuba na Venezuela Kuungana Kukabiliana na Chokochoko za Marekani

    Cuba na Venezuela Kuungana Kukabiliana na Chokochoko za Marekani

    Feb 24, 2018 14:18

    Harakati ya Urafiki na Mshikamano wa Cuba na Venezuela imesisitiza kuhusu muungano wa nchi hizo mbili katika kukabiliana na chokochoko za uingiliaji wa Marekani.

  • Ethiopia kuwaachia huru maelfu ya wafungwa wa upinzani

    Ethiopia kuwaachia huru maelfu ya wafungwa wa upinzani

    Jan 29, 2018 06:53

    Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa itawaachia huru wafungwa waliotiwa nguvuni kufuatia machafuko ya mwaka 2015 na 2016 yaliyotokea katika eneo la Oromia.

  • Kuendelea hatua za uhasama za Marekani dhidi ya Venezuela

    Kuendelea hatua za uhasama za Marekani dhidi ya Venezuela

    Jan 07, 2018 12:50

    Rais Nicolás Maduro wa Venezuela amekosoa vikali kuendelea siasa za uhasama za serikali ya Marekani dhidi ya nchi yake.

  • Marais wa nchi za Amerika ya Latini wakipongeza chama tawala Venezuela kwa kuwashinda wapinzani marafiki wa Magharibi

    Marais wa nchi za Amerika ya Latini wakipongeza chama tawala Venezuela kwa kuwashinda wapinzani marafiki wa Magharibi

    Oct 16, 2017 16:37

    Marais wa nchi za Bolivia, Nicaragua na Cuba sambamba na kukaribisha ushindi wa chama tawala cha Kisosholisti nchini Venezuela kwa kuibuka mshindi katika uchanguzi wa magavana wa majimbo ya nchi hiyo uliofanyika Jumapili ya jana, wamefurahishwa pia na umoja na mshikamano wa Wavenezuela dhidi ya njama za Wamagharibi.

  • Ukosoaji mkali wa Venezuela dhidi ya Ulaya

    Ukosoaji mkali wa Venezuela dhidi ya Ulaya

    Oct 15, 2017 11:15

    Viongozi wa serikali ya Venezuela wamekosoa vikali juhudi za Umoja wa Ulaya na Marekani za kutaka kuufanya uchaguzi wa kieneo nchini humo kutokuwa na itibari.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS